Is God fair ?

Is God fair ?

Mungu anajua kila kitu au kuna vitu hajui?



Do illogical question deserve a logical answer?

1. Kiranga anadai kuwa hakuna Mungu
2. Kiranga sasa anadai kuwa Mungu anajua kila kitu
3. Kiranga anaendela kudai kuwa Mungu kuna vitu hajui

Je, unwezaje kuuliza swali kuhusu Mungu ambaye hayupo?

©@ishmael
 
Mkuu wangu usitegemee jibu toka kwa Kiranga. Ulichouliza hakipo katika Yale aliyokariri...
Sielewi anawaza nini kusema kwamba kutomwambia sababu za Mungu kuumba kwa kadri ya hitaji la Kiranga
Tukimwambia Mungu ametushirikisha katika Uumbaji wake kwa kutuma hekima na busara za namna ya kuishi katika ulimwengu ambao wapumbavu kina Kiranga wanao mapungufu wanayoyaona katika upofu wao wa kiroho yanawathibitishia kutokuwepo kwa mungu.
Ni ngumu kwa MTU mwenye busara kuwaelewa hawa jamaa na kufahamu ni shida gani inawakabili ...

Kabla ya kusema mungu katuahirikisha, thibitisha kwamba yupo.

You are putting the horse before the cart.
 
Last edited by a moderator:
Do illogical question deserve a logical answer?

1. Kiranga anadai kuwa hakuna Mungu
2. Kiranga sasa anadai kuwa Mungu anajua kila kitu
3. Kiranga anaendela kudai kuwa Mungu kuna vitu hajui

Je, unwezaje kuuliza swali kuhusu Mungu ambaye hayupo?

©@ishmael

Maisha yako yote hujawahi kusikia kitu kinaitwa "immanent critique".

Google it.
 
Kabla ya kusema mungu katuahirikisha, thibitisha kwamba yupo.

You are putting the horse before the cart.

Nilikuwa namaanisha hoja yako ya kwanini kaumba ulimwengu usioupenda Mimi ninaelewa hekima na busara alizoweka kwa binadam ni kwa ajili ya maarifa ya kuishi kwenye ulimwengu huh na kukabili changamoto zake.
Hilo la kutaka uthibitishiwe kwamba yuko. Hiyo ni default position yako ambayo hakuna jibu linaloweza kukuondoa kwenye msomamo huo na kariri hizo.
 
Nilikuwa namaanisha hoja yako ya kwanini kaumba ulimwengu usioupenda Mimi ninaelewa hekima na busara alizoweka kwa binadam ni kwa ajili ya maarifa ya kuishi kwenye ulimwengu huh na kukabili changamoto zake.
Hilo la kutaka uthibitishiwe kwamba yuko. Hiyo ni default position yako ambayo hakuna jibu linaloweza kukuondoa kwenye msomamo huo na kariri hizo.

Wapi nimesema kaumba ulimwengu nisioupenda?

Objection yangu si kwamba kaumba ulimwengu nisioupenda, mimi nani mpaka aumbe ulimwengu ninaoupenda mimi?

Objection yangu ni kwamba kaumba ulimwengu unaomfanya ajipinge nature yake yeye mwenyewe.

Tunaambiwa mungu anajua yote, anaweza yote ana upendo wote.

Iweje mungu kama huyo aumbe ulimwengu ambao una mateso na shida nyingi kwa viumbe wake wakati aliweza kuumba ulimwengu ambao shida, mateso na mabaya kwa viumbe wake hayawezekani?

Mungu gani hana logical consistency kama a bad Greek play?

Unawezaje kusema mungu kampa binadamu hekima na busara kabla ya kuthibitisha kwamba mungu yupo at all?
 
Mkuu kwanza kabla ya kuendelea,maelezo yangu Je,maelezo yangu ya hapo awali yameeleweka?tena hasa kuhusu maovu.

Unaweza kuwa na misingi ya uumbaji wa mungu isiyo katika misingi ya mungu?

Sheria iliyo kinyume na katiba ikipitiwa na wanazuoni itapona?

Inakuwaje mungu anaghairi alilopanga kufanya kama alijua kila kitu?
 
Unaweza kuwa na misingi ya uumbaji wa mungu isiyo katika misingi ya mungu?

Sheria iliyo kinyume na katiba ikipitiwa na wanazuoni itapona?

Inakuwaje mungu anaghairi alilopanga kufanya kama alijua kila kitu?

Sijakuelewa mkuu rahisisha maelezo ili twende sawa.
 
Sijakuelewa mkuu rahisisha maelezo ili twende sawa.

Hayo ndiyo yaliyorahisishwa, nikirahisisha zaidi nitatuma post haina kitu.

Ambacho hujaelewa kipi?

Unaweza kujibu maswali?

Na kwa nini uanze kuona umuhimu wa kuelewa leo kwangu wakati unamuamini mungu usiyemuelewa wala kuweza kumuelezea?
 
Hayo ndiyo yaliyorahisishwa, nikirahisisha zaidi nitatuma post haina kitu.

Ambacho hujaelewa kipi?

Unaweza kujibu maswali?

Na kwa nini uanze kuona umuhimu wa kuelewa leo kwangu wakati unamuamini mungu usiyemuelewa wala kuweza kumuelezea?

Kughairi kupi huko unakopazungumzia?
 
Kughairi kupi huko unakopazungumzia?

Mungu alipoleta gharika alihuzunika kwa nini kaumba binadamu, akasononeka.

"He was sorry that He had made man on the earth, and He was grieved in His heart," (Gen. 6:6)

Mungu akaipiga dunia gharika.

Mungu mjuzi wa yote imekuwaje ahuzunike na kusononeka kwa kiumbe alichokiumba yeye mwenyewe mpaka kughairi kuendeleza dunia kama ilivyokuwa na kuipiga gharika?

Ina maana alivyoumba dunia hakujua kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa?

Mungu anayejua yote na kuweza yote atasononekaje? Atahuzunikaje wakati anajua yote na kuweza yote? Kipi kitakuwa kipya kwake mpaka kimsononeshe na kumhuzunisha?
 
Ninaamini mwuuliza swali ana dhamira safi ya kuuliza swali na lengo lake sio ovu.
* Na kabla hatuaweza kulitafakari swali lake ninaona kwamba:
a) anaamini Mungu
b) Anaamini Mungu ana nguvu
c) Aliamini Mungu ni mkuu sana ila sasa haelewi kwa ukuu huo Mungu anatumiaje uwezo wake
d) Anaamini alistahili kupata mazuri mengi kutoka kwa Mungu mwenye nguvu ila ameishia kupata disappointment kubwaaa


Mimi ningetaka nimwulize uhusiano wa Mungu na wanadamu anauelewaje, ulikuwaje, ukoje??
Naona kuna watu wanaanza kupoteza mjadala kwa kuingiza philosophical arguments that are derailing the conversation.
 
Mungu alipoleta gharika alihuzunika kwa nini kaumba binadamu, akasononeka.



Mungu akaipiga dunia gharika.

Mungu mjuzi wa yote imekuwaje ahuzunike na kusononeka kwa kiumbe alichokiumba yeye mwenyewe mpaka kughairi kuendeleza dunia kama ilivyokuwa na kuipiga gharika?

Ina maana alivyoumba dunia hakujua kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa?

Mungu anayejua yote na kuweza yote atasononekaje? Atahuzunikaje wakati anajua yote na kuweza yote? Kipi kitakuwa kipya kwake mpaka kimsononeshe na kumhuzunisha?

Assumption yako ni kwamba huzuni ya Mungu ilimfika sababu hakujua wanadamu wata behave vipi??????
 
Assumption yako ni kwamba huzuni ya Mungu ilimfika sababu hakujua wanadamu wata behave vipi??????

Kwa nini unafikiri ni assumption?

Na huzuni ilimfikia vipi?

Na vyovyote vile itakavyomfikia, mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote anafikiwaje na huzuni?
 
Kwa nini unafikiri ni assumption?

Na huzuni ilimfikia vipi?

Na vyovyote vile itakavyomfikia, mungu mwenye uwezo wote na ujuzi wote anafikiwaje na huzuni?

Kwa nini ufikiri kwamba huzuni ni weakness??????????????
a) was he sad
b) was he disappointed
c) was he dismayed

You are critical on the words used to describe God's response on the fall of his own creation. And the fact that you are dissecting the whole idea of creation in relation to the greatness of creator, i honestly cannot see how you are going to conclusively arrive at the fair conclusion from the human point of view.

because this if a faith based reasoning with its own logical conclusion that sometimes satisfy itself with the mystery that surround the whole idea of God and His creation.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom