IRAN Yashambuliwa kwa Drones

IRAN Yashambuliwa kwa Drones

Acha utoto dogo. Nyarugusu (Nyumbani kwetu) imeingiaje hapa? Kwa taarifa yako Nyarugusu ipo mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu wakati Buseresere ipo Wilaya ya Chato mkoa wa Geita. Kwahiyo acha kuropoka havina Uhusiano.
Anaweka kidole jichoni sio
 
Sio lazima uziongoze, nyingine ukiipa coordinates inajipeleka
Kuna loitering munitions, ambayo lazima iongozwe,, mfano, inatumwa kushambulia nyumba fulani, labda kuna mtu wanamtafuta kumuua, hiyo drone itatumwa na kubaki juu, area, hovering,, ikisubiri confirmation ya kuhit,, so pengine kabla haijahit, ikaonekana kundi la watoto wakiingia ndani ya nyumba, na kwamba inabidi ku abort mission ili kuepuka kuua wasio na hatia, hivyo drone inabaki juu on target, hovering, kusubiri amri ya kushambulia,, ndo maana zinaitwa loitering munitions,,
Lakini pia zipo ambazo ziko programmed kufuata flightpath specific na kwenda kuhit mfano, jengo,,
Shorticoming yake ni kuwa, unaweza kumiss target, na haiwezi hit, moving target, hii ndo wanaita suicide drone🤷🏾‍♂️
 
Kuna Jews wengi Iran na hao ndio wanaoiumiza Iran.
Pia Iran ina maadui wengi ndani yao
Jew wa iran, hawana hizo ishu,, iran inasumbuliwa na wafuasi wa aliyekuwa mfalme wa iran, shah,, ambae alipinduliwa na ayatollah 1979,
Hawa wana jeshi lao liko uhamishoni nje, hasa iraq ya kurdistan,
Hawa ndo hutumika na mossad au CIA kufanya hujuma ndani ya iran
 
😂😂😂 Mazombi yanavyo itetea Israel kama wanaishi au walizaliwa huko! Iombee Tanzania maana ikikubwa na machafuko utalala njaa! Utakuwa mkimbizi! We unaiombea Israel inakuhusu nn ndugu yangu?
Unavyoitetea Palestine kama kuna mum-eo alizaliwa huko SASA unaona vitoto vya benja vitapita na uzazi wake
 
Kama drones zimerushwa toka ndani ya iran,, hana justification ya kukurupuka kushambulia nchi yeyote,
Halafu hii habari imejaa propaganda nyingi sana, eneo lishambuliwa na drone , wanadai ni moja tu, na shambulio halikufaulu, drone moja ilipigwa, mbili zilinasa kwenye drone net, zikalipuka bila kuleta madhara makubwa,
Tunasubiri confirmation ya picha za satelites kutoka maeneo yanayodaiwa kushambuliwa
Drone net ndio zipoje na zinafanyaje kazi
 
Kabisa.....

ugaidi sio lazima ulenge raia tu hata taasis za kiusalama kama jeshi, polisi au hata miundombinu muhimu ya kiraia kama umeme au maji.... muhimu lengo liwe kuhujumu taasis husika kwa nia ya kutambulika, kutengeneza hofu au kwa sababu za kisiasa au itikadi.
Ninataka kuelewa unachosema ila, kama lengo la mhusika (ambaye bado hajajitambulisha) ni kushambulia maeneo ya kijeshi (ambayo sio ya kiraia), tunawezaje kusema kwa uhakika kuwa kuna sababu za kisiasa ama kiitikadi ndani yake?

Ugaidi huwa unafanyika ili kuleta athari kwa raia moja kwa moja [ambao ndio wahusika wa masuala ya kisiasa na kiitikadi] na sio mkakati mahususi wa kushambulia maeneo ya kijeshi kama ambavyo taarifa zinasema.
 
Ugaidi huwa unafanyika ili kuleta athari kwa raia moja kwa moja [ambao ndio wahusika wa masuala ya kisiasa na kiitikadi] na sio mkakati mahususi wa kushambulia maeneo ya kijeshi kama ambavyo taarifa zinasema.
Sio lazima kwa raia tu, hata kushambulia maeneo ya kijeshi wakati hampo vitani ni Ugaidi pia.
 
Sasa mkuu hapo umeuliza swali gani?

Magaidi walio shambulia makao makuu ya jeshi ya marekani Pentagon ni wa aina gani?
Shambulizi la Pentagon la wakati gani? Septemba 11?

Shambulizi la Septemba 11 lilikusudiwa kulenga raia wa Marekani kwa ujumla na sio maeneo ya kijeshi ya Marekani. Ndege za kiraia zilitekwa, majengo ya kiraia yalishambuliwa, raia waliuawa n.k.

Hiyo ndiyo maana halisi ya ugaidi katika viwango vya kimataifa.

Bado swali langu halijajibiwa! Magaidi wanaoshambulia maeneo mahususi ya kijeshi, ambayo bila shaka yana udhibiti ama ulinzi mkubwa zaidi dhidi ya mashambulizi ya kijeshi, tofauti na maeneo mengi sana ya kiraia katika nchi, ni magaidi wa aina gani?
 
Arqaida ilipo ishambulia Pentagon hilo shambulizi liliitwaje?
Kwani ni Pentagon pekee ndiyo iliyolengwa?

Hoja yako ina mapungufu kwa sababu haina taarifa zilizokamilika.

Mashambulizi yaliyofanyika ni mengi. Yote kwa pamoja yanafahamika kama "Mashambulizi ya Septemba 11". Mashambulizi hayo yalilenga raia wa Marekani kwa ujumla. Hayakuwa mahususi dhidi ya jeshi la Marekani.
 
Massad + CIA hawajaanza leo kushambulia IRAN na kuua wanasayansi wake...
Lakini ndo kwanza IAAE wamesema Kuwa Iran anakaribia kabisa kutengeneza nukes...
Unadhani IRAN wao wajui wakae kiboya bila kujua Risk za kushambuliwa vituo vyao...

Huyu muajemi yuko very strategic ...atafikia tu malengo yake...
 
Yaani kwa masharikibya kati nchi amabayo ni threat kwa marekani na washirika wake ni iran that is why shirika la kijasusi la Israel linawaangamiza wana syansi wakubwa wa nyuklia wa iran ili kuwapunguza nguvu na wakifanikiwa tuu kwa iran watakua wmeshaweza mashariki ya kati ....... bg the way pia wana Israel wataruhusiwa kutembea na silaha ili kujilinda thats why ipo hivooo
 
Sio lazima kwa raia tu, hata kushambulia maeneo ya kijeshi wakati hampo vitani ni Ugaidi pia.
Okay!

Tukumbuke kuwa, bado kuna issue ya kusudi (intent) na mwenye kusudi, ambapo katika case hii, mwenye kusudi bado hajajitokeza hadharani na wala aliyeshambuliwa hajatoka rasmi na kumthibitisha mwenye kusudi. Suala ambalo linakosa vigezo kamili vya kutambulika kama ugaidi kwa viwango vya kimataifa vinavyokubalika na jumuiya ya kimataifa.
 
WSJ inasema Israel ndo kafanya shambulizi

️#BREAKING Israel carried out a clandestine drone strike targeting a defence compound in the Iranian city of Isfahan, according to U.S. officials and people familiar with the operation — WSJ
 
Back
Top Bottom