Humu kuna dume zima linajiita mama Samuya , kuna dume lingine linatumia jina la kike na avi ya kike , sasa kazi kwenu ukiingia kwenye target yao.View attachment 3596884
Au nakosea ndugu zangu Matrix19 Castle_Lite secretarybird Mbaga Jr Chizi Maarifa 😁😁
Unaweza kukuta nyuma ya account hiyo yupo hata Muliro au Mafwele sasa usipochukua tahadhari utapotea.