kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,226
- 9,488
Tulia sasa uone majibuBasi waipige Azerbajian
Tulia sasa uone majibuBasi waipige Azerbajian
😂😂😂 Mazombi yanavyo itetea Israel kama wanaishi au walizaliwa huko! Iombee Tanzania maana ikikubwa na machafuko utalala njaa! Utakuwa mkimbizi! We unaiombea Israel inakuhusu nn ndugu yangu?Mtu yeyote anayeilaani israel huishiwa kuwa laana
Magaidi wa aina gani hao wanashambulia maeneo ya kijeshi?Hadi muda huu haijajulikana nani karusha drone ila yasemekana ni Magaidi ndani ya Iran.
Kama drones zimerushwa toka ndani ya iran,, hana justification ya kukurupuka kushambulia nchi yeyote,Iran haiwezi kukaa na Deni soon waliohusika watashambuliwa.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hatuogopi hata kufa😂😂😂 Mazombi yanavyo itetea Israel kama wanaishi au walizaliwa huko! Iombee Tanzania maana ikikubwa na machafuko utalala njaa! Utakuwa mkimbizi! We unaiombea Israel inakuhusu nn ndugu yangu?
Hata wewe unawatetea hao maboyaHatuogopi hata kufa
Kunae drone ndogo, unaweka katika bag la mgongoni, zinakua na low explosive payload,Magaidi wa aina gani hao wanashambulia maeneo ya kijeshi?
Wapo chini kuliko usaIran anaguswa mpaka kwenye nguo za ndani bila kujijua? Hawa jamaa bado wapo chini Sana kwenye ujasusi
Kama itabainika zimetokea azerbainjain, watashambuliwa na iran,, japo wa azer ni ndugu wa iran,, hata ayotollah ni mu azerHamna wametandikwa na Israel. Drones zimetokea kwenye Airbase ya Israel ipo Azerbaijan.
Kwani MAGAIDI wanasehem maalum ya kushambulia !!?Magaidi wa aina gani hao wanashambulia maeneo ya kijeshi?
Kwahiyo, huyo mtu ni gaidi wa aina gani?Kunae drone ndogo, unaweka katika bag la mgongoni, zinakua na low explosive payload,
So mtu atasogea hadi mita chache kutoka kwenye targets, mfano military facilities,
Kisha anafungua bag na kurusha drone, ataiongoza hadi inahit target, kisha huyo anawasha pikipiki yake na kutokomea🤗
Sio kweli, Iran hawana undugu na wa-Azerbaijan, wakati wa-Iran ni Persians wa-Azerbaijan ni jamii ya Turkish sawa na watu wa mataifa ya Uturuki, Kazakhastan, Turkmenistan, Uzbekistan, Kirgistan na Tajikistan.Kama itabainika zimetokea azerbainjain, watashambuliwa na iran,, japo wa azer ni ndugu wa iran,, hata ayotollah ni mu azer
Azerbaijan ni ndugu kabisa na Iran hata ayatollah ni muazabainjanj pureSio kweli, Iran hawana undugu na wa-Azerbaijan, wakati wa-Iran ni Persians wa-Azerbaijan ni jamii ya Turkish sawa na watu wa mataifa ya Uturuki, Kazakhastan, Turkmenistan, Uzbekistan, Kirgistan na Tajikistan.
Ndio!
Nikupe mfano rahisi kenya kuna wajaluo, pia tanzania wapo,,Sio kweli, Iran hawana undugu na wa-Azerbaijan, wakati wa-Iran ni Persians wa-Azerbaijan ni jamii ya Turkish sawa na watu wa mataifa ya Uturuki, Kazakhastan, Turkmenistan, Uzbekistan, Kirgistan na Tajikistan.