Boniface Evarist
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 1,147
- 512
sema jumba la dhahabu, this is it, na zngnezo plus mavaz haya sijui kama hakuwa
nili dought 2yrz ago!
na kifo chake kile?
nili dought 2yrz ago!
na kifo chake kile?
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.
Nasikia walimwambia amtoe mama yake kafara akakataa kabisaa akasema bora nife mimi!!!!Habari za mtaani na zilizozagaa!!!
jaman jaman jaman!watanzania wengi ni wasanii maana wana kipaji cha kutunga stori
no one knows! tuwe tujenge tabia ya kudadis watu wakiwa hai, lakini tukisubiri mpaka watoweke, hakuna atakayekuwa na jibu sahihi miongoni mwa tuliobaki, hasa kwenye ishu kama hizi.
SK ni Mwanakwaya na muumini wa Kanisa la AIC Chang'ombe Freemason ni kumzushia kwani kwenye mazishi wangejitokezaKwa mfuatiliaji makini habari ya wajenzi huru ni hadithi za kusadikika.
Hicho ni kingereza au kihabeshi?Kwanini usiandike Kiswahili.
TazHeading yako inahusu!...Lugha za watu hizi jamani twende taratibu!
Kama U-fREEMASON NI KUVAA MASHATI ya hivo basi huenda alikuwa!
No, Kanumba he is not a Freemason.