commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Ukiwa hujenda shule unakosa hata busara
woote walioiba escrow. account ni wasomi. je wiizi ni busara kwako?
Ukiwa hujenda shule unakosa hata busara
wewe vipi? tangu lini mahakama zetu zikatoa haki? wewe hakimu anaitwa dakika tatu! ukiwa na pesa hakimu anakupa ushindi ndani ya dakika tatu! nchi hii haina haki!Kama ana haki atashinda kesi. Hakuna haja ya kuanza kutoa hukumu nje ya mahakama!
Mtu si mhalifu mpaka ibainike kisheria kwa ushahidi madhubuti - kwa hiyo ana haki ya kupeleka malamiko yake mahakamani. Hilo suala la kama mahakama zinafaa au hazifai halina maana sababu mahakama ndio mahali pekee nchini panatambuliwa kusikiliza malalamio na kutoa maamuzi ya kisheria.
Uwafute kazi kwa kosa lipo? Kwa kuwa wewe unataka? Au Mengi?
MDA SI MREFU ATASEMA SPIKA NAE AWEKWE NDANI,SABABU AMEKUBAli kumjadili bungeni