Iran yateka Drone Nyambizi mpya ya Marekani

Iran yateka Drone Nyambizi mpya ya Marekani

Inawezekana Dunia haikuwahi kujua iran na bado hatujaijua.
Haw jamaa inaonesha Wana Siri kubwa sana katika medani za vita Dunia haijui.
Uankumbuka Iran ilishawahi kuishusha drone ya USA kutoka angani kama ilivyo na ilipotua haikuwa imedunguliwa wala kua na uhatibifu wowote,Sasa hata hii drone ya ndani ya maji haijapigwa Bali imekamatwa nzimanzima.
Iran Wana tech za Siri sana.

Na hii Mkuu Bot ya kijesh ilizimwa Mawasiliano yake
Ilipokaribia Maji ya Iranian

Wajeda wa USA waka Surrender wote 👇
 

Attachments

  • 4cbtb4c4260e742omgh_440C247.jpg
    4cbtb4c4260e742omgh_440C247.jpg
    28.8 KB · Views: 5
  • download-1.jpeg
    download-1.jpeg
    8.3 KB · Views: 2
Jeshi la wanamaji limenasa chombo cha kisasa cha Marekani kinachojiendesha chenyewe chini ya maji karibu na Mlango wa bahari wa Hormuz. Jeshi la Wanamaji la IRGC lilisema chombo hicho kilikabidhiwa kwa jeshi la Marekani mwaka 2025 na sasa kipo mikononi mwa Iran kama "nyara."
Mkuu Acha kuleta taharuki, si tulishaambiwa kwamba Iran haina jeshi la Maji tena maana lote lilisambaratishwa na majeshi ya US na Israel. Sasa hii imewezekanaje!! Hahahhaha
 
Na hii Mkuu Bot ya kijesh ilizimwa Mawasiliano yake
Ilipokaribia Maji ya Iranian

Wajeda wa USA waka Surrender wote 👇
Nakumbuka hii Mkuu.
Ukisema wajeda wa USA utakua umepunguza uzito wa taarifa ,SEMA US Special force.
Hao hawakua wanajeshi wa kawaida,walikua ni makomando wenye mafunzo ya Hali ya juu sana walitumwa kwenda kufanya operation moja ya hatari sana,wakaishia kudakwa kama wasomali wanapenda kutafuta maisha South Afrika Wanavyodakwa na Trafiki wa bongo .
 
Mkuu Acha kuleta taharuki, si tulishaambiwa kwamba Iran haina jeshi la Maji tena maana lote lilisambaratishwa na majeshi ya US na Israel. Sasa hii imewezekanaje!! Hahahhaha
Mkuu acha kabisa,hii Dunia ngumu sana hii.
Msemo wa kiswahili Unaosema "Ukiwa Muongo usiwe Msahaulifu"
Huu msemo unawahusu wamarekani.
Ukweli walituambia Jeshi la Majini la Iran limeangamizwa,Sasa sijui hili Jeshi lililokamata nyambizi drone sijui limetoka wapi.
 
Inawezekana Dunia haikuwahi kujua iran na bado hatujaijua.
Hawa jamaa inaonesha Wana Siri kubwa sana katika medani za vita Dunia haijui.
Unakumbuka Iran ilishawahi kuishusha drone ya USA kutoka angani kama ilivyo na ilipotua haikuwa imedunguliwa wala kua na uhatibifu wowote,Sasa hata hii drone ya ndani ya maji haijapigwa Bali imekamatwa nzimanzima.
Iran Wana tech za Siri sana.
Hili mbona lipo wazi sana mkuu kama nyeti za mbuzi
Kiufupi iran bado haijaanza ila super glue naona kabakisha nyuklia pekee
 
Yaani Hadi raia wa Marekani kwenyewe wanaona aibu wao Sasa,yaani wanaona sivyo kama walivyokua wanafikiria.

Wajuzi wanatwambia Dunia inazunguka ktk kuzunguka ndivo
Elimu inasogea sehemu
nyengine👈

Vijana wa Marekani Ulaya wamedanganyika kwamba wao wapo juu na hawawezi
fikiwa❗️

Kumbe sivyo jinsi Mzunguko unaenda ndio na ujuzi unaenda kwengine

Kwasasa Vijana wao wanapenda zaidi Kupombeka na ujinga mwengine

Sio kusoma tena✍️
 
Jeshi la wanamaji limenasa chombo cha kisasa cha Marekani kinachojiendesha chenyewe chini ya maji karibu na Mlango wa bahari wa Hormuz. Jeshi la Wanamaji la IRGC lilisema chombo hicho kilikabidhiwa kwa jeshi la Marekani mwaka 2025 na sasa kipo mikononi mwa Iran kama "nyara."

Chombo hicho cha Dive-LD, kinachotengenezwa na kampuni ya teknolojia ya ulinzi ya Marekani ya Anduril Industries, kina urefu wa takriban mita 5.8 na uzito wa karibu tani tatu za metric. Kina uwezo wa kufanya kazi kikiwa chini ya maji kwa takriban siku 10 bila kuongozwa na binadamu na kinaweza kufika kina cha hadi mita 6,000, kulingana na maelezo ya mtengenezaji.

Chombo hicho kimetengenezwa kwa muundo unaoruhusu kufungwa vifaa na mitambo mbalimbali ya kihisia kwa ajili ya shughuli mbalimbali, ikiwa ni pamoja na ukusanyaji wa taarifa za kiintelijensia na upelelezi, vita vya mabomu ya ardhini na majini, kuchora ramani za sakafu ya bahari, pamoja na ukaguzi wa miundombinu iliyo chini ya maji.

My take
Iran inafahamika kwa uwezo mkubwa wa kuchunguza na kuchukua Siri jinsi iliyotengenezwa na kuweza kutengeneza silaha kama hiyo.
Ikiwapendeza Iran wanaweza kiwakaribisha maswahiba wake Urusi na china ili kujipatia teknolojia mpya.


===========
Iran’s Revolutionary Guards said Tuesday that its navy had captured an advanced US unmanned underwater vehicle near the entrance to the Strait of Hormuz, with Iranian state media identifying the vessel as an Anduril Dive-LD autonomous undersea vehicle.

The IRGC Navy said the vehicle had been delivered to the US military in 2025 and was now in Iranian possession as a “prize.” It said images of the captured vessel would be released.

There was no immediate confirmation from the US military of the reported seizure.

The Dive-LD, manufactured by US defense technology company Anduril Industries, is a roughly 5.8-meter-long autonomous underwater vehicle weighing close to three metric tons. It can operate autonomously for around 10 days and reach depths of up to 6,000 meters, according to the manufacturer.

Anduril delivered its first Dive-LD to the US Navy’s Unmanned Undersea Vehicle Squadron 1 in April 2025.

The vehicle has a modular design allowing different sensors and payloads to be fitted for missions including intelligence and surveillance, mine warfare, seabed mapping and inspection of underwater infrastructure.

Source: Iran International & Naval news
Mkuu,naomba unifafanulie hiki nilichonukuu hapa.
"Jeshi la Wanamaji la IRGC lilisema chombo hicho kilikabidhiwa kwa jeshi la Marekani mwaka 2025 na sasa kipo mikononi mwa Iran kama "nyara." Ni kitu gani kilifanyika au walirudishiana?
 
Wajuzi wanatwambia Dunia inazunguka ktk kuzunguka ndivo
Elimu inasogea sehemu
nyengine👈

Vijana wa Marekani Ulaya wamedanganyika kwamba wao wapo juu na hawawezi
fikiwa❗️

Kumbe sivyo jinsi Mzunguko unaenda ndio na ujuzi unaenda kwengine

Kwasasa Vijana wao wanapenda zaidi Kupombeka na ujinga mwengine

Sio kusoma tena✍️
Uko sahihi kabisa.
Ila napenda nikukumbushe kua Marekani hua ana tabia ya kupigwa na vitoto vidogo.
Kumbuka Cuba, Vietnam,Somalia, Afghanistan na Sasa Iran.
Kibaya zaidi safari hii mashoga zake wa ulaya wamemuacha achezee peke yake.
Tena sio peke yake kabisa,yaani peke yake na Mwanae Israel.
Kama unavyosema ni kweli Dunia imepinduka.
 
Mkuu hata kule Jordan hao US walisema kombora zote za IRGC zimetunguliwa cha ajabu baada ya wiki wakaja kukiri uharibifu na vifo.

So when it comes to fact-check, US can't be trusted.
Walituambia hivyo na Kwa Aircraft carrier,kua hazijapigwa lkn Cha ajabu ziliondolewa eneo la vita.
Sasa sijui walizipeleka enea la vita kwa ajili ya kupiga picha?
 
Back
Top Bottom