Iran vs. US military capabilities

Iran vs. US military capabilities

Iran vs. US military capabilities:

Budget
Iran: $6 billion
US: $716 billion

Troops
Iran: 523,000
US: 1.3 million

Aircraft
Iran: 509
US: 13,398

Navy vessels
Iran: 398
US: 415

Nukes
Iran: not known
US: 6,185

Missile range
Iran: 3,000 km
US: Any place on Earth

View attachment 1313146
Umemsahau US ni member wa NATO
 
Hakuna lolote ndo maana USA Trump anaropoka ropoka tu,Iran wanamsoma tu.Ila tuombe amani.Fikiria raia wa Iraq ,Afghastan wanavyoishi.Kila binadamu anadeserve maisha katika sehemu yenye amani.
Iran alikuwa na nafasi nzuri sana kumpiga MMarekani sababu wameuwa mtu mhimu sana kwao, tatizo linakuja uwezo hana pamoja na kuwa anajua sana kubwabwaja maneno mengi!!!!!!!
 
Iran alikuwa na nafasi nzuri sana kumpiga MMarekani sababu wameuwa mtu mhimu sana kwao, tatizo linakuja uwezo hana pamoja na kuwa anajua sana kubwabwaja maneno mengi!!!!!!!
Na vikwazo vyote hivyo vya uchumi.Ila Iran lazima atalipa tu tena kupitia Hezbollah au alshabaab,atawapiga marekan popote pale,tena nahisi anataka patulie tu kwanza.
 
Saudi visima vyake vya mafuta vilipigwa na Iran saudia yupo nyuma ya mmarekani kuipa kichapo Iran
Yaani kina Saudi wangekuwa na akili walitakiwa waungane na Iran,USA haitakii mema Middle east.Iran sasa najua lazima atumie akili kubwa sana.Migogoro ni ya miaka na miaka sasa,Iran sasa anamfahamu vizuri USA.Kumbuka vita vya ghuba ya uajemi hawa Iran walikuwa pro America katika kuivamia Iraq,look at now Iran wamekua adui wa USA.
Huhitaji kuwa rocket scientist kuelewa kuwa USA ni chokochoko mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ndiyo hata base ya America inakuwa Saudi Arabia.
Yani iran itakuwa vumbi hii vita itakuwa mbaya
IMG-20200105-WA0014.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu britanicca asante Kwa data hii maana wengi wetu tunashabikia Kwa mrengo wa Imani Fulani ya dini bila kujua uwezo na historia ya US hasa Kwenye mambo ya vita.
Tukumbuke kuwa hawa US hawafanyi vitu vyao Kwa kukurupuka hata siku moja ndiyo maana Kwa muda mrefu wamemfanyia Iran trade sanctions ili adhoofike kiuchumi,miezi 3 iliyopita wananchi wa Iran walikuwa wanaandamana kushinikiza raisi wao ang'atuke madarakani Kwa sbb ya Hali mbaya ya uchumi wao.

Hata Saudi Arabia nao Wana mgogoro na Irani juu ya mapigano ya nchini Yemen na wanatamani Iran ipigwe na kusambaratika Kutokana na Imani zao za kidini,ukiona mpaka huyo kamanda wa Iran anauwawa tujue kabisa kuwa nchi ilishajipanga Kwa matokeo yoyote yale
 
Kama Iran itajichanganya itapigwa mpaka itachakaa!!!!!
Nafikiri US wanaitafuta Afghanistan nyingine kwani huko Taliban wameshindikana sasa Iran itakuwa ni shida ingawa itabomolewa vibaya miundo mbinu lakini Marekani hatshinda vita kama Syria ambako wameamua kuondoka kimya kimya.
Anachofanya Mmarekani ni kuvuruga tu stability ya Waarabu ili waendelee kuwa ATM yake.
 
Mkuu britanicca asante Kwa data hii maana wengi wetu tunashabikia Kwa mrengo wa Imani Fulani ya dini bila kujua uwezo na historia ya US hasa Kwenye mambo ya vita.
Tukumbuke kuwa hawa US hawafanyi vitu vyao Kwa kukurupuka hata siku moja ndiyo maana Kwa muda mrefu wamemfanyia Iran trade sanctions ili adhoofike kiuchumi,miezi 3 iliyopita wananchi wa Iran walikuwa wanaandamana kushinikiza raisi wao ang'atuke madarakani Kwa sbb ya Hali mbaya ya uchumi wao.

Hata Saudi Arabia nao Wana mgogoro na Irani juu ya mapigano ya nchini Yemen na wanatamani Iran ipigwe na kusambaratika Kutokana na Imani zao za kidini,ukiona mpaka huyo kamanda wa Iran anauwawa tujue kabisa kuwa nchi ilishajipanga Kwa matokeo yoyote yale
Umenena
 
Nafikiri US wanaitafuta Afghanistan nyingine kwani huko Taliban wameshindikana sasa Iran itakuwa ni shida ingawa itabomolewa vibaya miundo mbinu lakini Marekani hatshinda vita kama Syria ambako wameamua kuondoka kimya kimya.
Anachofanya Mmarekani ni kuvuruga tu stability ya Waarabu ili waendelee kuwa ATM yake.
Irani kacholozwa aache kubwabwaja alipize kisasi sisi tujue nani yuko ngangari!!!
 
Back
Top Bottom