Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 85,763
- 145,547
Kwa nini ufikiri kwamba huzuni ni weakness??????????????
a) was he sad
b) was he disappointed
c) was he dismayed
You are critical on the words used to describe God's response on the fall of his own creation. And the fact that you are dissecting the whole idea of creation in relation to the greatness of creator, i honestly cannot see how you are going to conclusively arrive at the fair conclusion from the human point of view.
because this if a faith based reasoning with its own logical conclusion that sometimes satisfy itself with the mystery that surround the whole idea of God and His creation.
There is no such thing as "faith based reasoning" when it comes to god.
Faith is the suspension of reason, it's "own logical conclusion" is a deus ex machina designed at escaping fair and logical scrutiny.
Hujajibu maswali.
Kwa nini unafikiri ni assumption?
Na huzuni ilimfikia vipi?
Na vyovyote vile itakavyomfikia, mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote anafikiwaje na huzuni?
Huzuni inakuja kwa kupata habari mpya, habari inayobadilisha hali ya mawazo yako kutoka furaha zaidi kwenda huzuni zaidi.
Mungu ambaye hamna kipya kwake, kwa sababu anajua kila kitu na anaweza kila kitu, anapataje huzuni?