Ipyana Malecela (10 years on) - RIP

Ipyana Malecela (10 years on) - RIP

Status
Not open for further replies.
Alishagombea na kupata uongozi wa ccm vijana,lakini tukiwa kwenye maandalizi ya party ya kumpongeza tuliyoiandaa pale leaders club ambayo ilikua aje kuwa mgeni rasmi,yeye alipitia pahala kwenye shughuli za kichama asubuhi ya siku ile,sasa akarejea nyumbani akabadili magwanda yao yale ya ccm ndio aje kwenye party akiwa "ameoga",akiongozana na msafara wake yeye pamoja an katibu wake ccm vijana,walipita nyumbani kwake,akawaacha wengine chini akapanda juu kwenda kubadili nguo...hakushuka tena mpaka leo...kufuatia tukio lile kuna watu walitajwa tajwa kuhusika na kifo chake akiwemo Londa,meya wa zamani wa kinondoni na watu wengine waliosemekana kukerwa na ippy kupata nafasi hiyo huku akiwaacha watu waliokimbiza sana mwenge..na waliosotea chama kitambo

Mkuu ahsante sana kwa ufahamisho huu. Nilikuwa na kumbukumbu tu kwamba alikuwa na mchakato kumbe ulikuwa umesha na ameshinda. Mkuu enzi hizo nilikuwa busy kwenye vyama vyetu hivi vipya kwa hiyo mambo ya CCM nilikuwa nayasikia kwa mbali mbali ndio maana kumbukumbu zangu zikawa mbali kidogo!!!

Kwa hiyo huenda kulikuwa na kamchezo kachafu? Najua mzee pia alisononeka sana manake jamaa alikuwa Jembe lake!
 
....Mie namkumbuka huyu kwa jinsi alivyokuwa ananiheshimu. Siku zote alikuwa ananiita Bro tena kwa heshima ambayo ilikuwa haijifichi hata kidogo. RIP Ipyana.
BAK ni kweli kijana alijuwa heshima mbele mimi nimesoma primary na yeye na dada zake watatu. Sekondari nikakutana na kaka yake na dada yake mmoja. Alikuwa mtu wa watu!.

RIP Ippy!.
 
Kaa la Moto, uliyepiga naye kwata hapo Ruvu 83/84 siye yeye bali ni kaka mtu aliyemaliza Tambaza PCM akaibuka na Div 1 kali na akajoin UDSM!.
Ila na huyu kaka mtu naye ni RIP.
RIP Ippy!.

Duh. Ndio walipata ajali hawa au?
 
RIP Ippy, nakumbuka kwa mbalia baada ya kifo chake! mzee malecela alisema "CCM wamemuua kijana wangu, nilimwambia asigombee kabla ya kuniambia".
 
kuna mzazi ambaye afurahia kumzika mwanae?
RIP Ippy
George Smiley,
Kusema ukweli mzee wake kapitia majaribu mengi sio Ippy tuu!.

Kwanza alimzika mwanae 1st born wa kiume aliyeitwa Senyagwa!. Huyu alikuwa kichwa cha ukweli na Mungu alimuita kwa ajali!.

Pia alimpoteza binti yake mwingine akiitwa Catherine sisi tukimwita kwa kifipi Cathe!.

Ndipo akafuatia Ippy, yeye kwa kifo cha ghafla!.

Akafuatia binti yake mwingine aliyekuwa anasoma medicine pale Muhimbili. Yeye alicomit suicide!.

Akafuatia Mke wake mpendwa ambaye ndie mama wa watoto wake wenye heshima!.

Baadae alifiwa na mkwe aliyemua binti yake!.

Hivyo mnapomkumbuka Ippy, pia mkumbuke mapito huyu Mzee wetu aliyotapitia na mpaka leo bado amesimama!.

Hata hivyo Mungu bado ni mfariji wake. He is still Proud father and Husband!.
Muntu amemjalia na kumpatia mke mwema mwanamke wa shoka mama Anne!. Binti zake wake kwenye very good status, Mmoja ni mkurugenzi wa taasisi moja ya heshima sana na mwingine ni jaji wa mahakama kuu!. Na kijana wake ambaye sasa ndio tegemeo pekee la kuvaa viatu vyake na kumwachia mikoba yake ndiye huyu mwana jf mwenzetu amhaye naamini vitamfit!.

Rip wanafamilia wote wa Ippy mliotangulia mbele ya haki!.
 
Ushujaa ni relative; siyo kila shujaa awe na accomplishment kubwa sana kama vile kijeshi au za kiuchumi. Anaweza kuwa na accomplishments za kawaida tu katika jamii yake. Asingekuwa nazo huenda asingekumbukwa na wanaomfahamu.

Vile vile ningekuomba uvute kumbukumbu yako tena vizuri. Ingawa ni Kweli Baraka alishiriki katika operations nyingi za kikomandoo dhidi ya magaidi, ukweli ni kuwa hakusihiriki kwenye operation Thunderbolt kule Entebbe ingawa alishiriki katika kuplani mission ile kutokana na uzoefu wake wa kupambana na magaidi na vile vile kutokana na position yake wakati huo kama Deputy Chief of Intelligence akiwa na cheo cha Kanali.

Yoni Netanyahu ndiye aliyekuwa kamanda wa kikosi kilichokwenda Entebbe akiwa na cheo cha Luteni Kanali; lakini kiongozi mkuu wa misheni hiyo alikuwa na General Dan Shomron ambaye ndiye aliyekuwa anatoa command akiwa kwenye war room kwenye basement ya makao makuu ya IDF huko Tel Aviv. Isingewezekana Kanali Barak aongozwe na Luteni Kanali Netanyahu. Kuna vitabu kadhaa vilivyoandikwa kuhusiana na tukio hilo wakati ule kwa mfano Ninty minutes at Entebbe, Operation Thuderbolt, The Entebbe Rescue na vinginevyo; vile vile kuna documentary na movie kadhaa zilizotengezwa; vyote bado vinapatikana online.

Baada ya kifo cha Yoni, mtu aliyechukua command ile alikuwa ni Meja Moshe Betser

Mkuu yaani umenikosha sana. Napenda sana haya mambo ya kijeshi. Mtu akikosea unampa elimu bila matusi. Nimeipenda elimu yako mkuu kwa huyu jamaa. Tukienda hivi JF patakuwa mahala salama pa kuibua hoja, kuchangia na kuelimishana. Unaonekana umeisoma vizuri hii operation na unaijua vizuri. Najua Yoni alikuwa ndugu yake Netanyahu wa sasa.
 
George Smiley,
Kusema ukweli mzee wake kapitia majaribu mengi sio Ippy tuu!.

Kwanza alimzika mwanae 1st born wa kiume aliyeitwa Senyagwa!. Huyu alikuwa kichwa cha ukweli na Mungu alimuita kwa ajali!.

Pia alimpoteza binti yake mwingine akiitwa Catherine sisi tukimwita kwa kifipi Cathe!.

Ndipo akafuatia Ippy, yeye kwa kifo cha ghafla!.

Akafuatia binti yake mwingine aliyekuwa anasoma medicine pale Muhimbili. Yeye alicomit suicide!.

Akafuatia Mke wake mpendwa ambaye ndie mama wa watoto wake wenye heshima!.

Baadae alifiwa na mkwe aliyemua binti yake!.

Hivyo mnapomkumbuka Ippy, pia mkumbuke mapito huyu Mzee wetu aliyotapitia na mpaka leo bado amesimama!.

Hata hivyo Mungu bado ni mfariji wake. He is still Proud father and Husband!.
Muntu amemjalia na kumpatia mke mwema mwanamke wa shoka mama Anne!. Binti zake wake kwenye very good status, Mmoja ni mkurugenzi wa taasisi moja ya heshima sana na mwingine ni jaji wa mahakama kuu!. Na kijana wake ambaye sasa ndio tegemeo pekee la kuvaa viatu vyake na kumwachia mikoba yake ndiye huyu mwana jf mwenzetu amhaye naamini vitamfit!.

Rip wanafamilia wote wa Ippy mliotangulia mbele ya haki!.

Mkuu kweli hayo ni majaribu. Ila kama ulivyosema mungu wetu ni mwema amempa nguvu.

Penye wekundu: Ni yule wa NIMRI? Nakumbuka mwanzoni alikuwa mratibu wa mpango wa kuzuia matende. Huyu mama ana confidence sana.
 
Hata mimi nilikuwa nikimsikia tu nikiwa boarding school...Waliokuwa wakimzungumzia walikuwa wakimsifia, sometimes kwamba na yeye gari yake ilikuwa kwenye msafara wa baba yake akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais kipindi hicho kama sikosei...Kwamba sijui likuwa gari ya ngapi sijui kwenye msafara, na yeye yuko kwenye msafara huo unaofagiliwa njia na jeshi la polisi...

Tukiwa boarding kipindi hicho sikusikia hizo sifa za uongozi, ie uadilifu kwenye nafasi ya uongozi nk, hayo nadhani ni mambo ya waliokuwa wakijuwa siasa, ila nilisikia kwamba alikuwa kiongozi wa CCM vijana or something like that, na kwamba alikuwa very influential miongoni mwao kiasi cha kwamba almost all of them walikuwa marafiki zake, na issue hizo kufuatilia wengi wetu wala haikuwa big deal kwasabababu tayari kuna ile mentality ya kwamba CCM ina wenyewe...Hivyo sana sana mazungumzo ni ya sifa za status kwa wenye chama, gari wanazoendesha, maeneo wanayotembelea, maujiko yoyote yale ie kuwepo kwenye msafara rasmi wa waziri mkuu, maybe na demu wanayechukua...That was then, sijui kuhusu sasa...

Ndo bongo hiyo...

RIP neways...
 
Mkuu ahsante sana kwa ufahamisho huu. Nilikuwa na kumbukumbu tu kwamba alikuwa na mchakato kumbe ulikuwa umesha na ameshinda. Mkuu enzi hizo nilikuwa busy kwenye vyama vyetu hivi vipya kwa hiyo mambo ya CCM nilikuwa nayasikia kwa mbali mbali ndio maana kumbukumbu zangu zikawa mbali kidogo!!!

Kwa hiyo huenda kulikuwa na kamchezo kachafu? Najua mzee pia alisononeka sana manake jamaa alikuwa Jembe lake!

kweli john samwel alisikitika sana cuz alipmpenda sana ippi,kuna siku huko nyuma ippi alikua anakwenda japan nadhani kusoma o r somthing sikumbuki sawasawa but alikua anakwenda kukaa muda,yule mzee aliandaa party ya kumuaga huwezi amini alikua anabubujikwa na machozi kwa huzuni kubwa sana,na hiyo ilikua ni safari sio kifo,sasa kwa kifo kwa kweli kilimtingisha sana john samwel...na mzee mkapa aliamua kumpigia debe ippi kwenye hiyo chance ili kumpoza john samwel .
 
Inabidi mtueleze vyema wasifu wake, maana wengi wetu tulikuwa tunasikia story kama hivi tu ambazo wengi wenu bado mnazileta.
 
kweli john samwel alisikitika sana cuz alipmpenda sana ippi,kuna siku huko nyuma ippi alikua anakwenda japan nadhani kusoma o r somthing sikumbuki sawasawa but alikua anakwenda kukaa muda,yule mzee aliandaa party ya kumuaga huwezi amini alikua anabubujikwa na machozi kwa huzuni kubwa sana,na hiyo ilikua ni safari sio kifo,sasa kwa kifo kwa kweli kilimtingisha sana john samwel...na mzee mkapa aliamua kumpigia debe ippi kwenye hiyo chance ili kumpoza john samwel .

Nimekuelewa yoooote kasoro hapo kwenye wekundu!
 
....Mie namkumbuka huyu kwa jinsi alivyokuwa ananiheshimu. Siku zote alikuwa ananiita Bro tena kwa heshima ambayo ilikuwa haijifichi hata kidogo. RIP Ipyana.

Ninachoona humu ni kila mtu kuonesha kwamba alikuwa akifahamiana na huyu mtu, very typical kibongobongo yani vile kila mtu kutaka kuonesha kuwa anafahamiana na icon fulani.

Anyway naomba niulize tu, ni mchango upi au kitu gani katika taifa au katika jamii alikifanya kiasi kwamba aonekane kama ni pigo sana kwa kifo chake?

Au ni vile alikuwa mutoto ya mujini na akitoa kampani kwa washkaji zake amabo wengine mko humu?

Just being curious!
 
Pasco
Ile ajali aliyoipata Senyagwa ilisikitisha sana.....na hasa kama unakumbuka kisa chake kilivyoanzia.......RIP Senyagwa, RIP Catherine, RIP Ipyana.....
Nilisikia kwenye msiba wa ipyana kwamba mzee JSM ameshazika wanae watatu huyu ni wa nne.inasikitisha sana.may they RIP
 
Hata mimi nilikuwa nikimsikia tu nikiwa boarding school...Waliokuwa wakimzungumzia walikuwa wakimsifia, sometimes kwamba na yeye gari yake ilikuwa kwenye msafara wa baba yake akiwa waziri mkuu na makamu wa kwanza wa Rais kipindi hicho kama sikosei...Kwamba sijui likuwa gari ya ngapi sijui kwenye msafara, na yeye yuko kwenye msafara huo unaofagiliwa njia na jeshi la polisi...

Tukiwa boarding kipindi hicho sikusikia hizo sifa za uongozi, ie uadilifu kwenye nafasi ya uongozi nk, hayo nadhani ni mambo ya waliokuwa wakijuwa siasa, ila nilisikia kwamba alikuwa kiongozi wa CCM vijana or something like that, na kwamba alikuwa very influentila miononi mwao kiasi cha kwamba almost all of them walikuwa marafiki zake, na issue hizo kufuatilia wengi wetu wala haikuwa big deal kwasabababu tayari kuna ile mentality ya kwamba CCM ina wenyewe...Hivyo sana sana mazungumzo ni ya sifa za status kwa wenye chama, gari wanazoendesha, maeneo wanayotembelea, maujiko yoyote yale ie kuwepo kwenye msafara rasmi wa waziri mkuu, maybe na demu wanayechukua...That was then, sijui kuhusu sasa...

Ndo bongo hiyo...

RIP neways...

Dah haya maelezo ........... Yanaweza kuwa ndiyo yale maswali magumu.

kwanza kwa nn hii habari iko kwenye siasa?
 
Sasa huyu FMES kwa nini asu=irudi kuwa benet na mzee kule?

wale ma sister peke yao hawawezi

Mzee anahitaji kuwa na kidume on the ground maisha ya ugenini mpaka lini?

mimi nitachukua jukumu la kumpeleka huyu FMES klabu ya Pan na Yanga kuchua membership then na sisi tuanze michakato ya procurement kama akina akina Kinje na wengine
 
Hata simfahamu,tupeni wasifu wake basi.RIP IPYANA.Inasikitisha kwa kweli

alipendwa sana huyo jamaa... Namkumbuka si kwamba alijulikana sana... Kwa watu wa Dar alifahamikafahamika... Ila kifo chake watu walihisi ni njama! Ila hakuwa na maadui,labda aliwatengeneza bila kujua!
 
kuna mzazi ambaye afurahia kumzika mwanae?

Kwani SR kasema yeye ni mzazi wake Ippi?

Nionavyomimi alikuwa anazungumzia uchungu wa mzazi yoyote yule lakini naona wengine mmeamua kufurahiia kifo cha mwenzenu na kuleta mzaha

hayo yoote aliyoyaandika mmeona sentensi moja tuu tena mtu mwenyewe sioni lipi alilolisema ambalo limewaudhi sana zaidi ya yeye kumzungumzia marehem kwa namna anavyomjua yeye

RIP Ippy

shida ni kwamba SR kaichakachua mada yake mwenyewe! Hapa tunamuongelea Ippy,ye anamleta babake Ippy..wapi na wapi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom