maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,811
- 2,359
hapo sasa kazi imeanza live na mwarabu usimtishie kufa hilo haliogopiKishamaliza,kwanza Marekani wameambiwa waondoe wanajeshi wao kutoka Iraq,then Kiranja wa Hezbollah kasema USA amekuwa chanzo cha chaos hapo middle east,na kifo cha Kassim Suleiman hakitapita bure.