Ukienda kilolo unakutana na watu tofauti wanaitwa wazungwa hawa ni sawa na wabena wote walikuwa wahehe ila jiografia ikawatengaMkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Wapare ni wschache?!!......warangi ni wachache?(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.
NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Kwa kukuelimisha wewe usiejua kitu makabila yanatajwa kwenye sheria ua Local Customary Law Declaration Order ya mwaka 1963...Naanza kupata mashaka na kinachofunzwa huko mashuleni siku hizi! Kwa hiyo "busara" ni kuhakikisha kila mkoa una kabila zaidi ya moja? Makabila yanatajwa kwenye sheria ipi na yanasaidiaje kufikisha huduma kwa wananchi? Hivi KARNE HII na NCHI HII kuna watu wanawaza hivi bado?
Mbona nimewahi kusikia kuna kabila la Wadzungwa wanaotokea maeneo ya nyanda za juu za mkoa wa Iringa?Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Tunazungumzia mikoa!Karne Ya 21 Unazungumzia Makabila?
Kazi Ya Kabila Nini Hasa? Mnataka Kutambika
By Mwl Julius Nyerere
Haha nimecheka sana kama ni mtihani washafeliWalimu wana kazi kubwa sana...!!!
Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Si kweli wachaga wapo wengiMkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Tena walitakiwa wapewe kipaumbele kwani kazi yao ni kubwa mnoWalimu wana kazi kubwa sana...!!!
Rukwa kuna makabila rundoMkoa wa (1)Tabora--Wanyamwezi
(2 Simiyu--Wasukuma
(3) Shinyanga--Wasukuma
(4) Rukwa---Wafipa
Umeona eeh!!Tena walitakiwa wapewe kipaumbele kwani kazi yao ni kubwa mno
Nyie ndo mumekariri,ko bukoba ni mkoa? Rudi shule(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.
NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Hahahaa......!!Haha nimecheka sana kama ni mtihani washafeli
Ww ni shithole unachafua kwetuMimi ni mtrump niko Iringa.
MakabilA yanahusiana vp na maendeleo ya nchi.??? Mkoa umegawanyishwa ili kurahisisha administration. Sasa makabila yana influence gani??Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Hahahaa...... inaonyesha jinsi gani hata swali lenyewe hajalielewa!Nyie ndo mumekariri,ko bukoba ni mkoa? Rudi shule