Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Umeongea utadhani Ndo mara ya kwanza Israel kugawa dozi hapo makobazin
Wee si ulikua unaimba twaarab kama Isha Mashauzi😂😂😂?
Nimetuma picha ona vigorofa nyevu vinavyopapaswa mpapaso sumu.
Mlisema oooh Iran imeharibiwa Kila kitu.
Kidume usiku huu huu kaenda machimboni kachomoa Air defense system mpya kazileta juu.
Lamamayeee jichokonoeni tena muoneeni mtavyokunwaa mkuno sumu😂😂😂😂.
 
Mtambo gani unashusha hypersonic?hizo ballistic tuu ni shughuli kuzishusha
BREAKING:

The U.S. starts moving its naval assets to the Middle East.

The USS Thomas Hudner and another destroyer have been sent toward the region.

They are expected to shoot down any Iranian ballistic missiles fired toward Israel or U.S. forces in the region.
 
Wee si ulikua unaimba twaarab kama Isha Mashauzi😂😂😂?
Nimetuma picha ona vigorofa nyevu vinavyopapaswa mpapaso sumu.
Mlisema oooh Iran imeharibiwa Kila kitu.
Kidume usiku huu huu kaenda machimboni kachomoa Air defense system mpya kazileta juu.
Lamamayeee jichokonoeni tena muoneeni mtavyokunwaa mkuno sumu😂😂😂😂.
Ndugu yangu makobazi, leta video ghorofa likianguka na sio vipande vipande mana hata Gaza huko video zipo za kutosha.

Nipe video ya hapo Tel Aviv ghorofa likianguka, tena ghorofa pale n vioo kwahy kuwa makini kwenye kutafutatafuta video zako huko 😂
 
Acha tu, mimi hata nikiona humu ndani, wanafanya mzaha kwa vita vya Gaza si sawa. Congo nayo mateso yasiyoisha, Sudan, Somalia hawa wameshindikana Ukraine na Russia aah!!!. Dunia si sehemu salama tena kwa kuishi. Wanaokufa bila hatia ni wengi sana. Tuombe mwisho mwema.
Hakika, tuombe mwisho mwema.Maisha yamekuwa meaningless
 
Ndugu yangu makobazi, leta video ghorofa likianguka na sio vipande vipande mana hata Gaza huko video zipo za kutosha.

Nipe video ya hapo Tel Aviv ghorofa likianguka, tena ghorofa pale n vioo kwahy kuwa makini kwenye kutafutatafuta video zako huko 😂
Tuliza kikata nnyaaa shemtoi wewee 😂😂😂😂😂😂.
Hizo picha nimetoa BBC correspondents ambao wako Israel sasa hivi na CBS news.
Jengo lingine limelipuliwa katikati linaungua hilo hapo chini.
Screenshot_20250613-230026.png
 
Israel ikienda kushambulia tena Iran ijiangalie maana Iran imeshafanya restoration ya Air defense system zote tena usiku huu huu lamamayee😂😂😂😂.
Wameisha angusha F35 mbili lakini Israel wanakanusha nasikia Pilot wakike wamemdaka ndio alikuwa kiongozi wa hizo fleet za F35
 
Ila naskia matom boy watamu knoma, vp ww waliokukula Hua wanarudisha feedback gn khs ww? 😎
Yaani hanithi unapata tabu kuwaelewesha watu ,wakati unatongoza watu inbox wakupakue , unafikiria nina ID moja humu ...Machoko mnajulikana angalia Dp yako kwanza.
 
Back
Top Bottom