Is God fair ?

Is God fair ?

That is neither here nor there.

Nipe maneno yangu yaliyokufanya useme nimesema kisichoonekana hakipo.

Inashangaza kusema kwamba mimi nimesema kisichoonekana hakipo wakati naomba uthibitisho kwamba mungu yupo kwa kutumia "logical consistency" ambayo haionekani.

Mtu anayesema "kisichoonekana hakipo" ataombaje uthibitisho wa uwepo wa mungu kwa kutumia "logical consistency" ambayo haionekani?

Kwa kusema hivyo tu (kwamba mimi nimesema kisichoonekana hakipo)na wewe umekosa logical consistency katika kunichambua ninavyofikiri.

Nisome tena.

husomeki !
 
100% of the non theists claiming to have arguments and evidence (rather than being honest) have in fact failed to produce any such thing - including you.

There is a real problem with non theist intellectual foundations. I'm just providing the platform for you to expose yourselves.

I offered plenty of good arguments and evidence. You will not be able to defeat anything. You just ignore it.
You offered no arguments or evidence to justify non theist belief.

Tueleze na c bla bla...
 
...na kwa akili yako usichokiona wewe HAKIPO.vipo unavyoviona wewe tu.
kiwango chako cha upumbavu kiko juu mnoo...
yaani unakutana na mtu then unamwambia kwamba chumbani kwake kuna kibatari cha dhahabu kisichoonekana kinaelea katikati...
kwamba ni illusionist ni kukupa ujiko usio stahili.labda ni mwezi mchanga...
mifano yako imejaa majinga majinga na wala huoni soni.
unategemea ignore list imekupa kiburi cha kuandika majinga majinga...
Majinga majinga yenyewe ni :
kama unafahamu kutokuwepo kwa kibatari cha dhahabu kwa nini uulize au wewe ni chizi ?
wewe umesa chumbani kwangu "HAKUNA " then wataka uthibitishiwe hakuna yako. bogus

umeambiwa Mungu ndiye Muumbaji angalau kina pa kuanzia.
wewe unasema huyo ninayesema ni Muumbaji hayupo ! nakuuliza umejuwake hayupo ? Wakati mimi nafahamu yupo na amewahi kuja duniani akakanyaga ardhi akiitwa Yesu.
badala ya kuniambia namna ulivyomtafuta ukamkosa na ukahitimisha hayupo unabuni mfano uliojaa majinga majinga.

wewe jamaa mzigo kweli kweli...
cc Ishmael

Haya niambie wakati mungu yesu akiwa kaburini siku 3 nani alikuwa mungu?.Je hakukuwa na mungu kwa siku 3?.Je nikisema mnajichanganya na vitabu vyenu vya mila na tamaduni za waisrael nitakuwa wrong.
 
Last edited by a moderator:
Ukijua kibaya kitatokea tangu mwanzo, utatokaje kwenye furaha na kuanza kuhuzunika hapo kinapotokea kama vile hukujua kitatokea?

Tena kujua kwenyewe ai kwa kibinadamu kama utabiri wa hali ya hewa, ni kujua kama mungu kisikokuwa na uwezekano wa kukosea.

Mungu anatokaje kwenye furaha na kuanza kuhuzunika kwa sababu wanadamu wamekosea wakati alijua yote hayo tangu mwanzo?

Na kwa nini mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambayo mabaya yanaweza kutokea wakati ana uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kutokea?

How can I be scared of something that you can't even prove is there?

Unaweza kuthibitisha mungu huyu yupo?

Anayemuogopa mungu hawezi kupinga uwepo wake, ataanzaje kupinga iwepo wa mungu wakati anamuogopa?

You got it twisted backwards.

Wewe unayesema mungu yupo bila kuweza kunielezea ndio unamuogopa, si mimi ninayekuuliza yupo vipi.

I have done nothing but proving to you that there is one MIGHTY GOD....THE GREAT I AM. tumekupa maelezo ya kutosha na evidence kuwa yupo. its a fact. sasa kama umeamua kutoelewa, hilo halinihusu. the universe is that way because he wanted it to be that way.

kutoelewa kwako hakumaanishi Kuwa Mungu hayupo. Mungu yupo na tunaendelea kumuona kila siku through his beloved son JESUS CHRIST.

nyie endeleeni kushangaashangaa na kujiona mna akili nyingi
 
Haya niambie wakati mungu yesu akiwa kaburini siku 3 nani alikuwa mungu?.Je hakukuwa na mungu kwa siku 3?.Je nikisema mnajichanganya na vitabu vyenu vya mila na tamaduni za waisrael nitakuwa wrong.

Mungu ni roho sio mwili
 
I have done nothing but proving to you that there is one MIGHTY GOD....THE GREAT I AM. tumekupa maelezo ya kutosha na evidence kuwa yupo. its a fact. sasa kama umeamua kutoelewa, hilo halinihusu. the universe is that way because he wanted it to be that way.

kutoelewa kwako hakumaanishi Kuwa Mungu hayupo. Mungu yupo na tunaendelea kumuona kila siku through his beloved son JESUS CHRIST.

nyie endeleeni kushangaashangaa na kujiona mna akili nyingi

Maswali mawili hujajibu.

Unaweza kithibitisha kwamba mungu yupo? Thibitisha au nipe link ulipothibitisha ni wapi tupachambue.

Mimi nitaogopaje kitu ambacho hujathibitisha kwamba kipo?
 
Maswali mawili hujajibu.

Unaweza kithibitisha kwamba mungu yupo? Thibitisha au nipe link ulipothibitisha ni wapi tupachambue.

Mimi nitaogopaje kitu ambacho hujathibitisha kwamba kipo?

Mimi sitegemei link yoyote inithibitishie uwepo wa Mungu. nathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo. mfano mdogo, leo nimekula nikashiba. huo ni uthibitisho aliyeniwezesha hilo ni Mungu mwenyewe

you are in denial, it seems kuna jambo lilikupata na ndilo likakupelekea kuwa hivyo ulivyo. kiufupi una hasira na Mungu. unajiuliza alikuwa wapi wakati hilo jambo linakupata. unatafuta kureconcile na moyo wako, you are trying hard within you kutafuta majibu lkn huyapati. Ili moyo wako utulie, unajiambia hakuna Mungu
 
mkuu Kiranga unachokifanya ni kutaka kumfahamu huyu Mungu. you are eager to learn and know God, thats a breakthrough. kupitia kwako nimejifunza kitu.....you are not an atheist.

true atheists hawajisumbui hata kufungua nyuzi zinazohusiana na Mungu. to them God isnt worthy even their thoughts.
 
Last edited by a moderator:
kwa nini mungu(kama yupo)aliyetuumba mi na wewe wewe umjue na mimi nisimjue?.kwa nn tumsome mungu darasani?kwa nn wewe unifundishe kuhusu muumba wangu?.

kama aliwez akuiweka pumzi tukaivuta automatically bila kuiomba ama kuitafuta mahala alishindwa nn kufanya tumjue automatically ?.

kuna mambo mengi sana mmeshindwa kujibu humu tangu zamani labd akama we ni mgeni hapa jf ama katika jukwaa hili.

Ukimaliz akujieleza nambie kwa nn mungu aliumba cultural isolation if the Hindu ??.Then nambie if they are praying yo the wrong god.Pili thibitisha kwamba mungu wako ni w akwel na sio mungu wa waislam ?wakristu ama wayahudi pia thibitisha kwamba wao mungu wao sio sahihi.karibu jukwaan

Nimeona nirudie kusema kwamba Mungu angetaka kuumba ulimwengu ambao watu
hawafanyi maovu,basi yeye angejua kila kitu kuhusu hivyo viumbe kabla hata hayajatokea mwanzo hadi mwisho(sababu ni mjuzi wa yote).Na pia yeye ndiyo angepanga kila kitu kuhusu hao viumbe,hakuna ambacho kingetokea pasina yeye kukitaka kutokea,hivyo Mungu anaumba na hufanya vile atakavyo sababu ndiyo mwenye nguvu na muweza yote. Sasa tunapokuja kwenye ulimwengu wetu ambao tunafanya maovu na mambo mengine,ni vilevile tu kwamba Mungu anayajua yote ambayo tunayoyafanya na ambayo bado kuyafanya,Yote ambayo yanatokea ktk ulimwengu basi ni yeye(mwenye uwezo wa yote) ndiyo ametaka yatokee hakuna kinachotokea ambacho hakikuwa ni matakwa yake. Matakwa yake yapo aina:yapo ya aina mbili,kuna mipangilio ya kiulimwengu ambayo kama kuchomoza kwa jua na kuzama,mvu n.k(na ndiyo ktk dalili za uwepo wake), hayo yote ni matakwa yake..halafu matakwa ya aina ya pili ndiyo haya tunayofanya sisi kama hayo maovu na mengineyo,ametuacha tufanye tutakavyo lakini ni ndani ya matakwa yake,kwa maana hiyo ambalo hatolitaka hatutoweza kulifanya. Ndiyo maana anasema kuwa anaumba na kufanya atakavyo. Na laiti angependa hao wanaofanya maovu kutokufanya hayn maovu basi wasingefanya,kama alivyowafanya malaika.
 
Mimi sitegemei link yoyote inithibitishie uwepo wa Mungu. nathibitisha mwenyewe kuwa Mungu yupo. mfano mdogo, leo nimekula nikashiba. huo ni uthibitisho aliyeniwezesha hilo ni Mungu mwenyewe

you are in denial, it seems kuna jambo lilikupata na ndilo likakupelekea kuwa hivyo ulivyo. kiufupi una hasira na Mungu. unajiuliza alikuwa wapi wakati hilo jambo linakupata. unatafuta kureconcile na moyo wako, you are trying hard within you kutafuta majibu lkn huyapati. Ili moyo wako utulie, unajiambia hakuna Mungu

Leo umekula ukashiba, huo ni ithibitisho kwamba mungu yupo.

Ama huelewi uthibitisho ni nini, ama huyo mungu wako humuelewi.

Inawezekana pia huelewi vyote.

Nitakuwaje na hasira na mungu ambaye huwezi hata kuthibitisha kwamba yupo?
 
mkuu Kiranga unachokifanya ni kutaka kumfahamu huyu Mungu. you are eager to learn and know God, thats a breakthrough. kupitia kwako nimejifunza kitu.....you are not an atheist.

true atheists hawajisumbui hata kufungua nyuzi zinazohusiana na Mungu. to them God isnt worthy even their thoughts.

Kwa msingi huo na wewe unataka kujua atheism, by the same extrapolation wewe ni atheist, true believers hata hawajisumbui kufungua uzi unaojadili uwepo wa mungu au fairness yake.
 
Last edited by a moderator:
...na kwa akili yako usichokiona wewe HAKIPO.vipo unavyoviona wewe tu.
kiwango chako cha upumbavu kiko juu mnoo...
Kiongozi, hawa jamaa huwa nawaita mindless, kwasababu vipo vitu vingi sana ambavyo havionekani na vipo. Nilitoa mfano wa "love" "upendo",

He muulize huyo God Hater, how can he scientifically prove that "love" do exist?

yaani unakutana na mtu then unamwambia kwamba chumbani kwake kuna kibatari cha dhahabu kisichoonekana kinaelea katikati...
kwamba ni illusionist ni kukupa ujiko usio stahili.labda ni mwezi mchanga...
mifano yako imejaa majinga majinga na wala huoni soni.
Mifano yake ni ya kipumbavu na haipo kwenye logic. Ndio maana namuita mjinga wa akili. Sasa kama yeye ni mjinga, kwanini hayupo teyari kuufuta ujinga wake?
Ni kwasababu anaishi ndani ya box na anafikiri ndio mwisho wa maisha.

unategemea ignore list imekupa kiburi cha kuandika majinga majinga...
Majinga majinga yenyewe ni :
kama unafahamu kutokuwepo kwa kibatari cha dhahabu kwa nini uulize au wewe ni chizi ?
wewe umesa chumbani kwangu "HAKUNA " then wataka uthibitishiwe hakuna yako. bogus

umeambiwa Mungu ndiye Muumbaji angalau kina pa kuanzia.
wewe unasema huyo ninayesema ni Muumbaji hayupo ! nakuuliza umejuwake hayupo ? Wakati mimi nafahamu yupo na amewahi kuja duniani akakanyaga ardhi akiitwa Yesu.
badala ya kuniambia namna ulivyomtafuta ukamkosa na ukahitimisha hayupo unabuni mfano uliojaa majinga majinga.

wewe jamaa mzigo kweli kweli...
cc Ishmael
Umelenga penyewe Kiongozi.
 
kama una kipya leta hapa kama ushahidi ama tujadili lakini kuponda Atheism haitamaanisha Theism ni sahihi
You offer no evidence to justify your belief in No God. You offer excuses for why you don't need evidence.

You have provided no objective basis (true irrespective of individual belief) whatsoever. Even child rape cannot be objectively wrong if non theism is true. If we are just chemical animals, chemicals causally determine everything. There is no free-will or choice. Why is a child rapist wrong if he has no choice? Why is one chemical illusion of morality the 'right' illusion? Why does your chemical illusion constitute a moral duty upon another chemical animal who has a different illusion of raping children as 'good' for him?
 
Tueleze na c bla bla...
Obviously we both know you are lying. Your lies are even more naked and egregious as the written record reveals I have answered you with a full and valid refutation.

1) The arguments are evidences for God.

2) I regularly offer massive evidence to justify Theistic belief (see below). You cannot refute my evidence nor can you offer any justification for your non theistic belief.

Here is my evidence for God's likely existence.
Where is your evidence God does not exist?


Contingency – Why does something exist rather than nothing? Something cannot come from nothing, so Something must self-exist. Self-existence is necessary. Universe began. Universe is not self-existent. Universe requires a causally antecedent agency to explain it's existence. God does not – no beginning.

Cosmological – Absolute beginning requires a cause. Cause of Physical Universe cannot be Physical. Must be non-physical, space-less, timeless and willful to cause Physical Universe from Physical Nothingness.

Design: specified complexity, specifically integrated interdependencies for third purposes, irreducible complexity. No plausible Naturalistic mechanisms or explanations actually exist.

Precision FINELY TUNED constants and quantities present in initial conditions of the Universe to within infinitesimally narrow ranges to permit life. Universe is precision balanced on razor's edge.

Ontological argument – God is a metaphysically necessary Being. Since God's attributes are metaphysically possible, and all metaphysical possibilities are also actual, God must be actual.

Intelligence in Nature: Intelligence, order and reason and information all from Nothingness?
Spiritual instinct of man: Evolved to connect with something not actual?

Free-will: Chemical causation is not free-will. Agency requires a soul. Chemicals have no moral duties
Moral Truth / Apprehension of Objective moral truth. Is rape really wrong or just an illusion? Is rape just a natural chemical byproduct caused by electrochemical activity (non theism) – or an act of will.

Massive Historical evidences of witnessed Miracles, visions, fulfilled prophecies,
Personal experiences: Ubiquitous NDE's, supernatural phenomena
Christ's resurrection witnessed by hundreds.

Absolute failure of Naturalism to explain a Finely tuned Universe, Finite Universe, Sentience, Rational truth and natural order, Moral Law (morality), intuition, intentionality, intelligence, purpose, free-will…
 
Haya niambie wakati mungu yesu akiwa kaburini siku 3 nani alikuwa mungu?.
Do you remember nilikwambia wewe ni Muislam halafu ulikuwa unagoma. Unaona jinsi ukificha dini yako mlango wa nyuma sasa umeumbuka.

Unafahamu maana ya "OMNIPRESENT" ? Jesus is Omnipresent at all time.

Je hakukuwa na mungu kwa siku 3?
.
Bado umebakia kule kule kwa Waislam na kuonyesha udhaifu wako wa kufikiria.

No, he is Omnipresent and in fact Jesus was not dead but absent from the body.

Je nikisema mnajichanganya na vitabu vyenu vya mila na tamaduni za waisrael nitakuwa wrong.

Jifunze tu maana ya haya maneno rahisi.
1. Omnipresent
2. Omnipotent
3. Omniscient

Halafu njoo tuongee au nikujuze kivipi hayo maneno yako kwababu ya Yesu Mungu.

Hivi kwanini huu ni mwaka 2015 A.D.?
 
Sisi sote ni watoto wa mungu. Mungu hakuchagui sababu unajitunza au vingibevyo vile. Anafanya kila kitu vile inavyompendeza. Imani na uhusiano wako kwake ndio utakao kuokoa na mengi duniani. Neema za mungu zinamuangukia yeyote yule hata kama ni mzinzi wa kutupwa au mwizi.

Mkaribie mungu, mfahamu, kuwa na mahusiano nae atakuondolea shida yako ndugu yangu. Usilalamike hutakaa upate jibu maishani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom