Utamaduni
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 1,279
- 597
Currently Active Users Viewing This Thread: 29 (11 members and 18 guests)
??? - Uzuri wa Mke ni Urembo - Tabia baadaye - Tutarekebishana ndani-kwa-ndani ?????
kak kuna tabia zingine hazirekebishiki ndani ya ndoa hata baada ya kufa.....
1. kama demu amezoea "umalaya"/ kutoka na wanaume wengi at the same time hiyo amezoea hawezi kuacha hata ukumuoa lazima atakuwa anaruka debe kama kawa.
2. demu kama amezoea kuhongwa na kupewa pewa mahela kwa sana, na wewe unamuoa hela yenyewe ya ngama, jua atawafata tu wenye mafezwa wala hawezi kubadilika eti aanze kukupenda mwenye hela ya mawazo.
3. demu kama tabia yake ni uvivu yani kazaliwa yeye ni kukaa tu kama yai lasubiri liondolewe na kupelekwa sehemu nyingine basi hiyo ndo tabia yake kumbadilisha ni ngama.... n ther est za tabia ambazo ni hatarishi kwa afya yako zinazoweza kuku'cost kwa kuoa dem kisa sura badala ya tabia yake