Endelea kuvaa kijora, Iran wenyewe kabisa wamesema kwamba kuna drone zimelipua maeneo yao! Wewe Muiran wa Nyarugusu huko Buseresere unabishaItakuwa irani ya chama Siyo Iran![]()
Itajibu kwa nani? Kwani mhusika anajulikana?Lazima ajibu, halali na deni
Mashambulizi ya kigaidi kwenye military targets? Inawezekana kuitwa hivyo?Haya ni mashambulizi ya kigaidi.
Acha utoto dogo. Nyarugusu (Nyumbani kwetu) imeingiaje hapa? Kwa taarifa yako Nyarugusu ipo mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu wakati Buseresere ipo Wilaya ya Chato mkoa wa Geita. Kwahiyo acha kuropoka havina Uhusiano.Endelea kuvaa kijora, Iran wenyewe kabisa wamesema kwamba kuna drone zimelipua maeneo yao! Wewe Muiran wa Nyarugusu huko Buseresere unabisha
Nyarugusu ziko nyingi!!Acha utoto dogo. Nyarugusu (Nyumbani kwetu) imeingiaje hapa? Kwa taarifa yako Nyarugusu ipo mkoa wa Kigoma Wilaya ya Kasulu wakati Buseresere ipo Wilaya ya Chato mkoa wa Geita. Kwahiyo acha kuropoka havina Uhusiano.
Wizara yao ya ulinzi imetuambia kuwa "shambulizi limezuiwa, hakuna madhara kwa watu".
Mashoga zangu wa wapi?!Mashoga zenu wamepigwa hadi tetemeko limetokea na kuua watu
Kabisa.....Mashambulizi ya kigaidi kwenye military targets? Inawezekana kuitwa hivyo?
Lazima itakuwa ni internal ndo maana retaliation bado haijafanyika.Kama drones zimerushwa toka ndani ya iran,, hana justification ya kukurupuka kushambulia nchi yeyote,
Halafu hii habari imejaa propaganda nyingi sana, eneo lishambuliwa na drone , wanadai ni moja tu, na shambulio halikufaulu, drone moja ilipigwa, mbili zilinasa kwenye drone net, zikalipuka bila kuleta madhara makubwa,
Tunasubiri confirmation ya picha za satelites kutoka maeneo yanayodaiwa kushambuliwa
Sio lazima uziongoze, nyingine ukiipa coordinates inajipelekaKunae drone ndogo, unaweka katika bag la mgongoni, zinakua na low explosive payload,
So mtu atasogea hadi mita chache kutoka kwenye targets, mfano military facilities,
Kisha anafungua bag na kurusha drone, ataiongoza hadi inahit target, kisha huyo anawasha pikipiki yake na kutokomea![]()
Azeirbaijan hawezi fanya upumbavu wa namna maana anajua kitakacho mtokea.Hamna wametandikwa na Israel. Drones zimetokea kwenye Airbase ya Israel ipo Azerbaijan.
Sasa mkuu hapo umeuliza swali gani?Magaidi wa aina gani hao wanashambulia maeneo ya kijeshi?
Jamii ya waazerbaijan ndo kubwa nchini Iran baada ya jamii ya waajemi.Sio kweli, Iran hawana undugu na wa-Azerbaijan, wakati wa-Iran ni Persians wa-Azerbaijan ni jamii ya Turkish sawa na watu wa mataifa ya Uturuki, Kazakhastan, Turkmenistan, Uzbekistan, Kirgistan na Tajikistan.