ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,056
- 49,743
Hivi karibuni Ethiopia imeanza kufanya hujuma Kwa Somalia Kwa kuingia makubaliano haramu ya kuimega Somalia ilimradi wapate Bandari.
Suala la Bandari ni kisingizio tuu ila lengo kubwa ni kuizuia Somalia kuibuka kuwa Taifa lenye ushawishi wa Kisiasa na kiuchumi Kwa Pembe ya Afrika ambapo Ethiopia ilitawala Kwa miaka Mingi.
Mizozo ya Wenyewe Kwa wenyewe ndani ya Ethiopia na kuimarika Kwa Uongozi wa Mogadishu kumeitisha Ethiopia na kuanza kuwa na hofu ikizingatiwa kwamba Kuna jamii kubwa sana ya Wasomali huko Ethiopia.
Hivi karibuni Somalia ilifitiwa deni lake lote na Wadaiwa na ikaondolewa vikwazo vya kununua silaha.On top of that ikajiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki hivyo kutumia salamu huko Addis kwamba Hatimaye Somalia Inaanza kusimama tena.
Uongozi wa Sasa wa Somalia umeweza pakubwa kupambana na Al Shabaab kiasi ya kuwafurahisha Jumuiya ya Kimataifa ikiwemo Marekani.Kwa muelekeo Mpya huenda USA akaelekeza Nguvu Mogadishu badala ya Ethiopia.
Ikumbukwe kwamba Somalia ipo kwenye eneo la kimkakati kiusalama hasa kwenye biashara na Ina Rasilimali nyingi ambazo hazijatumika kutokana nazozo wa vita wa miaka mingi.
My Take
Kusimama tena Kwa Somalia ni habari njema sana Kwa Afrika.
Suala la Bandari ni kisingizio tuu ila lengo kubwa ni kuizuia Somalia kuibuka kuwa Taifa lenye ushawishi wa Kisiasa na kiuchumi Kwa Pembe ya Afrika ambapo Ethiopia ilitawala Kwa miaka Mingi.
Mizozo ya Wenyewe Kwa wenyewe ndani ya Ethiopia na kuimarika Kwa Uongozi wa Mogadishu kumeitisha Ethiopia na kuanza kuwa na hofu ikizingatiwa kwamba Kuna jamii kubwa sana ya Wasomali huko Ethiopia.
Hivi karibuni Somalia ilifitiwa deni lake lote na Wadaiwa na ikaondolewa vikwazo vya kununua silaha.On top of that ikajiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki hivyo kutumia salamu huko Addis kwamba Hatimaye Somalia Inaanza kusimama tena.
Uongozi wa Sasa wa Somalia umeweza pakubwa kupambana na Al Shabaab kiasi ya kuwafurahisha Jumuiya ya Kimataifa ikiwemo Marekani.Kwa muelekeo Mpya huenda USA akaelekeza Nguvu Mogadishu badala ya Ethiopia.
Ikumbukwe kwamba Somalia ipo kwenye eneo la kimkakati kiusalama hasa kwenye biashara na Ina Rasilimali nyingi ambazo hazijatumika kutokana nazozo wa vita wa miaka mingi.
My Take
Kusimama tena Kwa Somalia ni habari njema sana Kwa Afrika.