IPTL yazua Kizaazaa Mahakamani

Bosi wa IPTL anakuwa na kibuli kiasi cha kumdharau mkuu wa taasisi ya umma kiasi hiki, Mawaziri na makatibu wanakuwa na kiburi hata kukataa kujiuzuru wakidai mkuu wao ndiye anajua walichokuwa wanafanya na ndiye aweza kuwafukuza!

Je, kuna nini hapa na ni nani kinawapa watu hawa hii jeuri!?


Ni wazi kuwa Jakaya analijua fika suala zima la escrow na kule kusingizia ugonjwa kuwa sababu ya yeye kushindwa kulitolea kauli ni njama tu za kuwalinda wezi wenzie; inaelekea bila ya shaka na yeye alipata MGAO wake, na hilo ndilo linalowapa jeuri mawaziri wake kugoma kuondoka!!!



 
Hivi huyu Singasinga ni nani hadi aitetemeshe serikali kiasi hiki? Serikali ni kama imekufa na imewekwa mfukoni mwa Singasinga. Kwanini wananchi tusiasi na kujichukulia sheria mikononi? Tuwawinde na kuwaua mafisadi wote ktk nchi hii akiwemo Singasinga. Inauma sana!

Ukiwa hujenda shule unakosa hata busara
 
Anatoa agizo la mkurugenzi TRA kukamatwa yeye ni nani? Inaoneka kaiweka ikulu mfukoni mwake huyu si bure.

Siyo kukamwatwa, Mhehe mwenye asili ya Asia anasema kamishina was TRA AKAMATWE na AFUNGWE.
Yaani yeye ni Polisi na ni mahakama.
Serikali nzima imeTIWA mfukoni

Lewa hela za masandarusi mpaka mtu anajiona yuko Iringa ya Mumbai
 
..Huyu jamaa anatoa kiburi wapi?. Nani yuko nyuma yake?. kwa nini anachezea serikali kiasi hichi?.

Kiburi anakitoa ofisi kuu kuliko zote kama ambavyo Werema, Maswi na Waziri Muongo wanavyojidai. Ikulu kimyaaaa, full kufyata mkia! Kama ingekuwa nilimpigia kura JK mwaka 2005 na hata 2010, majuto yangu sasa sijui yangekuwa level zipi muda huu.
 
Mleta mada wacha uchochezi hakuna kitu kama hicho

huu ni uchochezi? acha ASHKI mkuu. kama ni uchochezi hebu tuambie wewe unajua Singasinga kaenda mahakamani kufanya nini. notorious twit!
 
Ni wazi kuwa Jakaya analijua fika suala zima la escrow na kule kusingizia ugonjwa kuwa sababu ya yeye kushindwa kulitolea kauli ni njama tu za kuwalinda wezi wenzie; inaelekea bila ya shaka na yeye alipata MGAO wake, na hilo ndilo linalowapa jeuri mawaziri wake kugoma kuondoka!!!



[/COLOR]

nina wasiwasi Werema akifutwa kazi anaweza kuanika kila kitu kama alivyowakingia kifua Maswi na Muhongo bungeni. so JK anaogopa akiwafuta kazi hao WEZI wenzake wanaweza kuamua kumwaga mboga na kumvua nguo hadharani.
 
Ukiwa hujenda shule unakosa hata busara

busara gani wakati akina mama wanakufa mahospitalini kwa kukosa dawa kwa sababu ya ufisadi? kuwa na busara hata kidogo uwaonee huruma watanzania wenzako wanaopoteza maisha kila kukicha kwa sababu ya UFISADI...au wewe sio mtanzania?
 
Hivi huyu Singasinga ni nani hadi aitetemeshe serikali kiasi hiki? Serikali ni kama imekufa na imewekwa mfukoni mwa Singasinga. Kwanini wananchi tusiasi na kujichukulia sheria mikononi? Tuwawinde na kuwaua mafisadi wote ktk nchi hii akiwemo Singasinga. Inauma sana!

Punguza Mhemko kijana i guess hujui hata sheria za kimataifa za kibiashara, we need to be very careful na issue hii, otherwise Raisi atchukua hatua hadi za uruhusu kutaifishwa kwa mitamo kama bunge linavyotaka halafu faini yake tutakuja tugombane sisi kwa sisi natutkuja kumlaumu Raisi tena
 
Ni wazi kuwa Jakaya analijua fika suala zima la escrow na kule kusingizia ugonjwa kuwa sababu ya yeye kushindwa kulitolea kauli ni njama tu za kuwalinda wezi wenzie; inaelekea bila ya shaka na yeye alipata MGAO wake, na hilo ndilo linalowapa jeuri mawaziri wake kugoma kuondoka!!!


[/COLOR]

Hili swala la IPTL sio la kisiasa limejaa mambo mengi ya kisheria za nchi na za kimataifa.Wabunge walikosea mno kulipeleka kisiasa.Mahakama ilikuwa sahihi kabisa hata kulikataza lisiongelee hii kesi sababu walijua wabunge watazidi tu kulikoroga hilo swala.

Watanzania tusipozingatia sheria hasa kwenye mambo ya biashara tutalipa mifaini ma fidia mpaka tukome

Bunge limezua makesi mengine yasiyo na kichwa wala miguu kupitia maazimio yao sababu ya ubishi .

Ushauri kwa watendaji wengine wazingatie sheria wasiburuzwe na mihemuko ya kisiasa kuepuka kupata misuko suko
 
Ndiyo hayo, mliambiwa hili sakata lipo mahakamani bunge lisubiri, hamkuelewa. Matokeo ndio hayo.

Bunge lingekuwa na uwezo lingefuta hizo kesi mahakamani, lakini simply, haiwezekani.

Nilisema humu, sakata ndio linaanza, ni wachache sana walionielewa.

Kuna wengi humu wanakurupuka na hawajui mikataba ya uwekezaji ikoje.
 
Tuache Uoga! Tumekuwa tukikuelezeni uhuni wakinaZitto hamuelewi sasa ndio wakati wa kuumbuka wanasiasa Muflisi. Nyie mmetishia kumpeleka amahakamani sasa yeye tayari yupo huko anawasubiri

umeandika nini? hebu rudia tena kuandika mkuu...unatetea wezi?
 
Ndiyo hayo, mliambiwa hili sakata lipo mahakamani bunge lisubiri, hamkuelewa. Matokeo ndio hayo.

Bunge lingekuwa na uwezo lingefuta hizo kesi mahakamani, lakini simply, haiwezekani.

Nilisema humu, sakata ndio linaanza, ni wachache sana walionielewa.

Kuna wengi humu wanakurupuka na hawajui mikataba ya uwekezaji ikoje.

usi-generalize mambo. kumfuta kazi Werema, Tibaijuka, Maswi na wezi wengine kunasubiri maamuzi ya mahakama?
 
ni bora nchi hii iongozwe na MAITI kuliko kuongozwa na binadamu. sijamsikia rais akilisemea hili ktk mazungumzo yake ya kila mwezi. singasinga ameiweka nchi na maisha ya watanzania milioni 50 mfukoni mwake.

Punguza Mhemko kijana i guess hujui hata sheria za kimataifa za kibiashara, we need to be very careful na issue hii, otherwise Raisi atchukua hatua hadi za uruhusu kutaifishwa kwa mitamo kama bunge linavyotaka halafu faini yake tutakuja tugombane sisi kwa sisi natutkuja kumlaumu Raisi tena
 
Mlimuona RUGE chizi kugawa pesa kama taahira, sasa ndio zinafanya kazi, kwani majaji waliowekewa mamilioni MKOMBOZI hamkuona majina yao?nina uhakika wale ni front, kuna mtandao mrefu wa hao Majaji wameshapewa za kutosha.

Hii Nchi ni kama Mud pit, ukiwemo ndani lazima uwe mchafu.

Independent Judiciary my Foot.
 
MDA SI MREFU ATASEMA SPIKA NAE AWEKWE NDANI,SABABU AMEKUBAli kumjadili bungeni
 
Nakubaliana na mtu 1alisema hyu singasinga anahistoria ya kuziangusha serikari,

Sikumuelewa wakati huo, sasa naona serikari inakwenda kuangushwa na mtu mmoja tena anajiita mwansheria, ambae hajui huruma ya kukosa dawa hospital, elim duni na mengine, anatumia pesa zetu kuokoroga seikari na kuizungusha,

Hiv anatoa wapi hii jeur?? Hata kama ni sheria hii imezidi wakuu,
Inapaswa mkuu aje na suluhisho ya hili sakata vinginevo serikali inakwenda kumfia kabisaaa
 
Tezi dume hana habari, ndio kwanza anaulizia kesho anatakiwa kwenda nchi gani
 
Mtu si mhalifu mpaka ibainike kisheria kwa ushahidi madhubuti - kwa hiyo ana haki ya kupeleka malamiko yake mahakamani. Hilo suala la kama mahakama zinafaa au hazifai halina maana sababu mahakama ndio mahali pekee nchini panatambuliwa kusikiliza malalamio na kutoa maamuzi ya kisheria.
 
Back
Top Bottom