Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Ipo siku mtaukumbuka huu uzi

Usiwaze kabisa kuhusu mitandao mkuu ukweli uko mioyoni mwetu ungeona nnavosikitika hadharani ungesema nimefiwa na baba yangu hahahahaaaa Watz unafki ni kipaji chetu madhubuti kabisaa
sasa kwanini hampendi kuongea ukweli?
 
Usiwaze kabisa kuhusu mitandao mkuu ukweli uko mioyoni mwetu ungeona nnavosikitika hadharani ungesema nimefiwa na baba yangu hahahahaaaa Watz unafki ni kipaji chetu madhubuti kabisaa
wewe ndo mnafiki number moja Tanzania
 
"Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.

Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.

Pablo Blanco
Utabiri umetimia
 
Nawashauri wanajamii forum wenzangu msikubali kuchanjwa mtakuja mnikumbuke..Hizo Chanjo ni mpango wa kuzimu kupunguza watu duniani...ukichanja tu imekula kwako...atakayejaribu kuyaokoa maisha yake ndiye atakayeyapoteza..madhara ya Chanjo ni.makubwa kuliko hata Corona yenyewe.Ipo siku serikali italaumiwa sana kwa kukubali Chanjo...Ni Suala la muda tu
 
Back
Top Bottom