Is Jamii Forums the best Discussion forum in Africa?

Is Jamii Forums the best Discussion forum in Africa?

Baada ya watu kuisifia naija land nimeamua Ku install. Dah naija land ni noma naona watu wanachangia vitu vya maana na ni point tupu. Nimeamini Nigeria ndio inchi yenye wasomi wengi Africa.
 
IFRS

Hivi ni naijaland au nairaland mkuu??? me nnayo nairaland
 
Last edited by a moderator:
Nairaland ni noma aseeee

Tutoe ombi kwa Invisible na viongozi waige mazuri ya hiyo forum na walete hapa JF na sisi tufaidi, maana kuna mdau alishasema weee liletwe jukwaa la usalama barabarani lakini kwa kweli haikupewa kipaumbele japo ilikuwa ni swala zuri sana!
 
Nimetembelea huko sema tu wana comments zimesimama tofauti na hapa bongo serekali ikikosea kuna wakuda wanakuja hapa kuisafisha wakizani wanaisaidia kumbe ndio wanaiangamiza kwa mafuta yao wenyewe.
 
In Kenya there are Mashada and Kenyan List, Ugandan Red pepper, South African The South SA, and Nigerian NaijaLand while in Tanzania we have our dear JF...so which is the best Discussion forum in Africa?

kenyalist ilikuwa kiboko,wamehack na kunyakua data zote ,wanderi hajui hata aanzie wapi kuifufua.
mashada ilikuwa zamani,sikuhizi inaboa
 
Aisee nairaland forums nadhani is the best for africa kuna vitu ambavyo huwezi kujifunza kwenye forums nyingine kwa Africa. Jamiiforums igeni mazuri ya huku
 
6¤7i know kenyanlist lakini imekaa ki udaku sana na mapicha picha ka album

kenyalist ilikuwa poa,watu wanachangia kwa point za kuelimisha hasa,na kule hutukani ovyo kwani ban ziko njenje,so watu hata mtofautiane kimtizamo matusi ilikua ni no
 
Such a broken English Language. Ukienda NairaLand watakucheka. Si sahihi kutumia pronoun 'I', then katika verb ukaongeza 's'.

mkuu sisi tz unajua kimombo tuko ziro unajua hata hawa mawaziri wetu hawajui kitu acha wabunge ndio balaa ukisema mjadala ufanyike kwa kiingilishi wataingia mitini wote!!


senkyu viri machi sir
 
Marire

Mkuu hapo umegusa pazuri sana. Kuna watu wana interest tofauti ilihali hawana majukwaa yao. Kuna wadau nawaona mara kwa mara wanaomba majukwaa na moderators wanakaa kimya kuliko kutoa feedback. Hadi sasa nimeona kuna gape kubwa kwenye;

1. Jukwaa la magari.

2. Jukwaa la fasheni za nguo.

3. Jukwaa la malezi ya watoto.
 
Last edited by a moderator:
every foruum will claim to be the best. labda we look at alexa rankings
 
Back
Top Bottom