Is God fair ?

Is God fair ?

Mkuu kwema? Pokea Baraka tele za Mwaka huu mpya! Huyo jamaa ni mtambo huo!

Kwema Mkuu, nimetoka jela ya mwezi mzima kwa kumkera Shetani.
Amen. Mwaka huu uwe wa heri kwetu sote ili tuitumikie kweli kwa Furaha na amani...
 
Where did you get this definition that
PERFECT means (NO NEED OF ANYTHING)?
Help me with the name of that Dictionary! Is it italian one?
chinese! Or Perhaps the Indian one!

Tell me where can i find that definition please.

I found this in Oxford English dictionary.

perfect

Definition of perfect in English:
ADJECTIVE

Pronunciation: /ˈpəːfɪkt /

1Having all the required or desirable elements, qualities, or characteristics; as good as it is possible to be:

1.she strove to be the perfect wife.

2.life certainly isn’t perfect at the moment.

Hahahahahaaaaa .....

Mkuu upo?

Ling time sana aisee ....!!
 
Hakuna mungu kama yupo lete ushahidi wa uwepo wake.Mbona hoja inaeleweka!
 
Hakuna mungu kama yupo lete ushahidi wa uwepo wake.Mbona hoja inaeleweka!

Ukisema "Hakuna Mungu" ni kwamba umefunga milango ya kutafakari umebaki Kama nguruwe Tu huwezi jifunza chochote kuhusu Mungu.
Pole msomi
 
Hakuna mungu kama yupo lete ushahidi wa uwepo wake.Mbona hoja inaeleweka!

Rafiki usiende mbali kiasi hicho.
Hebu naomba utusaidie maana ya Kifo kwanza.

Hivi kifo hasa ni nini?

Na km hilo swali ni gumu hebu nisaidie maana ya Busara (intelligence) na je! Unaweza Kutuonyesha hivyo viwili hapo juu the same way Unavyotaka kumuona Huyo MUNGU?

Naomba jibu tafadhali.
 
Ukisema "Hakuna Mungu" ni kwamba umefunga milango ya kutafakari umebaki Kama nguruwe Tu huwezi jifunza chochote kuhusu Mungu.
Pole msomi

Mtu kakupa challenge (Hakuna mungu) halafu kakuachia mlango wazi muendelee kujadiliana ili kama una uwezo wa kumbadilisha mawazo umbadilishe (kama yupo thibitisha) halafu unasema kafunga milango ya kutafakari.

Hapo wewe ndiye umefunga milango ya kutafakari.

cc Free ideas
 
Last edited by a moderator:
Rafiki usiende mbali kiasi hicho.
Hebu naomba utusaidie maana ya Kifo kwanza.

Hivi kifo hasa ni nini?

Na km hilo swali ni gumu hebu nisaidie maana ya Busara (intelligence) na je! Unaweza Kutuonyesha hivyo viwili hapo juu the same way Unavyotaka kumuona Huyo MUNGU?

Naomba jibu tafadhali.

Hawezi kujibu simply alipoamua kujifunza sayansi alzima Kabisa uwezo wa kuhoji nje ya kanuni ambazo zimewafunga kujifunza kuhusu "material" things tu nje ya material hawana uwezo wa kufikiri wala kutafakari na kutafuta Elimu.
Ukimuuliza unawapenda wazazi wako atakujibu ndiyo,ukimuuliza unampenda mume/mkeo atakwambia ndio, ukimuuliza unajisikiaje ukienda beach kupunga upepo atakwambia murua.
Muulize vyote hivyo ni vitu gani au ni kweli vipo ?
Huwezi pata jibu ....
Lakini anatunisha misuli ya shingo apewe ushahidi wa kuwepo kwa architecture, designer na engineer wa mwili wake kwamba yupo.
Very bogus
 
Rafiki usiende mbali kiasi hicho.
Hebu naomba utusaidie maana ya Kifo kwanza.

Hivi kifo hasa ni nini?

Na km hilo swali ni gumu hebu nisaidie maana ya Busara (intelligence) na je! Unaweza Kutuonyesha hivyo viwili hapo juu the same way Unavyotaka kumuona Huyo MUNGU?

Naomba jibu tafadhali.

Suala hapa ni kuthibitisha kuwapo kwa mungu.

Hata aliyeulizwa hayo kuhusu kifo ni nini na busara ni nini akisema hajui, kutokujua majibu ya maswali hayo hakuthibitishi kuwapo kwa mungu.

Kwa hivyo, swali lako liko nje ya maswali yanayoweza kutusaidia kujua kama mungu yupo au hayupo.
 
Suala hapa ni kuthibitisha kuwapo kwa mungu.

Hata aliyeulizwa hayo kuhusu kifo ni nini na busara ni nini akisema hajui, kutokujua majibu ya maswali hayo hakuthibitishi kuwapo kwa mungu.

Kwa hivyo, swali lako liko nje ya maswali yanayoweza kutusaidia kujua kama mungu yupo au hayupo.

Sasa Rafiki kiranga Kama Huyo muulizaji Anashindwa kujua KIFO ni nini, kitu ambacho kinatokea mbele ya mwacho ya Binaadamu.
Na anashindwa kujua kuwa Busara(intelligence) ni nini kitu ambacho binaadamu wengi na wanyanya wengi wanacho.
Hivi kweli unategemea Mtaweza Kuelewa MUNGU NI NANI?

Wapi ktk Historia ya Mwanaadamu Ukaona mwanafunzi wa Darasa la Sita anafundishwa sighns and algorithm?

Hebu jaribuni kuanza na Basic kwanza muone mtafika wapi ,
Mkiweza kutambua mambo madogo km KIFO, INTELLIGENCE and So on then kisha Muingie kwenye Maswali km haya ya Kutaka KUMJUA MUNGU NI NANI.

One step at a time.

Km wewe umeshakubali kuwa HATA KIFO Hujui ni Nini.

Sasa anzia hapo kwanza.
You dont need to overload your head with a lot of stuff. You might ending up hating yourself.
 
Sasa Rafiki kiranga Kama Huyo muulizaji Anashindwa kujua KIFO ni nini, kitu ambacho kinatokea mbele ya mwacho ya Binaadamu.
Na anashindwa kujua kuwa Busara(intelligence) ni nini kitu ambacho binaadamu wengi na wanyanya wengi wanacho.
Hivi kweli unategemea Mtaweza Kuelewa MUNGU NI NANI?

Wapi ktk Historia ya Mwanaadamu Ukaona mwanafunzi wa Darasa la Sita anafundishwa sighns and algorithm?

Hebu jaribuni kuanza na Basic kwanza muone mtafika wapi ,
Mkiweza kutambua mambo madogo km KIFO, INTELLIGENCE and So on then kisha Muingie kwenye Maswali km haya ya Kutaka KUMJUA MUNGU NI NANI.

One step at a time.

Km wewe umeshakubali kuwa HATA KIFO Hujui ni Nini.

Sasa anzia hapo kwanza.
You dont need to overload your head with a lot of stuff. You might ending up hating yourself.

You are putting the horse before the cart.

Kabla ya kusema nashindwa kumuelewa mungu ni nani, prove kwamba yupo.

Mungu akiwa hayupo, of course nitashindwa kumuelewa ni nani.

Hayupo.

Nitamuelewaje ni nani wakati hayupo?

Thibitisha kwamba mungu yupo.
 
Suala hapa ni kuthibitisha kuwapo kwa mungu.

Hata aliyeulizwa hayo kuhusu kifo ni nini na busara ni nini akisema hajui, kutokujua majibu ya maswali hayo hakuthibitishi kuwapo kwa mungu.

Kwa hivyo, swali lako liko nje ya maswali yanayoweza kutusaidia kujua kama mungu yupo au hayupo.

Hapana,huwezi kutoa majibu ya kirahisi kiasi hicho. Kifo ni jambo ambalo linatambulika na kila mtu na hakuna njia ya kukwepa kifo,ni fumbo kwetu na hakuna anayejua ni lini atakumbwa na kifo,ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wetu si jambo la kirahisi kama unavyotaka kulichukulia.

Sasa Mungu tunayejadili uwepo wake ndiye anayesema yeye ni mwenye kutoa uhai kwa kiumbe na ndiye mwenye kuchukua huo uhai(kifo). Hiyo ni sifa yake pekee hakuna mwenye uwezo kama huo.
Kwahiyo hiyo ni sifa yake kama sifa yake ya uwezo wote na ujuzi wote.

Hivyo huwezi kusema hata kidogo hili jambo la kifo liko nje ktk vitu vitakavyoweza kutusaidia kujua uwepo wa Mungu,wakati hili nalo ni jambo ambalo linyekufanya kuamini uwepo wa Mungu.
 
Hakuna mungu kama yupo lete ushahidi wa uwepo wake.Mbona hoja inaeleweka!

BTW Dirk. You seem to indicate that more clues are pointing to God's non-existence. This may have been true in the nineteenth and early twentieth century during Darwin's reign, but with Big Bang cosmology, molecular biology discovering highly integrated molecular machines with stators, rotors, conveyor systems and DNA software, fine tuning confirmations, ect the pendulum is swinging back. We now have millions of Near Death Experiences reporting the survival of the soul upon bodily death and no brain function.

God self-exists. Self existence is rationally NECESSARY because of ex nihilo nihilo fit. The Universe BEGAN to exist. YOU HAVE NO ANSWER TO THIS PERFECTLY LOGICAL PROPOSITION.

You are too lazy and dishonest to engage and think.
 
You are putting the horse before the cart.

Kabla ya kusema nashindwa kumuelewa mungu ni nani, prove kwamba yupo.

Mungu akiwa hayupo, of course nitashindwa kumuelewa ni nani.

Hayupo.

Nitamuelewaje ni nani wakati hayupo?

Thibitisha kwamba mungu yupo.

I fully answered your question and your protest was defeated. Now you posture with feigned pretenses.
How Cheesy.

You are proven wrong in straight logic.

Otherwise, you have proven to be another impotent non theist liar flailing about hysterically to save face.

Then provide the evidences and arguments for non theism you have consistently dodged?

Where is your refutation of the many evidence I provided?
You dodged them!

Explain how chemical causation is free-will?

Where is your sufficient cause of a Universe which began to exist from physical nothing (per Big Bang, BGV theorem)?

Where is your objective basis for moral truth and duties?

You have failed to answer anything non theist, while I refuted everything you threw at me!

Non theism is mindless!
 
Perfect is nothingness.

Once you deviate from nothingness, you defile perfection.

Another reason why your god is an illusion.

Mtu kakupa challenge (Hakuna mungu) halafu kakuachia mlango wazi muendelee kujadiliana ili kama una uwezo wa kumbadilisha mawazo umbadilishe (kama yupo thibitisha) halafu unasema kafunga milango ya kutafakari.

Hapo wewe ndiye umefunga milango ya kutafakari.

cc Free ideas

You have provided no legitimate basis for it being 'unsound'. You just don't like the conclusion.

You offer no Objective (true irrespective of individual belief) plausible alternatives. You offer some illusory abstraction which merely begs the same questions: "Why is suffering immoral or kwanini Mungu kaumba mabaya?" How does this subjective abstraction constitute a moral duty upon those who disagree? Why is this subjective abstraction of yours authoritatively prime and binding upon all? This abstraction has no existence or being.
 
Hapana,huwezi kutoa majibu ya kirahisi kiasi hicho. Kifo ni jambo ambalo linatambulika na kila mtu na hakuna njia ya kukwepa kifo,ni fumbo kwetu na hakuna anayejua ni lini atakumbwa na kifo,ni jambo ambalo liko nje ya uwezo wetu si jambo la kirahisi kama unavyotaka kulichukulia.

Sasa Mungu tunayejadili uwepo wake ndiye anayesema yeye ni mwenye kutoa uhai kwa kiumbe na ndiye mwenye kuchukua huo uhai(kifo). Hiyo ni sifa yake pekee hakuna mwenye uwezo kama huo.
Kwahiyo hiyo ni sifa yake kama sifa yake ya uwezo wote na ujuzi wote.

Hivyo huwezi kusema hata kidogo hili jambo la kifo liko nje ktk vitu vitakavyoweza kutusaidia kujua uwepo wa Mungu,wakati hili nalo ni jambo ambalo linyekufanya kuamini uwepo wa Mungu.

You are putting the horse before the cart.

Unasema kuna uhusiano kati ya kifo na mungu kabla hata hujathibitisha mungu yupo.

Thibitisha mungu yupo kwanza kabla ya kuforce uhusiano wa kifo na mungu.

Unaweza kuthibitisha mungu yupo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom