Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,616
- 36,632
Kama hujaiona huwez kuiona tena mkuuu iran walidungua ndege ya amerka juzi 2 hapa ama unajifanya hujui mkuuWewe ndio unaongea urojo lete proof ya ndege kuripuliwa


Kama hujaiona huwez kuiona tena mkuuu iran walidungua ndege ya amerka juzi 2 hapa ama unajifanya hujui mkuuWewe ndio unaongea urojo lete proof ya ndege kuripuliwa


aiseeUingeleza
Yaaan super powee mkuu apewe blessing na go ahead na nani tena ?!Support aina maana ya military, bali go ahead blessings pia.
Hamna namna mgogoro utaisha pale uk ataporejesha meli ya watu tuu usitegemee vita hapo mkuu hawawez kumchabanga iran wajamaaaSiwezi kusema for certain zaidi ya kwamba Iran hapa kagusa sipo, busara ni sote kuangalia jinsi huu mgogoro utakavyo develop.
Haitakuwa vita vya dunia Iran hana support ya Mrusi na certainly USA akiamua kumtandika Iran, itakuwa mwisho wa utawala huu wa Iran. History ni kama neno lenyewe, history.
Kwa hiyo wewe ungekuwa Rais wa USA ungeamua kuitandika Iran?Mbona hamtandiki?
Hivi hizi ndoto bado mnaziota?Iran kamchokoza malkia. Ategemee kupigwa na G7. USA, Canada, England, France, Italy, Germany na Japan
Kwa hiyo wewe ungekuwa Rais wa USA ungeamua kuitandika Iran?
Walisema hivyo hivyo Syria.
Eh we jamaa unaota au?Wewe ndio unaongea urojo lete proof ya ndege kuripuliwa
IRAN ana waaibishaga sana mabeberu ila hawakomi tu View attachment 1158966Haya 2kubaliane hapa ina maana kama haja achia wataka nambia iran atapigwa
Hawa apa mkuu2014 ilishawahi kutekwa manuari ya US na wanajeshi wakawekwa chini ya ulinzi mkali mikono juu
Swali langu hukulielewa. Kama wewe ungekuwa Rais wa USA na drone yako imetunguliwa, ungeishambulia Iran ?Mm ningelikua Raisi wa Marekani ningewaheshimu Iran na nisingelipeleka majeshi mashariki ya kati, ningeheshimu haki za binaadamu, ningeepusha majeshi yng kuuwawa
Eh we jamaa unaota au?
Ile stealth drone ta $220 millions hukupata habar zake?
Hapa hukuelewa swali pia. Urusi ilitoa mkwara huko Syria kuwa yeyote atakayetuma missile Syria, watatungua missiles hizo na kule zilikotokea. USA wakafanya yao Urusi kimya.Tofautisha kati ya Iran na Syria, Iran haihitaji misaada, iko imara, tofauti ya Iran na N.korea ni ndogo sana, Ndio maana Iran anafanya anavyotaka Mashariki ya kati na hatetereki, yaani yuko taari kwa lolote, mda wowote
Swali langu hukulielewa. Kama wewe ungekuwa Rais wa USA na drone yako imetunguliwa, ungeishambulia Iran ?
Hapa hukuelewa swali pia. Urusi ilitoa mkwara huko Syria kuwa yeyote atakayetuma missile Syria, watatungua missiles hizo na kule zilikotokea. USA wakafanya yao Urusi kimya.
Sasa usibadili swali. Issue haikuwa zilifikia malengo au la.Je missiles alizozituma Us zilifikia malengo?
Ni hekima kuwa anayejijua kuwa ana uwezo mkubwa wa kupiga, ana exercise restraint anapochokozwa. Ni kama mwenye black belt ya judo, akichokozwa kidogo na layman, huvumilia tu kwani anajua akijibu mashambulizi, hutajulikana umepotelea wapi.Nisingeishambulia, ningetulia kama maji ya mtungi