kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 19,156
- 11,608
Mkuu;pole Sana. Kiranga hafundishiki lakini huwa tunamtumia Kama ubao wa kufundishia wengine.
Katika hilo anafaa Sana.
Tusimwache aendelee kumwaga uchafu wake ambao waweza kuharibu watu wengine wasio na uelewa mzuri. Kiranga ni mmoja wa binadam wengi ambao sayansi imewafunga milango ya udadisi juu ya mambo ambayo yanaonekana ya kawaida lakini sayansi haiyajui.
Anajua kwamba Upendo upo. Anajua kwamba busara IPO,anajua kwamba huruma IPO na vingi vinavyofanana na hivyo lakini kwa kuwa hakuna maabara ya kuvipima na sayansi imezima kitengo cha kutafakari na kujitafakari amebakia kukariri Kama kasuku...
Nimekuelewa mkuu.
Tatizo SIO sayandi hatta kidogo.
Tatizo ni weledi wa wadau humu jukwaani.
Hakuna ktk historia ya mwanadamu Ukakuta mtu anafundisha wanafunzi wa shulr ya msingi masomo ya chuo kikuu!
!Kiranga anataka kujifunza MUNGU ni nani hali ya kuwa Vitu vilivyoko mbele ya macho yake Amekubali Kuwa HAVIJUI.
Unamwambia Kiranga ajifunze basic kwanza Kabla ya kukimbilia huko kwenye kumjua KING OF KINGS anakujibu kuwa "hata km hivyo vitu sivijui hio haimaanishi kuwa MUNGU YUPO!
Sasa hapo ndipo unapoona kuwa Huyu hayuki hapa kuelewa bali kupoteza wakati tu.
Na sisi wengine Wakati kidogo ni muhimu sana kwetu.
Ndio nikamtakia Mjadala mwema kwa wenye wakati mwingi wa Kupoteza km yeye.
Last edited by a moderator: