Ishmael
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 15,039
- 6,018
kwa nini mungu(kama yupo)aliyetuumba mi na wewe wewe umjue na mimi nisimjue?.kwa nn tumsome mungu darasani?kwa nn wewe unifundishe kuhusu muumba wangu?.
kama aliwez akuiweka pumzi tukaivuta automatically bila kuiomba ama kuitafuta mahala alishindwa nn kufanya tumjue automatically ?.
kuna mambo mengi sana mmeshindwa kujibu humu tangu zamani labd akama we ni mgeni hapa jf ama katika jukwaa hili.
Ukimaliz akujieleza nambie kwa nn mungu aliumba cultural isolation if the Hindu ??.Then nambie if they are praying yo the wrong god.Pili thibitisha kwamba mungu wako ni w akwel na sio mungu wa waislam ?wakristu ama wayahudi pia thibitisha kwamba wao mungu wao sio sahihi.karibu jukwaan
The rest of your responses are just sloppy protests. You clearly don't have any familiarity with the actual arguments or evidence. If you really think you have some point on something, pick one to pitch me and watch me knock it out of the park. Then we can repeat with another protest.