Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Kuna kipindi watu walispeculate hivi hivi afu akaamka,alikuwa kachokaa,kanyongea anaapisha watu Ikulu.Nusu nizimie ndio maana sishabikii japo I wish I could be IGP!
Hata kama mtu humpendi, akiwa katiba taabu mwombee apone ili ajisahihishe.
 
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Kipindi unaandika,hawa wote walikua hai,leo amebaki mmoja,hakika hakuna lisilo na mwisho
20210312_132848.jpg
 
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Ngoja nisabusikiraibu kabisa
 
Back
Top Bottom