johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
- Thread starter
- #81
Umeielewa mada lakini?!!Si kweli wachaga wapo wengi
Umeielewa mada lakini?!!Si kweli wachaga wapo wengi
Hao ni wabenamanga wako milima ya udzungwa inayopakanisha Morogoro na lupembe Njombe ila huwa wanakuja kulima eneo la bomang'ombe kilolo!Mbona nimewahi kusikia kuna kabila la Wadzungwa wanaotokea maeneo ya nyanda za juu za mkoa wa Iringa?
Vv
Tabora kuna wanyamwezi na wasukuma mkuuMkoa wa (1)Tabora--Wanyamwezi
(2 Simiyu--Wasukuma
(3) Shinyanga--Wasukuma
(4) Rukwa---Wafipa
Umenikumbusha Trump!Mimi Msukuma nipo Iringa
dalili za kukosa kazi ya kufanya mtoa madaMkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Sawa muhaya!dalili za kukosa kazi ya kufanya mtoa mada
Rukwa yako makabila mengine ya Mambwe-Lungu, Wanyika, Warungwa, na Wawanda.Mkoa wa (1)Tabora--Wanyamwezi
(2 Simiyu--Wasukuma
(3) Shinyanga--Wasukuma
(4) Rukwa---Wafipa
Mipaka ya makabila haijawahi kuwa wazi (vivid) hata siku moja hivyo HOJA YAKO HAINA MASHIKO. Kila mahali linaweza kuwepo kabila loloteMkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Hivi unaelewa maana ya NTUZU( myantuzu), au unaongea tuu!?? Tuulize sisi wa ntuzu(bariadi) tukuambie tunaongea kabila gani usilazimishe vitu visivyokuwepo mkuuWanyantuzu wako wapi? Usiwatenge
Bora umemsaidiaWanyantuzu siyo kabila, isipokuwa ni Wasukuma wanaokaa utemi wa Ntuzu (neno Wanyantuzu ni baada ya wageni kushindwa kutamka "Banantuzu" yaani wakaao Ntuzu).
Una matatizo(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.
NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Winywa ulasi na ng'aande!.Mie kabila langu Mkibosho nipo zangu tanangozi.
Kwani nn kimekosekana iringa ukilinganisha na mikoa unayodhan imeendelea?Kama wahehe wasingeendekeza ushirikina, naamini Iringa ingekuwa moja ya mikoa bora kabisa na ya kuigwa. Wahehe walisoma tangu enzi zile. Ila ndio wakishasoma hawarudi kwao wanaogopa kupigwa vipapai. Nawaonea sana huruma. Wavuke sasa kiunzi hicho waanze kuendeleza mkoa wao.
Acha kuchafua hali ya hewa we umenoti makabila maarufu tu kwa taarifa yako Geita wasukuma ni wahamiaji kuna makabila ya asi li kama wazinza, wasumbwa nk(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.
NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.