kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,288
- 17,777
Ni wasukuma pia.Ahsante mkuu lakini umenikumbusha Wanyantunzu!
Ni wasukuma pia.Ahsante mkuu lakini umenikumbusha Wanyantunzu!
hujamuelewa kamsome tena,ukishindwa kumuelewa omba usaidizi wa wazee karibu yakoMi mchaga niko iringa
mkuu nimemuelewa sana ila na wewe na mtoa mada akili zenu ziko sawahujamuelewa kamsome tena,ukishindwa kumuelewa omba usaidizi wa wazee karibu yako
mkuu nimemuelewa sana ila na wewe na mtoa mada akili zenu ziko sawa
Du hili sikuliona!Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Mburu ndo kabila gani?Mburu
Du kweli,Walimu wana kazi kubwa sana...!!!
Hakuna mkoa wa moshi,kuna mkoa wa kilimanjaro kuna wapare na wachaga(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.
NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Sorry for them.Mimi ni msukuma nipo Iringa
Wanyantuzu siyo kabila, isipokuwa ni Wasukuma wanaokaa utemi wa Ntuzu (neno Wanyantuzu ni baada ya wageni kushindwa kutamka "Banantuzu" yaani wakaao Ntuzu).Ahsante mkuu lakini umenikumbusha Wanyantunzu!
Umeelewa mada lakini? Rudia kusoma utaelewa Mkuu anazungumzia nini!Mimi Mburu nipo Iringa
Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Shinyanga: WasukumaMkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Kamji katamu sana kale...ruco na tumaini zilitaka kufanya nisihame basi tuNimekumiss sana Iringa from 2015 - 2016 nipo huko nahasso