Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Iran strikes Saudi Arabia’s major oil refinery

Hizo Missiles alizo tumia Iran hata kwenye Shelter ndio linakuwa kaburi lako kabisa huyo sidhani kama yuko hai
Niomeona hizo missiles, zinachimba bonge la shimo, Jerusalem na Tel Aviv, shelter zimepigwa zimesambaa, ni hatari mzee.

Jana walikuwa wanapigwa na bomu hilo ni cluster sub-munitions, linapiga target 80, kuna media Israel ikawa inalia Iran inavunja makubaliano ya Geneva convention...
 
Acha wanyoroshane

Tumieni basi akili? Wanyoroshane wakati tutakao umia ni sisi?
Bei ya petrol ikipanda kila kitu kitapanda huku mshahara wako ukipungua dhamani
Kama ulikuwa unalipwa shs 500,000; Petrol ikipanda bei, dhamani ya mshahara wako yaweza kuwa shs 380,000.
Utakuwa unaipwa laki tano ila utafanya manunuzi uliyokuwa unayanunua kwa 380,000 tu...zingine zote zinaliwa na petrol
 
Tumieni basi akili? Wanyoroshane wakati tutakao umia ni sisi?
Bei ya petrol ikipanda kila kitu kitapanda huku mshahara wako ukipungua dhamani
Kama ulikuwa unalipwa shs 500,000; Petrol ikipanda bei, dhamani ya mshahara wako yaweza kuwa shs 380,000.
Utakuwa unaipwa laki tano ila utafanya manunuzi uliyokuwa unayanunua kwa 380,000 tu...zingine zote zinaliwa na petrol
Poa tu alimradi wao wanaendelea kuuana huko.
 
Hii plan hauwezi kukuelewa, yaani hao wanaenda kumalizana wenyewe kwa wenyewe. Wazungu kazi yao itakuwa ni kuuza silaha both sides to prolong the war kama walivyofanya Iraq vs Iran back in the day. Yaani hapo Msaudia akijibu tu ngoma inogile.
Wapigane tu na wanawake wabebeshwe silaha wakae front line, najua ushanielewa namaanisha nini
 
Hizo ni channel za habari we kwa kuwa hujui Qur'an huwezi kuelewa wanasema nini
Mwanangu kiarabu ni lugha km Kingereza na Kiswahili au Kifaransa haina issue yoyote na Quran maana zipo Quran za Kiswahili za Kingereza nk wapo waarabu ni Wakristu ingawa kwa uchache ila wanatumia Biblia ya Kiarabu imeandikwa Kiarabu tupu ila ni Biblia sio Quran
 
Mwanangu kiarabu ni lugha km Kingereza na Kiswahili au Kifaransa haina issue yoyote na Quran maana zipo Quran za Kiswahili za Kingereza nk wapo waarabu ni Wakristu ingawa kwa uchache ila wanatumia Biblia ya Kiarabu imeandikwa Kiarabu tupu ila ni Biblia sio Quran
Tena Biblia na waarabu Wakristo wanamuita Yesu Yasu siyo li Issa la mudi.
 
Nasikia Netanyahu wamemla kichwa office yake imepigwa hi habari ni 💯 lakini Israel wanaficha sa sijui ni kweli au uwongo kuhusu Netanyahu alikuwepo time ile au hakuwepo.

Office yake imepigwa hi hapa habari

View: https://youtu.be/L-5kr7fJy-0?si=PUka4IYm0ebgAPm_

Ww thubutu huyo mzee ana machale alafu ni uoga balaa kwa hali ilivyo ofisini kwake huwezi kumpeleka hata kwa dawa.
Nakumbuka vita kati ya Israel na hamas ilipo anza aliihama nyumba yake na kwenda kuishi kwa rafiki yake mwenye nyumba yenye handaki lenye uwezo wa kuhimili nyuklia.
 
Husitegemee taifa lolote middle east likapigana na Iran, sababu ujasiri huo hawana hizo nchi zote zinalindwa na US na US anafanya hivyo sababu ya mafuta na maslahi yake. Iran anapiga hizo nchi sababj anajua US anamaslahi yake.
Je saudia ina ugomvi na iran? Kulenga maeneo ya kimkakati ya marekani ndani ya nchi nyingine ni uchokozi na inatakiwa yajibiwe haraka na kwa nguvu zote. Naona iran inaenda kusambaratika.
 
Imam hussain anawashushia kibano ma sunni bila huruma. Ma sunni yanaomba poo.

Screenshot_20260302_140157_Chrome.jpg


adriz Adiosamigo Jagina
 
Mwenye "location" ya pale magogoni au chamwino awape wa Iran kuna base ya US pale, wapashughulikie.
Mnajitoaga akili, mnasahau meli za magendo za Iran zinapitisha mizigo Tanzania kwa bendera ya Tanzania.
 
Back
Top Bottom