IRINGA: Mkoa wenye kabila moja tu!

IRINGA: Mkoa wenye kabila moja tu!

Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Wagogo pia wamo.

Vv
 
Mkoa wa Iringa awali ulikuwa unakaliwa na wenyeji wa makabila ya wahehe, wabena, wakinga, waanji, wapangwa wakisi na wamanda. Lakini baada ya kugawanywa na kuzaliwa mikoa miwili ya Iringa na Njombe ndipo Iringa imejikuta inabakiwa na kabila la wahehe pekee na yale mengine yote yameangukia mkoa wa Njombe. Sijui busara ipi ilizingatiwa katika mgawanyo huu na sidhani kama kuna mkoa mwingine wenye kabila moja kama upo nielimisheni wadau. Nawasilisha!
Naanza kupata mashaka na kinachofunzwa huko mashuleni siku hizi! Kwa hiyo "busara" ni kuhakikisha kila mkoa una kabila zaidi ya moja? Makabila yanatajwa kwenye sheria ipi na yanasaidiaje kufikisha huduma kwa wananchi? Hivi KARNE HII na NCHI HII kuna watu wanawaza hivi bado?
 
Mkoa wa (1)Tabora--Wanyamwezi
(2 Simiyu--Wasukuma
(3) Shinyanga--Wasukuma
(4) Rukwa---Wafipa
(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.

NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
 
Naanza kupata mashaka na kinachofunzwa huko mashuleni siku hizi! Kwa hiyo "busara" ni kuhakikisha kila mkoa una kabila zaidi ya moja? Makabila yanatajwa kwenye sheria ipi na yanasaidiaje kufikisha huduma kwa wananchi? Hivi KARNE HII na NCHI HII kuna watu wanawaza hivi bado?
Ndio
 
kwahiyo mkuu una mind au!? ila twivagaya sida nalunoge lweki!
Vatulekage beh, leke twiyangasule yaan tukwinoma hela.... Sisi ndio mashujaa kwan ni nani asiyemjua mtwa mkwawa kwa hiyo sioni shida tukibaki wenyewe.. Kwa kuwa sisi ndio tulioipigania iringa dhidi ya wakoloni na tulifanikiwa kumchapa mkoloni hadi akarudi kujipanga tena...
 
(5) Geita - Wasukuma
(6) Kigoma - Waha
(7) Moshi (kilimanjaro) - Wachaga
(8) Dodoma - Wagogo
(9) Mtwara - Wamakonde
(10) Bukoba (kagera) - Wahaya.

NB: Kwenye mikoa hiyo, wengine kama wamo ni wakuja tu (Wamahanga) na ni wachache wala hawajulikani.
Hakuna Mkoa wa moshi
Sisi kwetu wapo wachagga wapare
Wamasai
 
Back
Top Bottom