Wa Katutura
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 371
- 456
Huyu Bravo noma sana aisee,naona nafsi yake ime furahi,lkn asiombe yamkute yakesho haya julikaniBravo kaka, haya ndiyo maono !!
Huyu Bravo noma sana aisee,naona nafsi yake ime furahi,lkn asiombe yamkute yakesho haya julikaniBravo kaka, haya ndiyo maono !!
Huwezi kuwa na hofu kama haufanyi kitu cha kumduru mtu mwingine, Kimwili, kiafya, kijamii au kisiasa.Sikufikiria hata siku moja itakuja kwa watanzania, kufurahia kifo cha Rais wa Nchi
Lazima itakuwa na ukweli ndani yake kuwa, huyu si mtu mzuri., hata mimi kuna furaha fulani imenipata japo na matatizo kibao binafsi.
Na mimi siogopi kufa hata iwe leo poa tu, lakini nitakufa na kafuruha fulani hivi ndani yake., Phweeeeeeh.........
Yaani nchi ilibadilika mno na kujawa hofu kila kona miaka ya nyuma karibuni, mpaka unahisi hata wa karibu wako watakuchomea ili mradi upukutishwe........
Good Riddance (Time of Your Life)- GreenDay
Another turning point
A fork stuck in the road
Time grabs you by the wrist
Directs you where to go
So make the best of this test
And don't ask why
It's not a question
But a lesson learned in time.
It's something unpredictable
But in the end it's right
I hope you had the time of your life
So take the photographs
And still frames in your mind
Hang it on a shelf
In good health and good time
Tattoos of memories
And dead skin on trial
For what it's worth
It was worth all the while
It's something unpredictable
But in the end it's right
I hope you had the time of your life
Atake asitakeHayawihayawi sasa yamekuwa!
Haondoki,mbona kaondoka!
Nalog off
😂 😂 😂 😂 😂Hayawihayawi sasa yamekuwa!
Haondoki,mbona kaondoka!
Nalog off
Shikamoo mkuuUZI WA MUNGU HUU
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco
Aisee sikuwahi tegemea kama kuna siku watanzania wanaweza kufika huku!
Bahati nzuri aliyetufikisha huku ameshachukuliwaAisee sikuwahi tegemea kama kuna siku watanzania wanaweza kufika huku!
Pumba tupu, eti kumdhuru mtu kisiasaHuwezi kuwa na hofu kama haufanyi kitu cha kumduru mtu mwingine, Kimwili, kiafya, kijamii au kisiasa.
Hofu ni tokeo la kufanya yasiyofaa, iwe sirini au mwangani. Na ukiona unasema wazi unafurahia ubaya unapompata mwingine ni muda wa kumuona Clinical Psychologist. Something ain't right!
TuacheHata kama mtu humpendi, akiwa katiba taabu mwombee apone ili ajisahihishe.
Bado samaki anatabiriHuu ni utabiri au machozi ya samaki?
Huu uzi wa katani kabisaHuu uzi ni wakushonea viazi vitokavyo Mbeya vifikapo mjini basi kila mmoja husau kufingashio na kukidhamini kilichopo ndani....
Mawazo yake ayana tofauti na dada yako Mange
Duh26.04.20.....