Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Pempo aomba mazungumzo
Screenshot_20190720_012613_com.codeofzero.shabbir.presstvnewsapp.jpeg
 
Iran kamchokoza malkia. Ategemee kupigwa na G7. USA, Canada, England, France, Italy, Germany na Japan
Acha kupayuka mkuu, unawajua walio nyuma ya Iran!!? Marekani ilipoamua kurudi nyuma dk chache kabla ya kuidhambulia Iran, baada ya drone yake kutunguliwa, hao G7 hawakuwepo!!? Unapoangalia Jambo usitumie macho mawili TU ongeza na latatu na ndo ufahamu zaidi kuliko hayo mawili...
 
Acha kupayuka mkuu, unawajua walio nyuma ya Iran!!? Marekani ilipoamua kurudi nyuma dk chache kabla ya kuidhambulia Iran, baada ya drone yake kutunguliwa, hao G7 hawakuwepo!!? Unapoangalia Jambo usitumie macho mawili TU ongeza na latatu na ndo ufahamu zaidi kuliko hayo mawili...
Walio nyuma ya Iran ni Russia, China na North Korea.
Walio nyuma ya Uingereza ni, Marekani, Japan, Canada, France, Germany, Israel na Spain, sasa piga hesabu nani atashinda vita?
 
Ningependa atuambia je ni kawaida kwa meli kubwa kupiga u-turn kali ya 45°
Kwa speed kubwa ama imegeuzwa na sumaku!!View attachment 1157739
Usitegemeye kuwa atatokea hapa hayupo sawa tangu Iran waseme walipiga pigo moja tu ile Drone ghali na ya technology ya ghali zaidi Duniani!!1
It sounds WOOOOW. Baada ya US na pro Trump kumwaga mboga IRAN sasa wameanua kuondoka na ugali kabisa. Kama mbwai iwe mbwai.
 
After UK pirated Iranian tanker without any legal ground ,Iran decided to use diplomatic channels, first they kept ship for 14 days but after today decision to held ship for one month,Iran decided to respond
 
Mfalme Suleimani aliwahi kusema hivi "hata mjinga akinyamaza huhesabiwa kuwa na hekima". Mkuu siyo lazima uchangie kila kitu: Kama hujui kitu ni muhimu kunyamaza na kujifunza kutoka kwa wanaojua.
Mkuu kukosekana kwako ktk hili jukwaa, wengi tumekosa darasa kutoka kwako mkuu.

Au upo Tukuyu huko una lima Miwa...?
 
After UK pirated Iranian tanker without any legal ground ,Iran decided to use diplomatic channels, first they kept ship for 14 days but after today decision to held ship for one month,Iran decided to respond
Was no otherwise, and always Iran leaders warned UK if not releases its vessel then that seizure will not remain unanswered. This stupid mentality of UK and US believing that they can do anything to anyone anywhere should stop. Hopefully Iran would be a good lesson.
 
IRGC imesema imekamata meli ya mafuta ya UK Stena Impero

Habari zinasema Stena Impero iliacha maji ya kimataifa na kwenda kwenye visiwa vilivyopo Iran

Meli ilikuwa inaelekea Saudi Arabia.

Hatua hii inafuatia baada ya UK kuikamata Meli ya Iran Grace 1 na Iran iliahidi kulipiza kisasi.

My take mashariki ya Kati inakalibia kulipuka .Hekima,burasa na Maombi vitumike kuepusha balaa.

Link


UPDATES

Uingeleza imethibitisha Iran imekata meli yake nyingine.

Ivyo Irani imekamata meli mbili za mafuta za Uingeleza.

= inakaribia
= kuripuka
= Uingereza
= Uingereza
 
Time is up, mpiganeee mchapaneee plse.. Ebu US, UK it is a right time kumtia adabu kuu Iran, time is now..!! Strike, hit hardest utaona Iran kwisha, hawa wana kiburi sanaaa..!!
 
Back
Top Bottom