Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Iran wanaelewa njama ni kuharibu uchumi wao na kuwadhoofisha. Na wao wanaharibu uchumi wa puppets na mabwana zao.
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Kambi za jeshi zina ulinzi. Isitoshe Marekani inayotumia hizo nchi jirani kushambulia haipigi kambi za jeshi za Iran tu. Inaua hata wapinzani wasiokubaliana na mlengo wa Marekani, targets kibao zisizo za kijeshi zimepigwa. Kwahiyo tusiwafundishe kazi wacha waonyeshane makali sisi tuwe watazamaji.
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Sio kambi za jeshi tu apige kule marekani
 
Nasikia Netanyahu wamemla kichwa office yake imepigwa hi habari ni 💯 lakini Israel wanaficha sa sijui ni kweli au uwongo kuhusu Netanyahu alikuwepo time ile au hakuwepo.

Office yake imepigwa hi hapa habari

View: https://youtu.be/L-5kr7fJy-0?si=PUka4IYm0ebgAPm_

Atakuwa chini ya handaki huyo. Hata kama ofisi imelengwa sidhani kama alikuwepo.

Viongozi wa Iran ndio wana roho ngumu, wanajiachia na ni kama hawajali sana kuhusu uhai wao.

Kama hamas iliweza kuficha mateka 200 mahala na hawakupatikana, Gaza ikapigwa yote na mateka walikuwepo, wakatoka wazima wa afya, inaonyesha wazi hata viongozi wa Iran wangeweza kujificha mahala, lakini ni kama hawakujali.
 
Atakuwa chini ya handaki huyo. Hata kama ofisi imelengwa sidhani kama alikuwepo.

Viongozi wa Iran ndio wana roho ngumu, wanajiachia na ni kama hawajali sana kuhusu uhai wao.

Kama hamas iliweza kuficha mateka 200 mahala na hawakupatikana, Gaza ikapigwa yote na mateka walikuwepo, wakatoka wazima wa afya, inaonyesha wazi hata viongozi wa Iran wangeweza kujificha mahala, lakini ni kama hawakujali.
Al mayadeen tv wanasema kutokana na vyombo vya habari vya Israel Netanyahu hajulikani yuko hai au kafaa
 
Iran has launched an aerial strike involving drones and missiles that hit Saudi Arabia’s major Saudi Aramco oil refinery and export hub at Ras Tanura on the Gulf coast, forcing the facility to temporarily shut down operations as a precautionary measure.

Predictions zangu za Sunni vs Shia very soon kila mtu atajionea, uchumi wa Gulf countries anaenda kuteketea into ashes.
 
Predictions zangu za Sunni vs Shia very soon kila mtu atajionea, uchumi wa Gulf countries anaenda kuteketea into ashes.
U-sunni na Ushia umefanya mataifa ya middle east hasa yenye waislam wengi kuwa na mgawanyiko wa kijinga na hapo ndipo west wamechukua fursa kwamba hawa wamegawanyika kiitikadi hivyo umoja ni zero
 
Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.

Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Hii plan hauwezi kuelewa, yaani hao wanaenda kumalizana wenyewe kwa wenyewe. Wazungu kazi yao itakuwa ni kuuza silaha both sides to prolong the war kama walivyofanya Iraq vs Iran back in the day. Yaani hapo Msaudia akijibu tu ngoma inogile.
 
U-sunni na Ushia umefanya mataifa ya middle east hasa yenye waislam wengi kuwa na mgawanyiko wa kijinga na hapo ndipo west wamechukua fursa kwamba hawa wamegawanyika kiitikadi hivyo umoja ni zero
Huwezi kusikia huko kwa Wazungu eti vita vya let's say Catholics vs Lutherans au Anglicans vs Protestants.
Mitafaruku na vita vya kidini Wazungu walivifanya centuries ago wakati bado wako kwenye uzoba wa dini.
 
Back
Top Bottom