Is it true that KANUMBA Freemasonry WAS?

sema jumba la dhahabu, this is it, na zngnezo plus mavaz haya sijui kama hakuwa
nili dought 2yrz ago!
na kifo chake kile?
 
Kila mmoja yupo free kusema lolote kuhusu Kanumba kwa sasa. Nani awezaye kumjibia..? amekwenda na mambo yake, nasi tumebaki na mambo yetu...Tujadili yakwetu...he is gone, hatutamwona tena
 
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.


kwa jinsi ninavyoelewa kuhusiana na freemasons sio watu wa kufanyia mzaha,soma tena history vizuri ya freemasons utaona kabisa kwamba kanumba hana sifa za kuwa member. example in tanzania jaribu kumuangalia sir andy chande then compare na kanumba apo nadhani utaona utofauti wao.

porojo za mitaani tujaribu kuacha kabisa. angalia kidogo nje ya tanzania hao jamaa freemasons ndo remote control ya dunia hii.kila kitu unachotumia kinatokana na ideas zao then anaibuliwa mtu wa kuimplement the ideas.
check on bush,clinton jay-z, michael jackson na member wengineo wapatao milion mbili na zaidi ulimwengu mzima.

find the meaning of these?:

you will never work alone

jealous one still envy

if you are not working with us,you are using and living with our generations.

niungane na mwenzangu kanumba kuwa freemasons ni story za kusadikika. sawa na kujenga nyumba angani.
 
Mimi nilipoiangalia ile Devils Kingdom,
niliwaza y alifanya that m0vie?bt nimei0na afta his Death,
 
no one knows! tuwe tujenge tabia ya kudadis watu wakiwa hai, lakini tukisubiri mpaka watoweke, hakuna atakayekuwa na jibu sahihi miongoni mwa tuliobaki, hasa kwenye ishu kama hizi.



Nimeipenda hii!

Itabidi hii kazi ianze mara moja kwani maulizo ni mengi baada ya kifo cha mtu!
 
Siyo kweli.

Sifa ya freemason ni kujifanya mfuasi na muumini mzuri wa dini yake ( iwe ni uiaslamu, ukristo, uyahudi nk), na huwa mstari wa mbele kutoa misaada kwa yatima na wasiojiweza. Vilevile ni wahudhuriaji wa mazishi wazuri sana. Hii ni kutaka kuonyesha kwamba ni watu wanaojali na wenye roho za huruma kwa jamii inayowazunguka..!!!

Kumbuka kwamba marehemu Kanumba alikuwa msanii.
 
Dah! Na mimi nna t-shirts kama hizo kwenye picha, ngoja nikazichome fasta nisije nikapata brain concussion!
 
Mm na amini kanumba alijiunga, kwani wanao ingiya katika freemason wakoje?! Mbona wengi wapo uko
 
545737_332859623444239_100001606112228_967358_1401171441_n.jpg 533458_332984000098468_100001606112228_967626_797736406.jpg

Ni vizuri wht ever we do in life, either we imitate or create we seek for their meanings.
 
Haya mambo ya freemason ni upuuzi mtupu! Mimi nayalinganisha na imani za kishirikina. Ni yapo kwenye fikra za watu tu.
 
Kijoka nenda English Course. Laiti tungekuwa tunaishi karibu ningekupa tuition ya bure lau uepuke aibu. Mara nyingi tumieni lugha zenu hata kama ni kimakonde. Maana ukisoma kichwa cha habari unavunjika moyo na kukosa hamu hata ya kuchambua hoja.
 
Back
Top Bottom