Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,747
- 9,012
Wanayo mfumo wa kudungua hayo makombora , usidhan n wepes mkuu, kuna shughul pevu hapoKwani Iraq wakati wa Saddam ilipigwa vipi? Vita ya sasa ni anga na makombola ya masafa ya mbali infantry inakuwa mwisho mwisho labda kama unaongelea vita ya mwaka 47!!
Sent using Jamii Forums mobile app


