Haya niambie wakati mungu yesu akiwa kaburini siku 3 nani alikuwa mungu?.Je hakukuwa na mungu kwa siku 3?.Je nikisema mnajichanganya na vitabu vyenu vya mila na tamaduni za waisrael nitakuwa wrong.
Pole sana La Princesa. Just know kwamba, whatever happens, happens for a reason. Mshukuru Allah kwa chochote kinacho kutokea. You never know as long as you are still alive, kuna mengi yakujifunza na yatakutokea. Mwisho wa siku wate tutakufa hatakama upo katika utajiri au mamlaka kama Steve Jobs, Gaddafi etc.
Kwa hiyo mungu yesu alipokufa siku tatu nani alikuwa mungu?.Je hakukuwa na mungu siku 3?.Je nikisema mmekariri nitakuwa wrong??
Mungu ni roho and never even once the spirit dies
Roho ni nini?
Unaweza kuthibitisha kwamba ipo na si hadithi za uongo tu?
Unaweza kuthibitisha kuwa upepo upo?
Upepo ni nini?
Upepo ni mwendo wa hewa kwa mawimbi kutoka eneo lenye presha kubwa kwenda kwenye presha ndogo, unapimwa kwa kipimo kinachoitwa anemometer kinachoweza kupima upepo unaelekea wapi na kwa kasi gani.
Anemometer - Wikipedia, the free encyclopedia
Roho ni nini na inapimwa kwa kipimo gani?
Unaweza kuuona upepo?unaweza kuushika?
Mungu ni roho and never even once the spirit dies
Sikuomba unionyeshe roho au niishike, nimeomba uthibitisho kwamba ipo, kwa hiyo swali lako halina mlinganyo.
Licha ya hilo, unaweza kuuona upepo kwa principles za brownian motion kama ulisoma physics ya form one.
Unaweza kuushika na kuufungia kwenye puto, unaweza kuutumia kwenda na mashua, kuna mpaka ramani za mikondo ya upepo duniani.
Ona hapa http://earth.nullschool.net/
Unaweza kurhibitisha kwamba roho ipo?
Hujajibu swali hili bado.
we jamaa mzigo kweli,ukiulizwa unarejea vitabu unavyokariri wewe kama ndivyo vyenye authority ukipewa ushahidi wa maandiko ya Mungu unataka uthibitishiwe kwanza uwepo wake.
nawewe kwa nini usianze kuthibitisha uwepo wa brown kabla hujataka zitumike kama rejea ?
Tatizo unanipa ishahidi wa maandiko ya mungu badala ya kunipa ishahidi wa uwepo wa mungu.
Tatizo unanipa ishahidi wa maandiko ya mungu badala ya kunipa ishahidi wa uwepo wa mungu.
maandiko ndiyo rejea. wewe unaombwa ushahidi wa upepo unataka wengine wafuate rejea toka brownian, toa ushahidi wa uwepo wa upepo na sio kukimbia swali kwa kuhoji ati watu hawakusoma so and so !
toa majibu ya kuendeleza na kuleta maana kadri ya mjadala
Kama mungu yupo, muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, kwa nini kaumba dunia ambayo ina uwezekano wa kuwa na mabaya, mateso, dhiki, etc wakati alikuwa na iwezo wa kuumba dunia ambayo hivyo haviwezekani?
SWALI LA "KWA NINI " aliumba ulimwengu huu ambao wewe unakukera ulikwishajibiwa na kupewa ufafanuzi.
ubongo wako umeghoshiwa hautaki kupokea ujuzi mpya hivyo ni busara chafu inayokuongoza kuuliza swali hilo hilo hata upewapo majibu.
labda nijibu upya kwa herufi kubwa: MUNGU ALIUMBA DUNIA NAMNA ILIVYO ILI IWEZE KUHIFASHI VIUMBE WENGINE KWA MPANGILIO WAKE, AKAMUUMBA MWANADAM KUWA MBIA KATIKA KUENDELEZA MAISHA DUNIANI KWA KUMTUNUKU BUSARA NA MAARIFA YA KUISHI NA KUTIISHA DUNIA.
hivyo Hayo uyaonayo matatizo ndiyo.msingi wa kumtofautisha binadam na hayawani wengine kwa kuwa binadam ambaye ni mbia katika uumbaji wa Mungu dhidi ya viymbe wengine anawajibika kutafuta maarifa ya kuifanya dunia ni sehemu bora ya kuishi huku akizingatia ecosystem kuilinda kwa kadri ya mpango wa Mungu.
ni bahati mbaya sana binadam amekosa maarifa kwa kujifungia katika baadhi ya vitengo ndani ya mfumo wa dunia kadri ya Uumbaji wa Mungu.
matokeo yake binadam kajifungia ndani ya kanuni ambazo zinafisha uwezo wake wa kutafuta maarifa zaidi kwa jina la Sayansi; kanuni hizo kutokana na mapungufu yake zomewafanya mwanadam wanaozitegemea waishi wakikabiliwa na msongo mkali wa mawazo na kukosa maarifa na busara ya kibinadam waliopewa na Mungu,kiasi cha kuchanganyikiwa na kuhoji uwepo wa Mung.
Kama mungu yupo, muweza yote, mjuzi wa yote, mwenye upendo wote, kwa nini kaumba dunia ambayo ina uwezekano wa kuwa na mabaya, mateso, dhiki, etc wakati alikuwa na iwezo wa kuumba dunia ambayo hivyo haviwezekani?