IRAN Yashambuliwa kwa Drones

IRAN Yashambuliwa kwa Drones

Nikupe mfano rahisi kenya kuna wajaluo, pia tanzania wapo,,
Hivyo hivyo Azerbaijan kuna waazer na pia iran kuna azer,, na mmoja wapo ni ayotollah ni azer,,
Kama hukujua, azerbanjain ni jamii moja na wairan tangu persian empire,,
Persian ni kabila kubwa iran
Azeri ni jamii ya Turks wakati Wairan wengi ni waajemi ambao wako mbali na Turks hata kwa lugha.
 
Ajabu hadi muda huu Iran haijajua drone zimetokea wapi, zinamilikiwa na nani
Miji 7 imelipuliwa
Waliweza ishusha moja bila kuaharibika- wakakuta inafanana kila kitu na Drone ya Israel iliodondoshwa Hivi karibuni Lebanon.
 

Attachments

  • 2C6D6FCF-1E6C-4316-B0A9-1B04197B9CEC.jpeg
    2C6D6FCF-1E6C-4316-B0A9-1B04197B9CEC.jpeg
    147.7 KB · Views: 5
Hadi sasa kakosa wa kumjibu maana imetokea within
 
Iran anajazwa ili aingie kwenye vita kamili,

Iran hawataipata Amani hapo middle East kwakuwa amechagua upande wa kushoto.
 
Hakuna mwingine bali Israel akisaidiwa na shoga zake wa magharibi. Hapo ndiyo mimi huwa nawadharau Waarabu, maana wao wanamchukia Muirani kwa sababu dhehebu lake la dini ya Kiislamu ni tofauti na Waarabu. Divide and rule inafanya kazi kweli. Ila sasa naona BRICS inakuwa tishio kwa Magharibi. BRICS ikiimarika vikwazo vyote vya madharibi vitakufa kifo cha mende.
Upo ndotoni au
 
sraeli state channel reports that a convoy of 25 Iranian trucks has just been hit in the Abu Kamal area on the border of Iraq and Syria .
Waisrael usema chochote - lakini wakumbuke kitu kimoja wasichezee Iran - hata akishirikiana na USA hawezi kufanya lolote -wataishia kwenye hujuma hujuma tu lakini sio vita kamili.
 
Waisrael usema chochote - lakini wakumbuke kitu kimoja wasichezee Iran - hata akishirikiana na USA hawezi kufanya lolote -wataishia kwenye hujuma hujuma tu lakini sio vita kamili.
Sawa mwanajeshi wa Iran
 
Mtu yeyote anayeilaani israel huishiwa kuwa laana
Wasilaaniwe hao wayahudi waliompga mwana wa mungu mpk waka mvua nguo akabaki na chupi huyo mungu aje kutulaani sisi basi huyo mungu waajabu sijapata kuona kaacha kuwalaani waliembonda mwane atulaani sisi
 
Waisrael usema chochote - lakini wakumbuke kitu kimoja wasichezee Iran - hata akishirikiana na USA hawezi kufanya lolote -wataishia kwenye hujuma hujuma tu lakini sio vita kamili.
Iran lazima atapeleka kichapo Israel, sa hivi Israel wanasubiria hicho kichapo
 
Wasilaaniwe hao wayahudi waliompga mwana wa mungu mpk waka mvua nguo akabaki na chupi huyo mungu aje kutulaani sisi basi huyo mungu waajabu sijapata kuona kaacha kuwalaani waliembonda mwane atulaani sisi
Ubongo wake umeoshwa na ukatakasika
 
Back
Top Bottom