Iran yateka Drone Nyambizi mpya ya Marekani

Iran yateka Drone Nyambizi mpya ya Marekani

Screenshot_20260909_232528_Oil Price Live.jpg
 
Walituambia hivyo na Kwa Aircraft carrier,kua hazijapigwa lkn Cha ajabu ziliondolewa eneo la vita.
Sasa sijui walizipeleka enea la vita kwa ajili ya kupiga picha?

Izi Aircraft Carrier nk
tatizo kubwa kwao uwezo wa kujilinda

ndio changamoto kwa Makombora ya Iranian 👈

Moja ipo Mombasa wamebaki Wanajeshi wao wengi wameondoka na ndege

Kufanya mission na Taifa kama Iranian lenye Technology kubwa ya Makombora ni Hatari kwa Wanajeshi wao👈

Kule Marekani kwenyewe Wizara ya Ulinzi imetikisika pakubwa baada
Ma Jenerali muhimu
kujiuzulu Jeshini

Trump kwasasa hajui cha
kufanya
kipi chenye tija japo kidogo❗️

Nikama Jeshi lenyewe la Marekani halitaki kupigana Vita na Iranian‼️

kunamatatizo ndani ya Jeshi kwasasa ila yanafunikwafunikwa

Sisi tutaendelea kuona Wanajeshi wakubwa wakijiuzulu siku baada ya siku

Ingekuwa nchi ndogo Trump angepinduliwa na wangemkamata Wanajeshi
Kutokana na Fukuto ndani ya Jeshi kwasasa❗️

Wakubwa wa Jeshi hawakuvitaka ivi Vita tangu mwanzo kabisa❗️

Trump yupo njia panda
Sehemu 3
1) Iranian yenyewe
2(Uchaguzi wa November
3)Mizozo Wizara ya Ulinzi
 
Maskini Marekani..
Juzi wamepoteza ndege Tisa zilizopigwa na makombora ya Iran huko Jordan. Kwa mujibu wa taarifa Yao ndege 8 chapa F16 zilipata light injuries wakati A.10 War hog ilipoteza bawa kwenye shambulio Hilo. Kwingineko siku hiyo hiyo zilionekana helicopter kadhaa zikihamishwa kwa malori kutoka sehemu hiyo zikiwa na majeraha mbavuni na kichwani.Kwa hali ilivyo, hivyo ni kusema kwamba US wanapata hasara kubwa za kivita ambazo hawakuzitarajia.
 
Mkuu hata kule Jordan hao US walisema kombora zote za IRGC zimetunguliwa cha ajabu baada ya wiki wakaja kukiri uharibifu na vifo.

So when it comes to fact-check, US can't be trusted.
Walituambia hivyo na Kwa Aircraft carrier,kua hazijapigwa lkn Cha ajabu ziliondolewa eneo la vita.
Sasa sijui walizipeleka enea la vita kwa ajili ya kupiga
Mkuu,naomba unifafanulie hiki nilichonukuu hapa.
"Jeshi la Wanamaji la IRGC lilisema chombo hicho kilikabidhiwa kwa jeshi la Marekani mwaka 2025 na sasa kipo mikononi mwa Iran kama "nyara." Ni kitu gani kilifanyika au walirudishiana?
IRGC wanasema Jeshi la Marekani lilipewa kifaa hicho (silaha hiyo)kutoka Kwa watengenezaji (kiwanda Cha silaha hiyo)mwaka 2025 kikiwa kipya kabisa baada ya serikali ya Marekani kukinunua.
Iko hivi huko Marekani Kuna makampuni ya kutengeneza silaha na yanaiuzia serikali ya Marekani,nayo serikali inalikabidhi Jeshi kwa matumiazi ya Ulinzi.
Hapa IRGC walitaka kuonesha kua silaha hiyo bado ni mpya kabisa ya mwaka Jana TU,Sasa imetekwa.siri ya teknoloji Iko Nje.
 
Izi Aircraft Carrier nk
tatizo kubwa kwao uwezo wa kujilinda

ndio changamoto kwa Makombora ya Iranian 👈

Moja ipo Mombasa wamebaki Wanajeshi wao wengi wameondoka na ndege

Kufanya mission na Taifa kama Iranian lenye Technology kubwa ya Makombora ni Hatari kwa Wanajeshi wao👈

Kule Marekani kwenyewe Wizara ya Ulinzi imetikisika pakubwa baada
Ma Jenerali muhimu
kujiuzulu Jeshini

Trump kwasasa hajui cha
kufanya
kipi chenye tija japo kidogo❗️

Nikama Jeshi lenyewe la Marekani halitaki kupigana Vita na Iranian‼️

kunamatatizo ndani ya Jeshi kwasasa ila yanafunikwafunikwa

Sisi tutaendelea kuona Wanajeshi wakubwa wakijiuzulu siku baada ya siku

Ingekuwa nchi ndogo Trump angepinduliwa na wangemkamata Wanajeshi
Kutokana na Fukuto ndani ya Jeshi kwasasa❗️

Wakubwa wa Jeshi hawakuvitaka ivi Vita tangu mwanzo kabisa❗️

Trump yupo njia panda
Sehemu 3
1) Iranian yenyewe
2(Uchaguzi wa November
3)Mizozo Wizara ya Ulinzi
Marekani haijawahi kupitia fedheha kubwa Kama hii toka kuundwa kwa Taifa hilo.
 
Maskini Marekani..
Juzi wamepoteza ndege Tisa zilizopigwa na makombora ya Iran huko Jordan. Kwa mujibu wa taarifa Yao ndege 8 chapa F16 zilipata light injuries wakati A.10 War hog ilipoteza bawa kwenye shambulio Hilo. Kwingineko siku hiyo hiyo zilionekana helicopter kadhaa zikihamishwa kwa malori kutoka sehemu hiyo zikiwa na majeraha mbavuni na kichwani.Kwa hali ilivyo, hivyo ni kusema kwamba US wanapata hasara kubwa za kivita ambazo hawakuzitarajia.
Kwa kweli,kwa Marekani hili ni janga kubwa sana.
Hili janga ni sawa na janga la kupigwa na Vietnam.
 
MAREKANI kadhidiwa kitechnology na Iranian

Ndiomana MAREKANI hawezi kuzuiya MAKOMBORA ya Iranian kwaiyo Marekan yupo kwenye kudhalilishwa zaidi na Iranian tujipe muda
zaidi ✍️
Multiple US military aircraft were damaged in an Iranian strike on a key American airbase in Jordan, CBS reported on Wednesday, citing sources familiar with the matter.

The attack reportedly took place overnight on Tuesday and targeted Muwaffaq Salti Air Base near Azraq, about 100 km northeast of Amman, a major hub for US air operations in the region.

One A-10 Thunderbolt, known as the Warthog, suffered severe wing damage, while around eight F-15s were lightly damaged but returned to service, according to the report
Source:RT
===
 
Multiple US military aircraft were damaged in an Iranian strike on a key American airbase in Jordan, CBS reported on Wednesday, citing sources familiar with the matter.

The attack reportedly took place overnight on Tuesday and targeted Muwaffaq Salti Air Base near Azraq, about 100 km northeast of Amman, a major hub for US air operations in the region.

One A-10 Thunderbolt, known as the Warthog, suffered severe wing damage, while around eight F-15s were lightly damaged but returned to service, according to the report
Source:RT
===
Dunia ni kama haiamini hivi,kwamba haya mambo yanaipata Marekani!?
 
Uko sahihi kabisa.
Ila napenda nikukumbushe kua Marekani hua ana tabia ya kupigwa na vitoto vidogo.
Kumbuka Cuba, Vietnam,Somalia, Afghanistan na Sasa Iran.
Kibaya zaidi safari hii mashoga zake wa ulaya wamemuacha achezee peke yake.
Tena sio peke yake kabisa,yaani peke yake na Mwanae Israel.
Kama unavyosema ni kweli Dunia imepinduka.
Ila Iran kaka sio mtoto mdogo. Iran huwezi fananisha na Cuba and the likes kwenye geopolitical sphere if giants Iran yupo.
 
Back
Top Bottom