Is it true that KANUMBA Freemasonry WAS?

Inawezekana ni ulimbukeni na wala hawa si wachawi ila la msingi ni kujenga kizazikisichokuwa na akili za kimizimuzimu maana what you dream to be is what you are in actual sense.
Wasomi wsamefanya research wakatoa maandishi lukuki, leo hii unataka tukuamini wewe unayetoa conclusion ukiwa kitandani. Impossible
 
Kuna watu ni wazembe sana wa kufikiri ama kujisomea. free masonry ni genge la watu ama jamii flani walio kubaliana kuwa kama ndugu. ni genge la siri(TOP LEVEL SECRET) ambalo ukiwamo ndani mtu wa nje haruhusiwi kujua nini kinafanyika humo ndani. na ni viapo vikubwa mno ambavyo vina mahusiano ya karibu sana na shetani kwa maana rahisi ni ushetani na wanaabudu shetani. nitaanza kuwaletea makala hizi ili msiojua vizuri msome mlitambue hili. sisemi kwamba kanumba alikuwa free masonry ama la.
free masonry ni genge tajiri kuliko genge lolote hapa duniani kwani ndilo linalomiliki uchumi wa dunia. nikwambie hata tukio la SEPT 11 lilipangwa na kuratibiwa na genge hili, wanaohusika ni viongozi wakubwa sanawa dini zote, nchi zote zenye dola kubwa sana na matajiri wakubwa woote unaowajua wewe. so si genge legelege hata kidogo. genge hilli lipo kaika level 3 ambayo inawakilishwa na pembe tatu iliyogawanywa mara3. ukiangalia kipande cha juu ni kidogo kuliko vyote, hiki kinawakilisha vongozi wa juu kabisa wa genge hili na wanaoujua vizuri u free masonry na siri zake zoote kipande hiki kina jicho linaloona likiashiria kuwa wako very aware na wanachokifanya. kuna kipande cha katikati ni cha watu ma middle men hapa hiki nikikubwa kiasi na kuna watu wengi kiasi ukilinganisha na kipande cha juu. hapa ndoutakutana na watuwengi sana maarufu kama marais wa nchi, wanamziki, waigizaji, wafanya biashara wakubwa wakubwa sehemu hii utakuta watu maarufu kama rihana,jay z, kipande cha chini ni kikubwa kuliko vyoote hiki kinawakilisha tabaka la chini sana la watu ambao wanafanya u free masonry wakiwa wanaujua, na wengine wanaofanyya bila kujua hapa almost kila mtu anaweza kuangukia kwenye hili kundihapa ndipo watu wengi wanaotuzunguk na tunaishi nao wamo katika kundi hili
 
Wavivu wa maendeleo kazi yao kuita waliofanikiwa freemasons.
OTIS
 
Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi na kama tukitaka kutafakari tutapata dhambi bure iwe kweli au si kweli
Mungu ndo mwenye kujua na wanadamu ni wanyonge na hawana jinsi ya kuamua kufa au kutokufa kwani hata kama unavyosema alikataa kumtoa mama yake je angemtoa hao freemanson wangempa uhai wa kuishi milele? "KUFA NI LAZIMA NA NI HAKI YA KILA KILICHO HAI DUNIANI NA HAKUNA WA KUMNYANG'ANYA MTU/KIUMBE CHOCHOTE HAKI HIYO".
Na naomba kukujuza kuwa hakuna wa kukuzuia kufa hata kama uwe uko freemanson au hauko huko na kukumbuka MUNGU ndo anajua yupi afe lini na wapi na si freemanson na freemanson wenyewe wanakufa je wanakuwa wamekosa nini kuzuiwa na mkubwa wao wasife?"KILA AITWAYE NA MOLA WAKE HUITIKA NA HAKATAI KWANI NI HESHIMA KUITWA NAWE KUITIKA KWA UNYENYEKEVU AWE BINADAMU AU MAJINI"
 
Nashindwa kuamini kama hakuwa freemason kwa hizo picha na umaarufu ALIOUPATA
 
Hata web ya freemason walisema kuna wasanii wawili wa movies za bongo ni wanachama. Pia usikariri, Freemason sio kuvaa tu nguo za ajabu.

Kukariri kukowapi kama na wewe unakiri kuwa na mavaz yamo?
 
Wasomi wsamefanya research wakatoa maandishi lukuki, leo hii unataka tukuamini wewe unayetoa conclusion ukiwa kitandani. Impossible

Hujanielewa mkuu na dhani unakaa nje ya Tz na jamii, vijana wengi wanavaa machata haya na ni ulimbukeni tu. Pia inawezekana na akina AY, Kanumba na engineo ni wale wale tu.
 
Kuna watu ni wazembe sana wa kufikiri ama kujisomea. free masonry ni genge la watu ama jamii flani walio kubaliana kuwa kama ndugu. ni genge la siri(TOP LEVEL SECRET) ambalo ukiwamo ndani mtu wa nje haruhusiwi kujua nini kinafanyika humo ndani. na ni viapo vikubwa mno ambavyo vina mahusiano ya karibu sana na shetani kwa maana rahisi ni ushetani na wanaabudu shetani. nitaanza kuwaletea makala hizi ili msiojua vizuri msome mlitambue hili. sisemi kwamba kanumba alikuwa free masonry ama la.
free masonry ni genge tajiri kuliko genge lolote hapa duniani kwani ndilo linalomiliki uchumi wa dunia. nikwambie hata tukio la SEPT 11 lilipangwa na kuratibiwa na genge hili, wanaohusika ni viongozi wakubwa sanawa dini zote, nchi zote zenye dola kubwa sana na matajiri wakubwa woote unaowajua wewe. so si genge legelege hata kidogo. genge hilli lipo kaika level 3 ambayo inawakilishwa na pembe tatu iliyogawanywa mara3. ukiangalia kipande cha juu ni kidogo kuliko vyote, hiki kinawakilisha vongozi wa juu kabisa wa genge hili na wanaoujua vizuri u free masonry na siri zake zoote kipande hiki kina jicho linaloona likiashiria kuwa wako very aware na wanachokifanya. kuna kipande cha katikati ni cha watu ma middle men hapa hiki nikikubwa kiasi na kuna watu wengi kiasi ukilinganisha na kipande cha juu. hapa ndoutakutana na watuwengi sana maarufu kama marais wa nchi, wanamziki, waigizaji, wafanya biashara wakubwa wakubwa sehemu hii utakuta watu maarufu kama rihana,jay z, kipande cha chini ni kikubwa kuliko vyoote hiki kinawakilisha tabaka la chini sana la watu ambao wanafanya u free masonry wakiwa wanaujua, na wengine wanaofanyya bila kujua hapa almost kila mtu anaweza kuangukia kwenye hili kundihapa ndipo watu wengi wanaotuzunguk na tunaishi nao wamo katika kundi hili

Nimekupta mkuu. Ila sijapenda ulivyojifagilia kuwa wewe unafikiri kuliko watu wote na unajisomea hivyo pia. Siamini katika hilo may be umejikita kwenye hili tu.

Lingine ni kuwa hakuna siri duniani na ndo maana umekubali kuwa wewe unawajua sana na utaendele kutujuza, swali je, wewe ni mmoja wao? Kama ndo hivyo mbona utatoa siri zenu na kama si mmoja wao basi ulijuaje na kama ulijua kumbe hakuna siri maana wewe unajua na maandishi yapo.

Kwingine nakuunga mkono.
 
Back
Top Bottom