Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Kwa hiyo unamaanisha tumeukumbuka??
 
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Aiseeee
 
Pumba tupu, eti kumdhuru mtu kisiasa
Kina Ben Saanane walifanya nini
Tundu Lisu Je ?
Melo wa JF kesi kila siku...
Wafanya biashara wote waliofanikiwa waliionekana mashetani

Yaani alitakiwa afe tu ili nchi ipone, nchi ilkuwa hoi taabani.
Narudia ni bora amekufa, tena bora sana
Wamzike haraka sana tumsahau kabisa,
mama samia.anaapishwa kesho mara mia tutawaliwe na mwanamke kuliko hilo jiwe
 
Khee kwani lazima!? Nyie vipi !?
Mkupigwa spana muande kulalamika kwa hiyo hadi club watu waomboleze
Kwa hiyo tumeshanza kupangiana cha kufanya sio
FB_IMG_1616098845121.jpeg
 
Pumba tupu, eti kumdhuru mtu kisiasa
Kina Ben Saanane walifanya nini
Tundu Lisu Je ?
Melo wa JF kesi kila siku...
Wafanya biashara wote waliofanikiwa waliionekana mashetani

Yaani alitakiwa afe tu ili nchi ipone, nchi ilkuwa hoi taabani.
Narudia ni bora amekufa, tena bora sana
Wamzike haraka sana tumsahau kabisa,
ameharibu sana nchi huyu bora amekufa tumsahau kabisa.alikuwa anaenda kusababisha hata vita mbele huko
 
hii ni vita ccm kwa ccm ,ila bado game linaendelea bado mechi haijaisha.
 
Nikweli kila lenye mwanzo lina mwisho sawa na ww ambavyo unaweza kufa , ndyomaana uliandika kimafumbo kwakua hukujua unachoandka
 
Back
Top Bottom