Is Jamii Forums the best Discussion forum in Africa?

Is Jamii Forums the best Discussion forum in Africa?

Nairaland nimeingia muda si mrefu ina watu kama 7000 walio online...
JF these days huwezi jua kuna watu wangapi online labda tunge compare...

Kingine impact ya hiyo forum hasa kisiasa...(maana Afrika demokrasia hiko chini Forum kama hizi zikitumika vizuri zinasaidia kufikia viongozi wetu indirectly)

Kwa wingi wa wanaija...na ujanja wao...hiyo forum imekuwa na impact gani...? Maana japo nasi tuna yetu Naija ina hali mbaya zaidi kisiasa...

JF imekuwa chachu ya mabadiliko kisiasa kwa njia moja au nyingine...

Otherwise we need research kuweza kuwa na jibu la nani zaidi...
Kwangu mimi JF iko juu so far ... ila niko tayari kubadili msimamo nikipata data za ku prove otherwise...[/QUOT

Hata hivyo member wanao kuwa on line bado tunawapita japo siku hizi jf hawaweki na kumbuka kipindi wanaweka ulikuwa on line member si chini ya 20;000 kila muda...
 

Attachments

  • 1423496729400.jpg
    1423496729400.jpg
    68.2 KB · Views: 111
  • 1423496892392.jpg
    1423496892392.jpg
    65.7 KB · Views: 105
Jf is the place to be, we are far away from our motherland but when am browsing JF Im feeling like am at TBT Segerea.
 
Sijui ni mimi tu? Ila nimeingia ile sijaona mabadiliko yeyote zaidi inanirudisha hapa hapa tu

Kuna mabadiliko angalia vyema maana hata likes received and given zote ni zero! halafu Mobile view ilikuwa haioneshi detail za mwana chama lakini hapo zinaonekana pia swala la aliye anzisha thread ilikuwa kwa mobile view huwezi kuona mpaka ufungue thread husika lakini naona katika hii unaweza jua!

Nafikiri walitakiwa kuongeza na kitufe cha like kwenye mobile view!
kuna mambo yanaweza kulalamikiwa labda wayafanyie kazi mfano likes kuonekana Zero na pia join date na swala la aina ya members! Wanatakiwa kuipitia kwa kina kabla ya kuirudisha hewani!
 

Attachments

  • 1423497501929.jpg
    1423497501929.jpg
    24.9 KB · Views: 96
  • 1423497527340.jpg
    1423497527340.jpg
    40.6 KB · Views: 84
  • 1423497546108.jpg
    1423497546108.jpg
    35.7 KB · Views: 83
  • 1423497611087.jpg
    1423497611087.jpg
    35.2 KB · Views: 83
Why not??

Alinifurahisha muzungu mumoja alishuka airport akaniuliza hivi nasikia watanzania ukiuliza swali unajibiwa na swali nikamjibu nani kakwambia ??
 
Why not??

Alinifurahisha muzungu mumoja alishuka airport akaniuliza hivi nasikia watanzania ukiuliza swali unajibiwa na swali nikamjibu nani kakwambia ??

au kwanini unauliza?
 
Nairaland ni ulimwengu mwingine,kule watu hawana ujinga ujinga,Jf kwa east Africa aina mpinzani ila bado wana safari ndefu kuna kizazi kimevamia kinaleta utani kwenye kila kitu.

nairaland inawachangiaji million na zaidi kwa siku.
 
Nairaland ni ulimwengu mwingine,kule watu hawana ujinga ujinga,Jf kwa east Africa aina mpinzani ila bado wana safari ndefu kuna kizazi kimevamia kinaleta utani kwenye kila kitu.

nairaland inawachangiaji million na zaidi kwa siku.
Si kweli ina wachangiaji million kwa siku mimi ni mwenyeji kule member wanao kuwa on line huwa hawazdi 3000 kwa kila muda! Sema wanacho tuzidi ni jinsi wanachama wanavyo changia mada! Pia kwenye jinsi ya kuchangamkia mada sisi bado tunawazidi kabisa....kidogo jukwaa wanalo changamkia mada kwa wingi ni sports and politics!

Kingine ambacho tunawazidi ni idadi za topic kwa siku...huku Jf watu wanatengeneza thread hakika!
 
Jf Ni nzuri sema wachangiaji wengi wamejikita kwenye siasa na majukwaa ya marafiki na wapenzi na mambo ya jokes kuliko mambo ya science and technology na other issues lakini polepole ndio mwendo tutafika .tu muda mfupi nilikua namwangalia co founder wa jamii forums bwana mushi akihojiwa na east Africa television wana vision nzuri.
 
Si kweli ina wachangiaji million kwa siku mimi ni mwenyeji kule member wanao kuwa on line huwa hawazdi 3000 kwa kila muda! Sema wanacho tuzidi ni jinsi wanachama wanavyo changia mada! Pia kwenye jinsi ya kuchangamkia mada sisi bado tunawazidi kabisa....kidogo jukwaa wanalo changamkia mada kwa wingi ni sports and politics!

Kingine ambacho tunawazidi ni idadi za topic kwa siku...huku Jf watu wanatengeneza thread hakika!
Nimekuelewa mkuu Ruta, nilijichanganya ni kwamba ina registered members mil 2 nafikiri kwa hili nipo sahihi....kuhusu kasi ya uchangiaji nafikiri bongo tupo kwenye top 5 afrika maana sio fb,insta wala tweeter tupo active sana huwezi fananisha na ke au ug.
 
Nimekuelewa mkuu Ruta, nilijichanganya ni kwamba ina registered members mil 2 nafikiri kwa hili nipo sahihi....kuhusu kasi ya uchangiaji nafikiri bongo tupo kwenye top 5 afrika maana sio fb,insta wala tweeter tupo active sana huwezi fananisha na ke au ug.

hata registered member hawafiki million mbele ni Million 1+ . Ukitaka kujua Jf ni moto wa kuotea mbali jaribu kutembelea majukwa tofauti duniani! Aliye design muonekano wa Jf nampa big up sana maana hata Nairand hawatii maguu!
Kwa kasi ya uchangiaji sisi jf ni moto mfano jana nilikuwa nafatilia fainali ya AFCON nilikuwa napita kote Nairand na Jf hakika Jf watu wana shambulia thread kwa kasi sana!
Take a look!
 
Back
Top Bottom