Blanco haulimi matikiti siku hizi? Atazinduka tu."Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco
J2&jmosUzi umefukuliwa tayari, lakini bado, nafkiri tutaukumbuka zaidi wiki ijayo
![]()
Weeeh...kidogo sasa??? Yaani unamsikiliza maneno anayosema unajua kabisa tunasutwa hapaAkizinduka mtakoma



Kukuchekea si kwamba ndio anafurahi nawe crocodileYaaaani anavopenda kutusuta leo hii tunamtafuta kwa udi na uvumba??? Napata mashaka sana. Maana tungeshafokewa mpk raha![]()
smileSame here...Kuna kipindi watu walispeculate hivi hivi afu akaamka,alikuwa kachokaa,kanyongea anaapisha watu Ikulu.Nusu nizimie ndio maana sishabikii japo I wish I could be IGP!
Mnh!!! Uzi wa motoo
Kama umetoka leo..kweli hii ndo fasihi andishi aif!!!!
N.B
Mi Napita tu:
![]()




Utakavyoelewa sawa tu.Du bwashee we untaka kumpenda nanihii,,,,kinanihiii......!
We binti upo jamaniNasubiri siku ya kukumbuka
Maana yake nini mkuu 😂😂😂😂😂😂
Tucheki wikiendi hii itakuwaje."Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco
Mkuu bado upo HAI au covid alikuja unapoishi?Uzi titeless kama huu ukumbukwe kwa lipi?
Bado mnapigika toka 2018 dah.."Jipeni moyo msichoke, ipo siku mtakuja kukomenti kwa furaha kwenye huu Uzi, hakuna jambo lisilo na mwisho, mark my words....". Mwisho wake utafika tu.
Hatujawahi kuishi maisha ya ajabu kama haya, mambo kama haya huwa tunayasikia somalia mwisho wake utafika tu ipo siku tu.
Pablo Blanco