Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Complicated kidogo yes Iran aitakiwi kufuata ata Grace1 si meli ya Iran bali ni ya Panama wote hao sanctions za EU aziwahusu.

Kesi yao ni kwamba hiyo meli ilikuwa inapita ndani ya mipaka ya EU kwa nia ya kupeleka mafuta nchi ambayo ina sanctions za EU kwa hiyo wanauhalali wa kuizuia.

Ukitaka kujua ukoloni umeisha au la ngoja kwanza Iran akatae kuitoa hiyo meli kwa njia za diplomasia halafu uone watavyomfanya.
Watamfanyaje mbna mnamikwara mbuzi kama hawajamtoa grace we2 watazidi teswka 2 amini amini nakwambia

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
To give you a perspective migogoro yote mikubwa duniani in the 20 century iliyoshirikisha nchi nyingi basi muingereza anahusika, ata vita ya pili ya dunia Hitler alikuwa anatimiza agenda zake dunia ikimuangalia mpaka UK ilipoingia kati.

Na ukileta ujinga akisha ku size akikuona huna lolote aihitaji support anakutwanga na dunia itamuunga mkono muulize Argentina alipotaka kukichukua kisiwa chake cha Falkland ambacho muingereza kakiiba.

Marekani anazo nguvu lakini fitna hajui with UK on board kuna mpambe nuksi, sasa hivi utasikia West nzima inatoa support Iran achapwe.
Nyakati zimebadilika mkuu wenyewe wana juwa!
 
Russia ameshawaonya US kuwa Iran haitokua pekeyao dhidi ya Crazy action
Screenshot_20190720_073626_com.twitter.android.jpeg
 
Ni kitu kimoja watu kukuzushia halafu watake kuanzisha ugomvi kama US ilivyojaribu watu watakuonea huruma na pili awawezi ku support vita itakayo waathiri wao kiuchumi.

Hila ni jambo lingine kukamata mali ya uingereza au US kimabavu; wao washatengeneza kesi Grace 1 ilikuwa inapeleka mafuta kwenye refinery lenye pipe linalofika mpaka Syria na hiyo nchi ina EU sanctions isiuziwe mafuta.

Kukamata meli yao ni kuwajaribu mno waingereza ambao ni very bad losers waliposhindwa tu ku host World Cup walianzisha mzozo huo mpaka uongozi wa FIFA ukabadilishwa.

Na kwa upande wa Iran tayari marekani anawashwa kumtwanga , adui zake Middle East wapo tayari kumtwanga; asipoitoa hiyo meli na UK akiweka nia ya kumtwanga lazima achezee kichapo hawa watu awapendi direct intimidation kwa mtu ambae wanamuona ni inferior kwao.

Regardless of the consequences isitoshe nchi tajiri zina policy ya three month oil reserves in two months Iran wanamtwanga walau kuwa na uwezo wa kui control strait of hormuz na kuendelea kupata supply with minimal impact to their economies, wakati wanaendelea na mashambulizi mengine ya ndani.
Factless...
 
Fact!!!
Kwahiyo Vikwazo vya EU dhidi ya Syria, IRAN inawajibika kuvifata? Kwani IRAN ni member states wa European Union? Kwahiyo wazungu wakiweka vikwazo vinakua ni vikwazo vya UN? IRAN inajaribu kuwaonesha hawa mabeberu kua zama za Ukoloni zimeisha? Unaweka vikwazo dhidi ya Assad au wananchi wanaohitaji mafuta kwa ajiri ya ujenzi wa Nchi yao? Big up Iran
 
Vita ya hao Superpowers lazima na ww ikuhusu..hujiulizi vita ya kwanza na pili ya dunia ilipiganwa na wazungu lakini hadi mababu zetu walienda kufa..lazima ikuhusu mpk ww.
Hasa kiuchumi, bei ya mafuta ikipanda tunaumia sisi na siyo wao...jamaa naona current affairs zake ziko weak...
 
Kama great Satan (US) kashindwa huyu little satan (UK) hawezi ata kuthubutu kuishambulia Iran.

NOTE; Iran sio waarabu
That was deemed agressive behaviour ni US ndio aliefuta nuclear deal na ni US ndio alikuwa anailazimisha Iran kuongea nao kwa ubabe hakuna mtu ata support hiyo vita.

This is a separate incident ni Iran ndio imeichokoza na kuitunisha misuli UK.

Swala la Grace1 pamoja na kwamba UK wamekamata ndani ya himaya za EU lakini bado kuna legal wrangles za definitions za EU Regulation 36/2012 kama ni sahihi kwa tukio lenyewe ndio maana jumuiya ipo kimya pamoja na kwamba mahakama ya Gibraltor imeidhinisha meli imekamtwa kwa kuvunja masharti ya EU sanctions.

Sasa kukamata meli zao ni dharau kubwa kutoka Iran kama ni message basi UK unitishi and trust they won’t like that hawa ni watu wanapambana na mighty Russia kwa madai ya kwamba wame commit acts of crime nchini kwao na kupata support ya EU kutoa sanctions tena mtu mwenyewe alieuwawa ni raia wa Russia wala sio wao; sasa tena ukamate resources zilizokuwa chini ya bendera yao si muda EU utasikia inatoa support kwa UK.

Tusibishane sana Iran keshaambiwa aachie hiyo meli kwa amani or else.
 
Kama great Satan (US) kashindwa huyu little satan (UK) hawezi ata kuthubutu kuishambulia Iran.

NOTE; Iran sio waarabu
Hakuna sehemu nimesema Iran is an Arab state.

Hakuna sehemu nimesema UK ataenda pekee, zaidi ya kutoa mfano Falkland alipotumia ubabe usikii dunia ikizungumza uonevu wakati ni tukio recent, tofauti na US ilipovamia Vietnam peke yake mpaka leo dunia inatafsiri uonevu.

Ni hivi maswala ya kuzitwanga hizi nchi zilizokuwa nje ya West zinahitaji support ya jumuiya ya kamataifa be it that equates to western support.

Na US ajashindwa militarily kumtwanga Iran kama umefuatilia bali kutoa justification ya kuivamia Iran; hii ni nchi ambayo ukiivamia kama unaelewa maswala ya energy security kuna madhara makubwa sana ya kuichumi kuivamia inabidi upate support kubwa sana, hapo ndipo walipokwama.
 
Ni kitu kimoja watu kukuzushia halafu watake kuanzisha ugomvi kama US ilivyojaribu watu watakuonea huruma na pili awawezi ku support vita itakayo waathiri wao kiuchumi.

Hila ni jambo lingine kukamata mali ya uingereza au US kimabavu; wao washatengeneza kesi Grace 1 ilikuwa inapeleka mafuta kwenye refinery lenye pipe linalofika mpaka Syria na hiyo nchi ina EU sanctions isiuziwe mafuta.

Kukamata meli yao ni kuwajaribu mno waingereza ambao ni very bad losers waliposhindwa tu ku host World Cup walianzisha mzozo huo mpaka uongozi wa FIFA ukabadilishwa.

Na kwa upande wa Iran tayari marekani anawashwa kumtwanga , adui zake Middle East wapo tayari kumtwanga; asipoitoa hiyo meli na UK akiweka nia ya kumtwanga lazima achezee kichapo hawa watu awapendi direct intimidation kwa mtu ambae wanamuona ni inferior kwao.

Regardless of the consequences isitoshe nchi tajiri zina policy ya three month oil reserves in two months Iran wanamtwanga walau kuwa na uwezo wa kui control strait of hormuz na kuendelea kupata supply with minimal impact to their economies, wakati wanaendelea na mashambulizi mengine ya ndani.
Mafuta yakipanda hadi kufika dola za kimarekani 100 hadi 150 kwa pipa kama ambavyo wataalamu wanasema unadhani kuna taifa hapa duniani ambalo litapona na mfumuko wa bei hata kama wana akiba ya miezi mitatu ???

Hivi mafuta yakizuiwa kupita pale mfereji wa Hormuz unadhani makampuni kama Halliburton, Exon Mobil, BP, n.k yatakuwa kwenye hali gani hata kama wana akiba ya miezi mitatu ???

Hebu tujadili........
 
Na ukileta ujinga akisha ku size akikuona huna lolote aihitaji support anakutwanga na dunia itamuunga mkono muulize Argentina alipotaka kukichukua kisiwa chake cha Falkland ambacho muingereza kakiiba.
Kama huyo Uingereza ana nguvu hizo mbona mwaka 1956 kwenye mgogoro wa Suez alinywea mbele ya Marekani pale alipolazimishwa na Marekani yeye pamoja na Israel na Ufaransa waache kuishambulia Misri? Huyo hana jipya enzi zake zilishapita usimkuze.
 
Hakuna atakayepona kama vita itatokea pale Ghuba ya Uajemi. Nadhani unasahau kwamba suala siyo kutunza mafuta miezi mitatu, suala ni kwamba makampuni yanayoongoza kuuza mafuta ndiyo yaleyale The Six Sisters kama The Royal Dutch Shell, British Petroleum, Exon Mobil, Chevron na Total n.k

Pipa la mafuta likipanda hadi kufika dola 100 hadi 150 unadhani soko la hisa litakuwa salama ?? Suala jingine ni kwamba siasa za ufalme wa Saudi Arabia ni kama lose canon kama wakiingia kwenye vita na Iran wakati ndani ya nchi yao kuna mtafaturuku basi huenda huu ndiyo utakuwa mwanzo wa anguko lao ambao unaeweza kupelekea hata machafuko ya kisiasa.

Suali jingine: Kama Saudi Arabia na UAE wamewashindwa waasi wa kihouthi kule Yemen pamoja na silaha zote zile, unadhani watawaweza wairani kweli ???
Kabla ya kuporomoka kwa bei ya mafuta yalikuwa yamefika $120 per barrel if not $125.

Unajua sababu ni nani? US kuamua ku encourage shale drilling ndani kwao na kupunguza import reliance.

US pekee waliweza kufanya kuwe na oversupply ya mafuta yakashuka mpaka $20 dollars per barrel.

Waarabu walijaribu kushusha bei wakitegemea shale drilling watawashinda kwenye cost of production kwa kufurisha soko kwa mafuta wakashindwa uwezi shindana na marekani akiamua kwenye maswala ya uchumi.

Tatu siasa za mafuta zimebadilika sana since Yom Kippur war, Israel tu pekee alikuwa keshafika mpaka Cairo atoe uongozi wote wa Middle East kilichowaokoa waarabu ni S.A kukata mafuta kwa West na madhara yalikuwa makubwa, kiasi kwamba US wakawasii waache kwanza kibano, since then somo lao West walilipata hapo ndio chanzo cha kuanzisha IEA.

Hiyo 3 months reserves usidhani imewekwa kwa bahati mbaya lengo lake ni kujipa muda ikiwa wakipambana tena na waarabu au ikitokea conflict kwenye hiyo region wawe na mafuta ya kutosha kuweza kubadili logistics na sera nyingine ilikuwa kutafuta vyanzo nje ya hizo nchi ambavyo kwa sasa ni vingi.

Watumiaji wa mafuta yanayopita hapo Strait of Hormuz ni Asia kwa asilimia kubwa sio West, yes mafuta yatapanda lakini sio kuwa na madhara makubwa kwao na watu makini kwa sasa wanajipanga kwa logistic kwa hiki kinachoendelea.

Na mwisho seven sisters wa 1930’s sio wa leo, duniani sasa hivi largest oil companies ni host nations corporates like Aramco, China Oil, Petrobas etc.

Bado kuna madhara lakini west washajua namna ya ku minimise risks zao likitokea lakutokea hiyo region, it is not ideal kuivamia Iran. Lakini ukishaleta ubabe kwa hawa watu aminitishi na ukawapa sababu expect hell to follow.
 
Back
Top Bottom