naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 1,978
- 4,556
Mkuu hauna no ya mrusha makombora iran tumshauri astue moja kizimkazi 😂😂😂😂Mmeanza kuishauri Iran sasa
Mkuu hauna no ya mrusha makombora iran tumshauri astue moja kizimkazi 😂😂😂😂Mmeanza kuishauri Iran sasa
Hizo ndege zinatumia nini kama sio Mafuta?Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Kwani lazima kusafiri?huna akili wewe
Unafikiri bei ya petrol ikipanda Nauli ya Dar mwanza ikafika shs laki tatu kwa basi ni sawa?
Itapigwa uchakae🤣🤣🤣Mkuu hauna no ya mrusha makombora iran tumshauri astue moja kizimkazi 😂😂😂😂
Kwaiyo wajaze ya kutosha.,, Muhimu zaid zaid kikinuka zaid tutumie mwendo kasi. Tuache kujikweza.Mkeka wa EWURA keshokutwa hakikisha chombo iko full tank leo/kesho!!😁
Sio lazma kusafiri, ila kusafiri ni muhimu.Kwani lazima kusafiri?
Ujinga Tena !? Wewe kaa Kwa kutulia Ina maana wewe unawajua maadui wa Iran kuliko Iran wenyewe!?Huu sasa ni ujinga.
Kwanini usipige kambi za jeshi na vitu vya kivita.
Sasa oil hiyo itaaffect Dunia nzima.
Au Iran anataka afe na kila mtu, kwamba tugawane tu mbao mtumbwi uzame sizami peke yangu
Imagine 😄Mmeanza kuishauri Iran sasa
Daahh 😄😄Safi sana haya mafuta ndio yanawapa kiburi Cha kuchinja ngamia 6 watu watatu na pilau.piga mbwa hao vibaraka wa marekani
😄😄Safi sana, hawa vibaraka wanageuka jirani zao kisa wazungu!!
Ukikaribisha adui na ukaishi nae kwako usinipangie namna ya kushughulika nae. Maana ninyi nyote ni wanafiki na ni maadui mipango yote ya kunidhuru mnaipanga kwa pamoja!
Utashughulikiwa tu
Bidhaa za lazima tunazalisha wenyewe,Iran piga hao upinde.Sio lazma kusafiri, ila kusafiri ni muhimu.
Sabb movement ya bidhaa kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa kiasi kikubwa inategemea usafiri.
Na usafiri kwa asilimia kubwa hapa tunaongelea mafuta (petrol, diesel, mafuta ya ndege, n.k.)
So, nadhani umeelewa now kwamba kwa nini mafuta yakipanda basi karibu kila kitu kitapanda bei pia.
Hata electronic devices (simu, pc, etc) unayotumia hapo kuvinjari JF, nayo ilisafirishwa kwa msaada wa mafuta.
Gharama za usafirishaji zikipanda, bidhaa na huduma nazo pia zinapanda bei.
Bei itapanda kote kuanzia kwenye vyakula (mchele, mahindi, ngano, njegere, nyama, samaki, n.k), TV, simu, pc, sea za magari, magari, Nguo, Pikipiki, spea na mitambo ya viwandani, vifaa vya ujenzi (cement, nondo, mbao, tiles, mchanga, n.k), magodoro, AC/feni,..
Aiseeee and the list goes on.
So, transportation/logistics ni msingi muhimu wa uchumi, cost za transport zikipanda tu, tegemea cost za karibu kila kitu kupanda.
🤣🤣wa Us wa kubanikaImagine 😄
😄😄😄 Geneva ya nyokoNiomeona hizo missiles, zinachimba bonge la shimo, Jerusalem na Tel Aviv, shelter zimepigwa zimesambaa, ni hatari mzee.
Jana walikuwa wanapigwa na bomu hilo ni cluster sub-munitions, linapiga target 80, kuna media Israel ikawa inalia Iran inavunja makubaliano ya Geneva convention...
Wao walitumwa wamchokoze !?Tumieni basi akili? Wanyoroshane wakati tutakao umia ni sisi?
Bei ya petrol ikipanda kila kitu kitapanda huku mshahara wako ukipungua dhamani
Kama ulikuwa unalipwa shs 500,000; Petrol ikipanda bei, dhamani ya mshahara wako yaweza kuwa shs 380,000.
Utakuwa unaipwa laki tano ila utafanya manunuzi uliyokuwa unayanunua kwa 380,000 tu...zingine zote zinaliwa na petrol
😄😄😄Kmmk nimechekaMwenye "location" ya pale magogoni au chamwino awape wa Iran kuna base ya US pale, wapashughulikie.