Is God fair ?

Is God fair ?

kwa nini mungu(kama yupo)aliyetuumba mi na wewe wewe umjue na mimi nisimjue?.kwa nn tumsome mungu darasani?kwa nn wewe unifundishe kuhusu muumba wangu?.

kama aliwez akuiweka pumzi tukaivuta automatically bila kuiomba ama kuitafuta mahala alishindwa nn kufanya tumjue automatically ?.

kuna mambo mengi sana mmeshindwa kujibu humu tangu zamani labd akama we ni mgeni hapa jf ama katika jukwaa hili.

Ukimaliz akujieleza nambie kwa nn mungu aliumba cultural isolation if the Hindu ??.Then nambie if they are praying yo the wrong god.Pili thibitisha kwamba mungu wako ni w akwel na sio mungu wa waislam ?wakristu ama wayahudi pia thibitisha kwamba wao mungu wao sio sahihi.karibu jukwaan

The rest of your responses are just sloppy protests. You clearly don't have any familiarity with the actual arguments or evidence. If you really think you have some point on something, pick one to pitch me and watch me knock it out of the park. Then we can repeat with another protest.
 
Hata nikijua upendo ni nini haitamaanisha mungu yupo.Unachotakiwa kujua ni kwamba idea ya mungu au kitu flani chenye uwezo kuliko cc wanadamu inatokana na hisia zetu na harakati za mwanadamu kutaka kujua mwanzo wake ni nini.So ukisema mungu ana uwezo wote na nguvu zote halafu anajua kila kitu hata vijavyo then ukasema mungu alipata hasira kwa baada ya jambo flani kutendwa na wanadamu utakuwa unachekesha fikiria upya.Pia lazima ukubali kuruhusu ubongo wako kupokea vitu na challenge mpya

Yes, any speculative multi-verse would also require an absolute beginning - according to BGV proof Theorem. They can't escape it.
 
what we are arguing here is the existence of God in the first place, regardless of christianity, hinduism or whatever coz at least they acknowledge the existence of god.
God created us with free will, the effect of free will is that we are at liberty to choose whether to know him or not
the difference is that, I have decided to acknowledge his existence and u have decided to ignore him altogether. he can't force u to acknowledge his presence, wewe sio msukule akupelekeshepelekeshe tu. Huo ndo upendo wa Mungu upitao ufahamu wa mwanadamu. amekuumba na anakuachia uhuru wa kumtambua ama kuacha.

I know you can't understand this, can you?

vitu vile vile ndugu.Hivi unajua maana ya Uhuru?,ni aina ganibya uhuru wenye adhabu baadae?.Labda kama sielewi maana halisi ya Freedom.Yaan ametupa uhuru wa kumjua ama kuacha kumjua lakini kuna adhabu ya moto na mateso baadae?.Sasa kama ametupa uhuru kwa nn kuna adhabu kwa waendao kinyume?.Think Big bro
 
Kwa nn usilijibu hilo la upendo kwanza kisha tukaendelea.Sisi tujo flexible kama ikiwa mtatupa ushahidi yakinifu kwamba mungu yupo na dio idea tu.

Here is one reason non theists are mindless:

Although science cannot directly detect God, it can examine His creation. Consider the non-physical concept of love. We all accept that love exists, although it cannot be directly measured by science. However, if we observe those who love each other, we can indirectly measure the affect of love on these individuals' actions. For example, we might notice that they spend a lot of time together, they are constantly helping each other in various ways, and they come to each other's defense when the other is threatened in some way. Although we cannot measure love directly, we can measure the indirect effects of love. Likewise, although we cannot measure God directly, we can examine the universe to detect God's imprint on the physical world.
 
vitu vile vile ndugu.Hivi unajua maana ya Uhuru?,ni aina ganibya uhuru wenye adhabu baadae?.Labda kama sielewi maana halisi ya Freedom.Yaan ametupa uhuru wa kumjua ama kuacha kumjua lakini kuna adhabu ya moto na mateso baadae?.Sasa kama ametupa uhuru kwa nn kuna adhabu kwa waendao kinyume?.Think Big bro

No more BS and spin. You can't prove most things you KNOW to be true.
That's why reasonable people expect evidence. Unreasonable "non theists" people expect proof.

You have no evidence nor proof for no God, yet you believe in No God.
IN GOD WE TRUST
 
Yes, any speculative multi-verse would also require an absolute beginning - according to BGV proof Theorem. They can't escape it.

Haha kumbe upo Ishmael ?Habar ya mwaka mpya ndugu?
 
Last edited by a moderator:
Anayejua yote na kuweza yote anaanzia wapi kuhuzunika?

Ili utoke kwenye furaha na kuhuzunika, ni lazima upate habari mpya.

Kwa mungu anayejua yote, hakuna habari mpya.

Kitakachomuhuzunisha ni kipi wakati yeye hawezi kujua kipya kwa kuwa anajua yote ?

Another pile of BS. This repetitive nonsense is getting old. You're not a great debater, you are just a stubborn old troll with computer who hates theist for no reason. I destroy your arguments every time we debate, quit convincing yourself. How about you demonstrate it this time? Oh. That's right you won't, because you always lose.
 
by the way nilichogundua ni kuwa wewe unatambua uwepo wa Mungu ila kuna vitu umeshindwa kuvielewa au kuvielezea, hivyo ukaamua kuhitimisha Mungu hayupo ili upate some peace of mind. in short, you are scared and confused

Hapana ndugu,siamini wala sitambui uwepo wake SMS
 
Last edited by a moderator:
Nature ya huyo mnayemuita mungu as in omnipotence, omniscience, omnipresence and omni benevolence.

Why would a being with all those capabilities create a world capable of unspeakable evil as this?

Your questions are not particularly meaningful.

You keep piling up questions and objections, then dance, spin and deflect when answered substantively and proven wrong. You refuse to answer anything I ask or hold yourself accountable.

That's just intellectual laziness.
 
Okay its Good tumefika mwaka 2015.Hayo mengine sipo huko kabisa

I said 2015 AD. Hata ukipinga haimaanishi haupo huko. Is like a TZ anaye mpinga au chukia Rais Kikwete asema Kikwete sio Rais wangu. That won't change anything.

People who are informed like me, knows better than that.

Incidentally, since you failed to counter any of my arguments I'm going to assume that you agree that the argument from non theists are invalid and will no longer use it
 
vitu vile vile ndugu.Hivi unajua maana ya Uhuru?,ni aina ganibya uhuru wenye adhabu baadae?.Labda kama sielewi maana halisi ya Freedom.Yaan ametupa uhuru wa kumjua ama kuacha kumjua lakini kuna adhabu ya moto na mateso baadae?.Sasa kama ametupa uhuru kwa nn kuna adhabu kwa waendao kinyume?.Think Big bro

unajua kuwa una Uhuru wa kuamua kula ama kutokula? ukiamua kutokula hakuna atakayekulazimisha, lakini unajua matokeo ya kutokula? utakufa eventually. that's nature, that's God...its as clear as gravitational pull.
ukiamua kutokula ukafa, utasema umeadhibiwa? inawezekana wewe kutokula umeona ni jambo jema
 
I said 2015 AD. Hata ukipinga haimaanishi haupo huko. Is like a TZ anaye mpinga au chukia Rais Kikwete asema Kikwete sio Rais wangu. That won't change anything.

People who are informed like me, knows better than that.

Incidentally, since you failed to counter any of my arguments I'm going to assume that you agree that the argument from non theists are invalid and will no longer use it

Sio mbaya naona unajifariji ndugu
 
Sio mbaya naona unajifariji ndugu

100% of the non theists claiming to have arguments and evidence (rather than being honest) have in fact failed to produce any such thing - including you.

There is a real problem with non theist intellectual foundations. I'm just providing the platform for you to expose yourselves.

I offered plenty of good arguments and evidence. You will not be able to defeat anything. You just ignore it.
You offered no arguments or evidence to justify non theist belief.
 
100% of the non theists claiming to have arguments and evidence (rather than being honest) have in fact failed to produce any such thing - including you.

There is a real problem with non theist intellectual foundations. I'm just providing the platform for you to expose yourselves.

I offered plenty of good arguments and evidence. You will not be able to defeat anything. You just ignore it.
You offered no arguments or evidence to justify non theist belief.

kama una kipya leta hapa kama ushahidi ama tujadili lakini kuponda Atheism haitamaanisha Theism ni sahihi
 
The deity called "God" does not exist.There is no point on discussing his/her/its egalitarian tendacies.

Any efforts are futile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom