Iran vs. US military capabilities

Iran vs. US military capabilities

Kishamaliza,kwanza Marekani wameambiwa waondoe wanajeshi wao kutoka Iraq,then Kiranja wa Hezbollah kasema USA amekuwa chanzo cha chaos hapo middle east,na kifo cha Kassim Suleiman hakitapita bure.
hapo sasa kazi imeanza live na mwarabu usimtishie kufa hilo haliogopi
 
Huyo Suleimani kaua sana wamarekani na kashiriki kuwafanyizia huko middle east.

Wamarekani watakuwa wamemfuatilia kwa miaka mingi mpaka kuamua kumtungua kwa drones.
 
Na vikwazo vyote hivyo vya uchumi.Ila Iran lazima atalipa tu tena kupitia Hezbollah au alshabaab,atawapiga marekan popote pale,tena nahisi anataka patulie tu kwanza.
Ndiyo kuufyata huko!!!
 
Hii ni kweli
Vita katika eneo la Mashariki ya Kati si ya kuiombea ama kuishabikia kwa vyovyote vile. Kwa sababu ina athari kubwa sana za kiuchumi, hasa kupitia ongezeko la bei ya mafuta duniani. Ukigusia USA na washirika wake ama Iran na washirika wake wakubwa ikiwemo Russia, fukuto lolote lile lenye kuendana na ulipaji wa visasi wenye kulenga kushambulia vitega uchumi utaligusa kabisa soko la mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalieni Aljazeera muone waziri mkuu wa Iraq anaongea,kiongozi wa Hezbollah kishaongea.USA sasa inabidi wajitafakari.
Kuongea ni kitu kingine na mapigano ni kitu kingine! Chemical Ally na yule msemaji wa serikali ya Iraq wakati wa vita walikuwa wanaweza sana propaganda ya vita lakini walikuja kukamatwa kama kuku wa kizungu!
 
Iran vs. US military capabilities:

Budget
Iran: $6 billion
US: $716 billion

Troops
Iran: 523,000
US: 1.3 million

Aircraft
Iran: 509
US: 13,398

Navy vessels
Iran: 398
US: 415

Nukes
Iran: not known
US: 6,185

Missile range
Iran: 3,000 km
US: Any place on Earth

View attachment 1313146
Ila tambua kuwa Iran ana ushirika wa karibu na China na Russia kwa kuwa wao ndo wateja wakubwa wa mafuta nchini Iran.
Wana mikataba ya nuda mrefu wa mabilioni ya dollar katika biashara ya mafuta baina yaho.. hivo kuna uwezekano mkubwa wa kumsaidia Iran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Syria wamejivuruga wenyewe, na Afghanistan vita ilishaisha tangu auawe Osama. USA is the mother land.
Nafikiri US wanaitafuta Afghanistan nyingine kwani huko Taliban wameshindikana sasa Iran itakuwa ni shida ingawa itabomolewa vibaya miundo mbinu lakini Marekani hatshinda vita kama Syria ambako wameamua kuondoka kimya kimya.
Anachofanya Mmarekani ni kuvuruga tu stability ya Waarabu ili waendelee kuwa ATM yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbuka wataokufa ni wananchi wasio na hatia,mimi kusema ukweli naomba amani itawale.
Hahaha sasa ulidhani vita ni sherehe?! Wanapigana watu, hivyo watu kufa ni inevitable.
Wacha wafer, binadamu kuzaliwa na mwisho hufa, na sijui kama Iran wanafahamu kwamba raia wake watakufa.
Acha ajimwambafy wamtandike, apunguze kelele.
Saadam Hussein tuliisha msahau,huyo Ayatollah naona anatakakuwa mchungaji sasa, au naye tumsahau kabisaa.
 
Iran vs. US military capabilities:

Budget
Iran: $6 billion
US: $716 billion

Troops
Iran: 523,000
US: 1.3 million

Aircraft
Iran: 509
US: 13,398

Navy vessels
Iran: 398
US: 415

Nukes
Iran: not known
US: 6,185

Missile range
Iran: 3,000 km
US: Any place on Earth

View attachment 1313146
Mkuu vp mbona perisia wanachelewa kukiwasha huko
 
Back
Top Bottom