Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Irani yakamata Meli ya mafuta ya UK

Time is up, mpiganeee mchapaneee plse.. Ebu US, UK it is a right time kumtia adabu kuu Iran, time is now..!! Strike, hit hardest utaona Iran kwisha, hawa wana kiburi sanaaa..!!
Pole sana kijana yaan hata ww ukipewa urais wa amerka huna uwezo wa kuichapa iran utaishia 2 kutype kama babu yako trump

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Ohoooo ina maana amerka ni kilaza sio ama ?!

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
To give you a perspective migogoro yote mikubwa duniani in the 20 century iliyoshirikisha nchi nyingi basi muingereza anahusika, ata vita ya pili ya dunia Hitler alikuwa anatimiza agenda zake dunia ikimuangalia mpaka UK ilipoingia kati.

Na ukileta ujinga akisha ku size akikuona huna lolote aihitaji support anakutwanga na dunia itamuunga mkono muulize Argentina alipotaka kukichukua kisiwa chake cha Falkland ambacho muingereza kakiiba.

Marekani anazo nguvu lakini fitna hajui with UK on board kuna mpambe nuksi, sasa hivi utasikia West nzima inatoa support Iran achapwe.
 
Let’s wait and see. Ila nnachojua vita sio Sawa na mpira wa miguu. So tupunguze ushabiki
 
Ni kitu kimoja watu kukuzushia halafu watake kuanzisha ugomvi kama US ilivyojaribu watu watakuonea huruma na pili awawezi ku support vita itakayo waathiri wao kiuchumi.

Hila ni jambo lingine kukamata mali ya uingereza au US kimabavu; wao washatengeneza kesi Grace 1 ilikuwa inapeleka mafuta kwenye refinery lenye pipe linalofika mpaka Syria na hiyo nchi ina EU sanctions isiuziwe mafuta.

Kukamata meli yao ni kuwajaribu mno waingereza ambao ni very bad losers waliposhindwa tu ku host World Cup walianzisha mzozo huo mpaka uongozi wa FIFA ukabadilishwa.

Na kwa upande wa Iran tayari marekani anawashwa kumtwanga , adui zake Middle East wapo tayari kumtwanga; asipoitoa hiyo meli na UK akiweka nia ya kumtwanga lazima achezee kichapo hawa watu awapendi direct intimidation kwa mtu ambae wanamuona ni inferior kwao.

Regardless of the consequences isitoshe nchi tajiri zina policy ya three month oil reserves in two months Iran wanamtwanga walau kuwa na uwezo wa kui control strait of hormuz na kuendelea kupata supply with minimal impact to their economies, wakati wanaendelea na mashambulizi mengine ya ndani.
Yaani ni maneno ma2pu yasio na uweledi njia pekee na ilokua ya rahisi kumtwanga iran ilikua baada ya kuangusha ndege ya amerka 2 maadam ile ilipita hamna ataeweza kumtwanga iran watafte vitanda walale maana washajua iran ni mkubwa kuliko wao

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
To give you a perspective migogoro yote mikubwa duniani in the 20 century iliyoshirikisha nchi nyingi basi muingereza anahusika, ata vita ya pili ya dunia Hitler alikuwa anatimiza agenda zake dunia ikimuangalia mpaka UK ilipoingia kati.

Na ukileta ujinga akisha ku size akikuona huna lolote aihitaji support anakutwanga na dunia itamuunga mkono muulize Argentina alipotaka kukichukua kisiwa chake cha Falkland ambacho muingereza kakiiba.

Marekani anazo nguvu lakini fitna hajui with UK on board kuna mpambe nuksi, sasa hivi utasikia West nzima inatoa support Iran achapwe.
Kwamaneno washamchapa tayar ila hawaba njia nyengne yakumchapa maana hawamuwez wangekua wachapaji kweli wangeshamchapa zamani sana walishindwa miaka hio wataweza ss hv hao waingereza si ndio walokua wanamiliki visima vya iran kabla hawaja vibinafsisha wairan hao waingereza walifanya nn zaidi ya twaarab 2

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Ww uliskia vita ni PlayStation?? Kwanza kwa sasa hakuna EU member atakaesogeza pua yake, kila nchi iko taabani eti wamsikilize malkia, kwanza sasaivi kuna ugomvi mkubwa baina ya Uk na EU member, alaf kwa sasa kila nchi inataka maendeleo hawataki tena vita labda waende UK na Us na hio ni ngumu, Nchi kama Iran ata aieteke meli kama hio anajiamini haswaaa hakurupuki
Ni kitu kimoja watu kukuzushia halafu watake kuanzisha ugomvi kama US ilivyojaribu watu watakuonea huruma na pili awawezi ku support vita itakayo waathiri wao kiuchumi.

Hila ni jambo lingine kukamata mali ya uingereza au US kimabavu; wao washatengeneza kesi Grace 1 ilikuwa inapeleka mafuta kwenye refinery lenye pipe linalofika mpaka Syria na hiyo nchi ina EU sanctions isiuziwe mafuta.

Kukamata meli yao ni kuwajaribu mno waingereza ambao ni very bad losers waliposhindwa tu ku host World Cup walianzisha mzozo huo mpaka uongozi wa FIFA ukabadilishwa.

Na kwa upande wa Iran tayari marekani anawashwa kumtwanga , adui zake Middle East wapo tayari kumtwanga; asipoitoa hiyo meli na UK akiweka nia ya kumtwanga lazima achezee kichapo hawa watu awapendi direct intimidation kwa mtu ambae wanamuona ni inferior kwao.

Regardless of the consequences isitoshe nchi tajiri zina policy ya three month oil reserves in two months Iran wanamtwanga walau kuwa na uwezo wa kui control strait of hormuz na kuendelea kupata supply with minimal impact to their economies, wakati wanaendelea na mashambulizi mengine ya ndani.
 
Mie sina upande hila safari hii Iran anawapa sababu
Alivyoirupua ndege ya amerka hakuwapa sababu ?!alivyo taifisha mashirika ya waingereza hakuwapa sababu alipoteka baloz za amerka hakuwapa sababu alipoteka rq ile ndege ya amerka hakuwapa sababu yaan kiufupi jamaa hawawez kumpiga iran full stop

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Kiongozi wa zamani wa Jeshi la Wanamaji la Uingereza (Royal Navy), Lord Alan West ameitupia lawama Royal Navy kwa kushindwa kuipatia ulinzi wa kuisindikiza meli ya Stena Impero iliyokamatwa jana na Irani akidai kuwa, walikuwa wakifahamu fika kuhusu uwepo wa hatari hiyo iwapo vyombo hivyo visipopatiwa ulinzi.

Ikumbukwe kuwa wiki iliyopita, kulitokea jaribio jingine kama hili ambapo Jeshi la Wanamaji la Uingereza likiisindikiza meli ya British Heritage, liliziondosha 'boti' tatu za Irani zilipojaribu kuisimamisha meli hiyo iliyokuwa ikikatiza mlango wa bahari wa Hormuz, kitu ambacho tayari 'Royal Navy' ilikuwa ikikifahamu hatari zilizopo endapo meli hizo za mizigo siziposindikizwa na ulinzi wa kijeshi.

Meli ya Stena Impero iliyokamatwa jana na Irani ilikuwa na wafanyakazi wapatao 23. Wafanyakazi 18 kutoka India na wengine kutoka mataifa ya Urusi, Latvia na Ufilipino. Meli hiyo inayomilikiwa na Uswidi yenye usajili wake nchini Uingereza haikuwa na mzigo wakati inakamatwa hiyo jana.
 
Yaaani pro trump wanateseka sana 2 asee ina maana kuna uwezekano hata huu mjimeli ulipigwa u turn kiteknolojia mzee baba ama ?!

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂 NDIO MAANAKE MKUU wenyewe wamekiri kuwa ilikata Kona ambayo sio ya kawaida kisha wakashuhudia Giza kwenye tracking system zao!
 
Common sense kwa Iran nikuiacha hiyo meli jana waziri wa ulinzi wa UK kasema wasipoitoa hiyo meli lazima kutakuwa na consequences.

Iran hana ubavu wakusimama na military power za US alone, let with combined forces za UK.

Put it this way watu kama China kukabiliana na US walirusha satelite angani halafu wakaitungua kwa malengo ya kuongeza space junk hili US wapunguze satellite launch kwa uoga m wa collision maana military strategies za sasa zimeamia angani.

Leo US inafanya research ya namna ya kusafisha space junk, and that is not only complicated business but very expensive mission too.

Sasa kweli mission ya kumtwanga Iran itawasumbua, hizo meli zao za vita zina laser beams zinazoweza pasua vile viboti vinavyozagaa strait of Hormuz wakiwa at long distance achilia mbali ammunition’s zingine zilizo na nguvu zaidi.

Kinachowazuia kumvaa Iran ni supply of energy security hata ya muda mfupi mafuta ndio kila kitu kwenye uchumi wa dunia na Iran ana uwezo wa kusumbua kwa miezi kadhaa upatikanaji wake kutokana na proxy wars, lakini kutwanga tu yeye mwenyewe wala sio shughuli kwao.
Endeleeni kuwaza mambo ambayo hayawez tokea mkuuu iran super powe kijana ohoooo

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
 
Yaani ni maneno ma2pu yasio na uweledi njia pekee na ilokua ya rahisi kumtwanga iran ilikua baada ya kuangusha ndege ya amerka 2 maadam ile ilipita hamna ataeweza kumtwanga iran watafte vitanda walale maana washajua iran ni mkubwa kuliko wao

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
That was deemed agressive behaviour ni US ndio aliefuta nuclear deal na ni US ndio alikuwa anailazimisha Iran kuongea nao kwa ubabe hakuna mtu ata support hiyo vita.

This is a separate incident ni Iran ndio imeichokoza na kuitunisha misuli UK.

Swala la Grace1 pamoja na kwamba UK wamekamata ndani ya himaya za EU lakini bado kuna legal wrangles za definitions za EU Regulation 36/2012 kama ni sahihi kwa tukio lenyewe ndio maana jumuiya ipo kimya pamoja na kwamba mahakama ya Gibraltor imeidhinisha meli imekamtwa kwa kuvunja masharti ya EU sanctions.

Sasa kukamata meli zao ni dharau kubwa kutoka Iran kama ni message basi UK unitishi and trust they won’t like that hawa ni watu wanapambana na mighty Russia kwa madai ya kwamba wame commit acts of crime nchini kwao na kupata support ya EU kutoa sanctions tena mtu mwenyewe alieuwawa ni raia wa Russia wala sio wao; sasa tena ukamate resources zilizokuwa chini ya bendera yao si muda EU utasikia inatoa support kwa UK.

Tusibishane sana Iran keshaambiwa aachie hiyo meli kwa amani or else.
 
Back
Top Bottom