UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,455
- 8,746
Naonyesha contradiction.
Mungu mkamilifu kabisa, hahitaji chochote. Hahitaji hata kuumba.
Mungu wenu mnasema mkamilifu.
Hapo hapo kaumba.
Kaumba kwa sababu gani na yeye mkamilifu kabisa?
Alijisikia lonely kukaa mwenyewe akataka kampani viumbe wafanye vituko na yeye a play Judge Judy na kusujudiwa apate kitu cha kupitisha muda?
Hehehe...kutapatapa kubaya sana.
Nimekuuliza ni Mungu gani unayemzungumzia?
Au Mungu anatakiwa awe vp?
Na contradiction ni nini na inahusika vp hapa?
mbona unachekesha!umebugi