Is it true that KANUMBA Freemasonry WAS?

Is it true that KANUMBA Freemasonry WAS?

Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema peponi na kama tukitaka kutafakari tutapata dhambi bure iwe kweli au si kweli
Mungu ndo mwenye kujua na wanadamu ni wanyonge na hawana jinsi ya kuamua kufa au kutokufa kwani hata kama unavyosema alikataa kumtoa mama yake je angemtoa hao freemanson wangempa uhai wa kuishi milele? "KUFA NI LAZIMA NA NI HAKI YA KILA KILICHO HAI DUNIANI NA HAKUNA WA KUMNYANG'ANYA MTU/KIUMBE CHOCHOTE HAKI HIYO".
Na naomba kukujuza kuwa hakuna wa kukuzuia kufa hata kama uwe uko freemanson au hauko huko na kukumbuka MUNGU ndo anajua yupi afe lini na wapi na si freemanson na freemanson wenyewe wanakufa je wanakuwa wamekosa nini kuzuiwa na mkubwa wao wasife?"KILA AITWAYE NA MOLA WAKE HUITIKA NA HAKATAI KWANI NI HESHIMA KUITWA NAWE KUITIKA KWA UNYENYEKEVU AWE BINADAMU AU MAJINI"

Wewe Muumini wa Mungu ila tatizo Mungu wako kakunyima uwezo wa kufikiri na kutafakari vizuri. Yaani wewe kama umeharibiwa na imani tayari umeshakuwa disabled!

Si kila kifo kinasababishwa na Mungu na ndo maana Mungu alitoa amri ya usiue. Alijua fika kuwa mwanadamu anaweza kuua. Sasa wewe unafikiria kuwa ata mwanajeshi akifyatua risasi basi ni Mungu Huu ni utovu wa nidhamu na ni upuuzi mtupu.
 
Mi'nahisi pia huyu jamaa marehemu alikua ndani, kuna cku watoto wenye umri wa miaka 8-9 walinitonya huku wakinionesha ushahidi wa ishara za vdole vyake ktk movie zake, hataivyo leo ndio nimeona hayo mavaz yake, ila pia swebe ktk cku ile ya kifo chake kutangazwa akiwa channel 5 tv kuna kauli alitoa kuhusu kuepuka maisha ya ushetan ikawa alert ya mwisho kumhisi jombaa alie lala kwa amani.
 
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.
Mvuto anao toka yupo chini kabisa kwenye sanaa
acha izo ndugu yangu,ungeonekana wa mana sana
ungeyasema hayo alipokuwa hai! sidhani kama angejiunga na
mambo hayo,alikuwa mtu wa kanisa,hayo mengine yaliyotokea
ni ubinadamu tu na ndo mana kuna makanisa ya kwenda
kutubu,tusimhukumu,ana wengine mna dhambi kushinda yeye,na tunawafichia siri
tu!
 
543475_334250129971855_100001606112228_971253_179380425_n.jpg Kulikuwepo sababu ya kufanya hivi pia? Ata kama ni edited.
 
Ungerekebisha lugha kwanza ndipo ueleweke...heading yako duh...!!
 
Me naamini 90% kwani hata kabla hajafa nilishasikia na hata ule mvuto wa watu hata viongoz wa kitaifa ni nguvu ya freemason kwan hata miongon mwa wakuu ni dini hyo.

kumbe ni kitu bomba, atangazwe mtakatifu.
 
wakuu hivi mmegundua kwamba baada ya kifo chake huyu jamaa.(r.i.p) habari za freemason zimeporomoka!? je kuna kiashiria chochote kwa hili?
 
Back
Top Bottom