Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,700
- 1,857
Inasikitisha kuona kwamba mbinu za 'watawala dunia' siku zote hufanikiwa. Kwa kweli Iran itakaposalimu amri kutakuwa hakuna tena hope ya kuweza kupambana na mfumo wa dunia 'world order' ulioko hivi sasa, kwani ni Iran pekee iliyokuwa 'haiogopi' kuupa shinikizo mfumo huo, kwa maneno na vitendo.
Wakati vuta -nikuvute baina ya Iran na mataifa ya magharibi na vibaraka wao (Waarabu) inaendelea, siku zote nilifikiria kuwa safari hii dola linalopingana na hawa litashinda. Lakini matukio yanayoendelea hivi sasa Iran, yaliyosababishwa na vikwazo ambavyo havijawahi kuwekewa taifa lolote duniani, hata former Soviet Union, yananifanya nikate tamaa. Labda tuangalie kitu gani kimepelekea kwenye hali hii ambayo sioni kuwa Iran itaibuka mshindi.
Binafsi naona kosa kubwa limesababishwa na mgando 'rigidity' ya uongozi wa Iran baada ya kuja Ahmedinedjad. Pamoja na mambo mengi mazuri aliyoyafanya, Ahmedinedjad amekuwa 'dogmatic' sana badala ya kuwa 'practical' kama rais aliyetangulia. Suala la nguvu za nuklia, ambalo kwa kweli naamini Iran haina haja hivi sasa ya kutengeneza silaha, lilipaswa kuendeshwa kwa ujanja mkubwa na mitego ya kisiasa, badala ya kuvumburuka na kuweweseka kila siku, mara kwa kukanusha Holocaust mara nyingine kwa kuitishia Israel. Ukweli ni kuwa nchi za Magharibi na hasa Marekani ni makoloni ya Israel na hayana hiari isipokuwa kufanya kile Israel inachotaka. Mtu anayetaka kujua undani kwa nini Israel ina nguvu hizi na asome historia ya mapinduzi ya Bolshevik. Kuna video nyingi kwenye utube pia zinazoelezea vizuri.
Yaelekea Ahmedinedjad na Khamenai hawajui vizuri jinsi gani mtandao wa wanaojiita Wayahudi ni mkubwa kiasi gani na ulioanza zaidi ya miaka 150 iliyopita kusuka mambo tunayoyaona hii leo. Ili kuushinda ilibidi waufahamu vizuri na kwenda nao kijanja. Mapambano dhidi ya mtandao huo, Uzayuni, yatachukua kwa uchache miaka 50 (Uzayuni ni mkuba kuliko Israel. Israel ni sehemu tu ya mpango mzima wa Uzayuni).
Si rahisi kuwalaumu viongozi wa Iran pekee, kwani mambo haya ni 'too complicated' kiasi kwamba wengi hapa hamtafahamu ninazungumzia nini! Mapambano ya kujinasua kutoka utawala wa dunia wa hawa jamaa ni makubwa mno na yanahitajia nchi nyingi zishirikiane. Nchi moja pekee haiwezi.
Ila kitu cha kulaumu ni kuwa Ahmedinedjad na Khamenai wanaona mapambano haya yatakwisha katika miaka michache tu na katika kipindi cha utawala wao! Hilo ndio kosa kuu walilofanya.
Haya niyaandikayo hayana uhusiano wowote na dini. Kama utadhani hivyo basi yaelekea hufahamu nazungumzia nini. Mfumo wa sasa wa dunia kwa kweli unaongozwa na watu wanaopinga dini-dini yeyote- infact, wengi huwaita 'Satanists' kwamba wanaabudu mashetani. Isipokuwa mara kwa mara wanatumia dini kuu:Uislamu,Ukristo,Uyahudi, Hindu nk kuendeleza mipango yao.
Wakati vuta -nikuvute baina ya Iran na mataifa ya magharibi na vibaraka wao (Waarabu) inaendelea, siku zote nilifikiria kuwa safari hii dola linalopingana na hawa litashinda. Lakini matukio yanayoendelea hivi sasa Iran, yaliyosababishwa na vikwazo ambavyo havijawahi kuwekewa taifa lolote duniani, hata former Soviet Union, yananifanya nikate tamaa. Labda tuangalie kitu gani kimepelekea kwenye hali hii ambayo sioni kuwa Iran itaibuka mshindi.
Binafsi naona kosa kubwa limesababishwa na mgando 'rigidity' ya uongozi wa Iran baada ya kuja Ahmedinedjad. Pamoja na mambo mengi mazuri aliyoyafanya, Ahmedinedjad amekuwa 'dogmatic' sana badala ya kuwa 'practical' kama rais aliyetangulia. Suala la nguvu za nuklia, ambalo kwa kweli naamini Iran haina haja hivi sasa ya kutengeneza silaha, lilipaswa kuendeshwa kwa ujanja mkubwa na mitego ya kisiasa, badala ya kuvumburuka na kuweweseka kila siku, mara kwa kukanusha Holocaust mara nyingine kwa kuitishia Israel. Ukweli ni kuwa nchi za Magharibi na hasa Marekani ni makoloni ya Israel na hayana hiari isipokuwa kufanya kile Israel inachotaka. Mtu anayetaka kujua undani kwa nini Israel ina nguvu hizi na asome historia ya mapinduzi ya Bolshevik. Kuna video nyingi kwenye utube pia zinazoelezea vizuri.
Yaelekea Ahmedinedjad na Khamenai hawajui vizuri jinsi gani mtandao wa wanaojiita Wayahudi ni mkubwa kiasi gani na ulioanza zaidi ya miaka 150 iliyopita kusuka mambo tunayoyaona hii leo. Ili kuushinda ilibidi waufahamu vizuri na kwenda nao kijanja. Mapambano dhidi ya mtandao huo, Uzayuni, yatachukua kwa uchache miaka 50 (Uzayuni ni mkuba kuliko Israel. Israel ni sehemu tu ya mpango mzima wa Uzayuni).
Si rahisi kuwalaumu viongozi wa Iran pekee, kwani mambo haya ni 'too complicated' kiasi kwamba wengi hapa hamtafahamu ninazungumzia nini! Mapambano ya kujinasua kutoka utawala wa dunia wa hawa jamaa ni makubwa mno na yanahitajia nchi nyingi zishirikiane. Nchi moja pekee haiwezi.
Ila kitu cha kulaumu ni kuwa Ahmedinedjad na Khamenai wanaona mapambano haya yatakwisha katika miaka michache tu na katika kipindi cha utawala wao! Hilo ndio kosa kuu walilofanya.
Haya niyaandikayo hayana uhusiano wowote na dini. Kama utadhani hivyo basi yaelekea hufahamu nazungumzia nini. Mfumo wa sasa wa dunia kwa kweli unaongozwa na watu wanaopinga dini-dini yeyote- infact, wengi huwaita 'Satanists' kwamba wanaabudu mashetani. Isipokuwa mara kwa mara wanatumia dini kuu:Uislamu,Ukristo,Uyahudi, Hindu nk kuendeleza mipango yao.