DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 43,311
- 109,416
Kwa yaliokua yanaendelea,
Kulikua HAMNA namna JIWE angetoka madarakani leo Wala kesho.
Na huu msoto ungeendelea hivi miaka na miaka, na tungegeuka kua Kama Ethiopia.
Kuikimbia nchi Ingekua Jambo la kawaida kwa mtz yeyote.
Kifo ndo ilikua option pekee ya kumpunguza Kasi mweshimiwa.
Na mungu,
Muumba wa mbingu na ardhi amejibu maombi ya wanyonge.
Kwanini tusimsifu bwana kwa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikua HAMNA namna JIWE angetoka madarakani leo Wala kesho.
Na huu msoto ungeendelea hivi miaka na miaka, na tungegeuka kua Kama Ethiopia.
Kuikimbia nchi Ingekua Jambo la kawaida kwa mtz yeyote.
Kifo ndo ilikua option pekee ya kumpunguza Kasi mweshimiwa.
Na mungu,
Muumba wa mbingu na ardhi amejibu maombi ya wanyonge.
Kwanini tusimsifu bwana kwa hili.
Sent using Jamii Forums mobile app

🪕






