Is God fair ?

Is God fair ?

Kiranga MUNGU yupo,Mungu ni Nature na Ndio source ya Uhai.......!Hivi ulishawahi kujiuliza kwa nini Sayansi imeshindwa kuvipa viumbe uhai?

Ulishawahi kujiuliza kwa nini Kifo kimemshinda Binadamu?

Ushawahi kujiuliza binadamu,wanyama source yetu ni nini?( Achana na theories za uongo za kuwa binadamu alitokana na sokwe wakati hao sokwe mpaka sasa.wameshindwa kumtengeneza tena binadamu)

Wanasayansi kushindwa kuvipa viumbe uhai haimaanishi kwamba kuna mungu labda uamue tu kuhisi hivyo!.

Nikuulize ndugu inamaana we ukishindwa kujua mbili mara nne ni ngapi una hisi lazima itakuwa nane kwa sababu tu we hujui?kwa nn isiwe ziro ??,kwa sababu th unaona haiwezi kuwa zero?.
 
Umejuaje kwamba mungu(kama yupo)ni roho

But, if a person asked you what kind of things you'd accept, within reason, as evidence for God, what would you say? If you have nothing to offer, then you haven't thought your position through . . . and if you haven't done that, then can you honestly lay claim to the title non theist?
 
Wanasayansi kushindwa kuvipa viumbe uhai haimaanishi kwamba kuna mungu labda uamue tu kuhisi hivyo!.

Nikuulize ndugu inamaana we ukishindwa kujua mbili mara nne ni ngapi una hisi lazima itakuwa nane kwa sababu tu we hujui?kwa nn isiwe ziro ??,kwa sababu th unaona haiwezi kuwa zero?.

Then provide the evidences and arguments for non theism you have consistently dodged?

Where is your refutation of the many evidence I provided?
You dodged them!

Explain how chemical causation is free-will?

Where is your sufficient cause of a Universe which began to exist from physical nothing (per Big Bang, BGV theorem)?

Where is your objective basis for moral truth and duties?

You have failed to answer anything non theist, while I refuted everything you threw at me!

Non theism is mindless!
 
If he is so perfect, why would he need laws?

Why would he need anything?

Needing is imperfection, how can a perfect being need anything?
Laws makes perfection, in contrast, God doesn't need laws but created them.
 
Hujathibitisha mungu yupo, ushampa "he".

Angalau meli inaonekana.

Mungu unamthibitishaje kwamba yupo?

Kwa hio meli kwa kuwa Onaonekana Ina haki ya kuitwa "SHE".

Na Mungu kwa sababu Haonekani Basi kwa fikra zako Hana haki ya Kuitwa" HE".

Natamani Kucheka kidogo lkn sipendi kumkwaza mtu.

Mbona vingi tu Visivyoonekana vina sifa za kupewa Majina ya namna mbali mbali?

We kifo unakiona? Mbona kina Jina?
We Busara (intelligence) unaiona?
Mbona unaipa majina tofauti?
Ile force of gravity Unaiona?
Mbona unaipa jina na kuidadavua kwa kirefu.

Kwakweli unahitaji kujipanga sana ktk Mdahalo huu.
Mpaka sasa Sijaona Point yyt muhimu kutoka kwako.
Rafiki kiranga.
 
If he is so perfect, why would he need laws?

Why would he need anything?

Needing is imperfection, how can a perfect being need anything?

Where did you get this definition that
PERFECT means (NO NEED OF ANYTHING)?
Help me with the name of that Dictionary! Is it italian one?
chinese! Or Perhaps the Indian one!

Tell me where can i find that definition please.

I found this in Oxford English dictionary.

perfect

Definition of perfect in English:
ADJECTIVE

Pronunciation: /ˈpəːfɪkt /

1Having all the required or desirable elements, qualities, or characteristics; as good as it is possible to be:

1.she strove to be the perfect wife.

2.life certainly isn’t perfect at the moment.
 
Sijui.

Lakini hilo halothibitishi kiwepo mungu.

Ukitokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Usipotokea wenyewe si lazima mungu awepo.

Explain how QM escapes causal necessity?

Explain how QM models the real world? Which interpretation?

Explain why anyone should believe classical space and time is not a real feature of the universe?

Don't tell me that you still don't know what is QM.
 
Kwa hio meli kwa kuwa Onaonekana Ina haki ya kuitwa "SHE".

Na Mungu kwa sababu Haonekani Basi kwa fikra zako Hana haki ya Kuitwa" HE".

Natamani Kucheka kidogo lkn sipendi kumkwaza mtu.

Mbona vingi tu Visivyoonekana vina sifa za kupewa Majina ya namna mbali mbali?

We kifo unakiona? Mbona kina Jina?
We Busara (intelligence) unaiona?
Mbona unaipa majina tofauti?
Ile force of gravity Unaiona?
Mbona unaipa jina na kuidadavua kwa kirefu.

Kwakweli unahitaji kujipanga sana ktk Mdahalo huu.
Mpaka sasa Sijaona Point yyt muhimu kutoka kwako.
Rafiki kiranga.

Unamlinganisha mungu wako na meli?
 
Can you help us with the Definition of "PERFECT" please.
Thank you in advance.

Perfect is nothingness.

Once you deviate from nothingness, you defile perfection.

Another reason why your god is an illusion.
 
Where did you get this definition that
PERFECT means (NO NEED OF ANYTHING)?
Help me with the name of that Dictionary! Is it italian one?
chinese! Or Perhaps the Indian one!

Tell me where can i find that definition please.

I found this in Oxford English dictionary.

perfect

Definition of perfect in English:
ADJECTIVE

Pronunciation: /ˈpəːfɪkt /

1Having all the required or desirable elements, qualities, or characteristics; as good as it is possible to be:

1.she strove to be the perfect wife.

2.life certainly isn’t perfect at the moment.

Your very definition, number one.

If only you could read and understand.
 
hujamuelewa. kama mke/mume ni msafi kwa nini aletewe na mume/mke mchafu? kwa nini visizuiwe kwa msaada wa Mungu?
 
Where did you get this definition that
PERFECT means (NO NEED OF ANYTHING)?
Help me with the name of that Dictionary! Is it italian one?
chinese! Or Perhaps the Indian one!

Tell me where can i find that definition please.

I found this in Oxford English dictionary.

perfect

Definition of perfect in English:
ADJECTIVE

Pronunciation: /ˈpəːfɪkt /

1Having all the required or desirable elements, qualities, or characteristics; as good as it is possible to be:

1.she strove to be the perfect wife.

2.life certainly isn’t perfect at the moment.

Subiri kupelekwa ignore list, wewe unauweka uoumbavu wa jamaa peupe namna hii !
 
Wanasayansi kushindwa kuvipa viumbe uhai haimaanishi kwamba kuna mungu labda uamue tu kuhisi hivyo!.

Nikuulize ndugu inamaana we ukishindwa kujua mbili mara nne ni ngapi una hisi lazima itakuwa nane kwa sababu tu we hujui?kwa nn isiwe ziro ??,kwa sababu th unaona haiwezi kuwa zero?.

Tumia akili yako vizuri. Kama 2*2 nimekwambia ni nane ninakuwa nimekosea Tu. Jibu langu haliliifanyi 4 isiwepo Bali yule ajuaye anaweza kunikatalia kuwa mbili Mara mbili sio nane Bali ni NNE.
Ukweli unabaki kwamba NNE ndilo lilikuwa jibu sahihi na lilikuwepo hata Kama nchi nzima yungeshindwa kujibu.
 
Tumia akili yako vizuri. Kama 2*2 nimekwambia ni nane ninakuwa nimekosea Tu. Jibu langu haliliifanyi 4 isiwepo Bali yule ajuaye anaweza kunikatalia kuwa mbili Mara mbili sio nane Bali ni NNE.Ukweli unabaki kwamba NNE ndilo lilikuwa jibu sahihi na lilikuwepo hata Kama nchi nzima yungeshindwa kujibu.
Mkuu kwema? Pokea Baraka tele za Mwaka huu mpya! Huyo jamaa ni mtambo huo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom