UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,463
- 8,750
You are putting the horse before the cart.
Unasema kuna uhusiano kati ya kifo na mungu kabla hata hujathibitisha mungu yupo.
Thibitisha mungu yupo kwanza kabla ya kuforce uhusiano wa kifo na mungu.
Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
Unaweza kuthibitisha kutokuwa na uwepo wa Mungu bila kuangalia kwanza kama Mungu ana Upendo au hana?
Upendo na uwezo wote hizo ni sifa zake kama lilivyo swala la kifo.