IQ ya Marais wetu

Wewe ya kwako ngapi hata ukasema wenzako zao ndogo? Wacheni dharau na kujiona nyinyi ni wajuaji na wenye akili. Hao ni sawa na wazee wenu musisahau hilo.
Umenena kweli bitimkongwe, hatuna IQMeter hapa, hivyo hizo subjective assumptions ambazo zinafanywa zina amount kwenye kuwafanyia mizaha hawa wazee (soma Zaburi 1:1 - utaona wenye mizaha neno la MUNGU linavyosema). Nionavyo mimi mizaha ya namna hii ni reflection tosha ya low IQ pia... . Tukumbuke wakati kidole kimoja tunawanyooshea wao vinavyobako vinakuwa vinaelekea kwa mwenye mkono , nani mwenye makosa zaidi . haya ni maoni yangu, mwingine can argue against ...
 
Japo siwezi kuzitaja IQ zao kwa Tarakimu, kama ningewapanga kulingana na IQ zao, basi ningefanya kama ifuatavyo, nikianzia mwenye Iq ndogo kabisa kwenda juu:

NYERERE : IQ ndogo kabisa kuliko wote. Aliingiza nchi katika matatizo ambayo yameigharimu na yataendelea kuigharimu nchi kwa muda mrefu, kutokana na IQ yake ndogo.
MKAPA: Baaada ya MWINYI kurekebisha kwa kiasi kikubwa matatizo aliyoyaacha Nyerere, huyu bwana alikuja kuharibu kila kitu, ikiwa ni pamoja na kufanya ufisadi wa hali ya juu, yeye na baadhi ya mawaziri wake, ambao umeleta hasara kubwa sana kwa Taifa letu.Sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na kuwa na IQ ndogo, ambayo haikumwezesha kumudu madaraka ya Urais
MWINYI: Kutokana na IQ yake kubwa, aliweza kufufua uchumi na kuleta mageuzi makubwa ya kuichumi, na kuwatoa wananchi katika janga la umasikini alilotuachia Myerere. Siwezi sahahu alivyotuondolea adha ya kununa sukari kwa kaya, kilo moja mara moja kwa mwezi, tena kwa foleni, na lazima uwe na kibali toka kwa mkuu wa wilaya au wa mkoa.nafahamu wengi wenu mlikuwa wadogo sana, au hamjazaliwa.
Mifano ya mageuzi aliyoleta ipo mingi sana, na yote hayo yaliwezekana kwa sababu ya IQ kubwa.
KIKWETE.Aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya, yanaashiria kwamba IQ yake iko juu kuliko wote waliomtangulia.
Sina haja ya kutaja aliyoyafanya, kwa sababu hata huku kuwa ndani ya JF tukiwajadili maraisi wetu mawzo kwa uhuru kabisa bila kukamatwa na kuwekwa kizuizini, ni mfano tosha kwamba ameleta mageuzi makubwa ndani ya Tanzania.
Naomba kuwasilisha.
Kama Uko serious na post hii... IQ yako itakua -ve!
 
Kama Uko serious na post hii... IQ yako itakua -ve!

umejitahidi kidogo kueleza kuhusu nyerere,mkapa na mwinyi kwa kuoanisha baadhi ya masuala ya msingi lakini kwa kikwete umechemsha,kutoa mfano wa IQ ya kikwete kwa kutumia mfano jamii forum kumeonesha ni kwa kiasi gani IQ yako ilivyo na uwalakini,uhuru wa kuongea na kutoa mawazo yenye tija kwa taifa peke yake bila kuwapo kwa nguvu ya msukumo katika kuyafanyia kazi masuala ya msingi yanayopigiwa kelele na watanzania inadhihirisha uwezo mdogo alionao rais wa ccm
 
Inawezekana ana IQ kubwa sana kwa jinsi anavyojishughulisha kuiangusha CCM,ametambua bila CCM kuachia hatamu maisha bora hayatapatikana kwa watz.
 
Japo siwezi kuzitaja IQ zao kwa Tarakimu, kama ningewapanga kulingana na IQ zao, basi ningefanya kama ifuatavyo, nikianzia mwenye Iq ndogo kabisa kwenda juu:

NYERERE : IQ ndogo kabisa kuliko wote. Aliingiza nchi katika matatizo ambayo yameigharimu na yataendelea kuigharimu nchi kwa muda mrefu, kutokana na IQ yake ndogo.
MKAPA: Baaada ya MWINYI kurekebisha kwa kiasi kikubwa matatizo aliyoyaacha Nyerere, huyu bwana alikuja kuharibu kila kitu, ikiwa ni pamoja na kufanya ufisadi wa hali ya juu, yeye na baadhi ya mawaziri wake, ambao umeleta hasara kubwa sana kwa Taifa letu.Sababu ya kufanya hivyo ni kutokana na kuwa na IQ ndogo, ambayo haikumwezesha kumudu madaraka ya Urais
MWINYI: Kutokana na IQ yake kubwa, aliweza kufufua uchumi na kuleta mageuzi makubwa ya kuichumi, na kuwatoa wananchi katika janga la umasikini alilotuachia Myerere. Siwezi sahahu alivyotuondolea adha ya kununa sukari kwa kaya, kilo moja mara moja kwa mwezi, tena kwa foleni, na lazima uwe na kibali toka kwa mkuu wa wilaya au wa mkoa.nafahamu wengi wenu mlikuwa wadogo sana, au hamjazaliwa.
Mifano ya mageuzi aliyoleta ipo mingi sana, na yote hayo yaliwezekana kwa sababu ya IQ kubwa.
KIKWETE.Aliyoyafanya na anayoendelea kuyafanya, yanaashiria kwamba IQ yake iko juu kuliko wote waliomtangulia.
Sina haja ya kutaja aliyoyafanya, kwa sababu hata huku kuwa ndani ya JF tukiwajadili maraisi wetu mawzo kwa uhuru kabisa bila kukamatwa na kuwekwa kizuizini, ni mfano tosha kwamba ameleta mageuzi makubwa ndani ya Tanzania.
Naomba kuwasilisha.

Wewe utakuwa huna IQ kabisa.
 
guys come on JK give him 130/160...please mnakula mnalala mnaamani mnafikiri inatoka wapi?its because of his great job that no one knows abt it...........LMAO
 
Wote mnaojadili mada hii mnapungukiwa hekima na fikra pevu.badala ya kujadili issue critical kama uhaba wa umeme,kupanda kwa bei za vyakula,kupanda kwa nauli,gharama kubwa za umeme n.k,nyie mnajadili maisha binafsi ya mtu.nani alikwambia IQ ndio kipimo cha kiongozi bora,mzalendo na mwadilifu?
 
Back
Top Bottom